UTETEZI WA LULU: Kanumba alitaka kunibaka...


hawa polisi ndiyo waliosema ya kuwa ukiwaona Ditopile hakuuwa kwa makusudi wakati jamii nzima inajua aliuwa kwa makusudi...............kuhusu Lulu aliripoti kifo yeye mwenyewe........hakujificha kama unavyofikiria kwa sababu alijua mwendazake alikufa kifo cha kawaida hadi pale DPP alipomgeuzia kibao.........
 
baba kutamka sio tatizo wapi ameandika kwenye maandishi hata polisi wakikuamata wanakufinya pumbu unakubali umeiba ama umebaka ukifika mahakamani unawakana kiru na hata kama ulikubali unaonyesha pumvu zako zilivyovimba over..so kutamka sio tatizo wangapi wana nyumba ndogo pamoja na ....wamekaa kimya sembuse huyu katamka

hiyo sheria ya kuingia club ni wahusika ndio wanatakiwa kuiweka kumbuka uwezi kujua unamiaka mingapi ila kama wahusika wa club wanakuhisi wanayo rights za kukukatalia ....

Nionyeshe sheria inayokataa mtoto wa miaka 17 kuwa na urafiki ...tusiwe mbumbu wa ufahamu haata wewe unaruhusiwa kuwa rafiki wa lulu...kuhusu urafiki wa mapenzi nna kigogo ndio maana naomba tuiachie serikali nimeandika juzi lulu ana nyumba kubwa tu nzuri kanunuliwa na mh mb mmoja ambae ana kitambi cha afya usiniulize sana fanya utafiti nani ana kitambi cha kupewa nani ana cha afya
 

ni kweli mbumbumbu wengi wa shule tumewasukumia polisi hata mwanang u mmoja alikuwa shule ni kafupi infact mtoto wa baba mdogo wenzake walifanya fujo wakaenda kukamatwa walipofika kwake wakamuuliza hata wewe unafanya na ufupi wako unahisi utaishia langapi akasema la saba akaulizwa na polisi alafu uwe na nani na elimu yako
akasema nataka niwe polisi baada ya la saba huyu ni mtoto anajua kule wamejaa..........
 
Hivi unaweza kupigwa rungu la kichwa halafu usipate uvimbe wala mchubuko wowote kichwani halafu ubongo peke yake ndio upate mtikikisiko
 
kumbe mtu akinywa pombe ubongo unavibrate?

kabla ya kifo ndugu zangu kanumba amekuwa akinywa pombe sana kupitiliza na hata binafsi kama kaka yangu ilifika nilimuuliza ndug yake mmoja kaka anaumwa nini ama iweje amekuwa anakunywa hata mchana kama vile amekata tamaa na kuamua kuishi kwa matumaini...nafikiri wangekaa na lulu vizuri atawaambia mengi tuiachie serikali ifanye kazi na dpp wake
 

always ukweli unauma....mentor................yaelekea wewe ni polisi possibly a graduate..............lakini no sane gradute aspires to be a police..................facts ought to be looked upon in the face...................kila taarifa ya takukuru ambacho ni chombo cha serikali kinathibitisha ya kuwa p[olisi wanaongoza kwa ufisadi..................kwa nini iwe hivyo ni kwa sababu hawalipwi vizuri................angalia makazi ya polisi, mishahara yao n.k ni ya khalii ya chini sana............huku ndiko tunawasukumia wale ambao darasani ni dhaifu

wale ambao darasani ni wazuri huenda maeneo ambayo yanalipa vizuri.........huo ndiyo ukweli wetu ni matatizo ya kimfumo na wala siyo ya DPP kuwa kapewa cheo ambacho hana uwezo nacho......................kama tukibadilisha mfumo na kujenga mazingira mazuri tutapata wasomi ambao kamwe hawezi kufanya haya madudu ambayo tunayaona karne hii ya 21.....................ni aibu ndugu yangu kuona kinda anabambikiziwa kesi ya mauaji khalafu tusiongolee mfumo mzima wa ajira na masilahi ya polisi na kujiuliza hivi huyu DPP alifikaje kwenye hicho cheo kama siyo utamaduni wa kubebana?

be real man.....................
 
nilipenda sheria nikiwa chuo...ila nimeachana nayo kwa jambo moja tuu...kumtetea mhaifu kuwa mwema na mtuhumu kuwa mwalifu....nyie endeleeni....mie in other field now....tunawasubiri maadvocate wetu...
nashukuru kwa uamuzi uliochukua mana kuuona ufalme wa mbinguni ingekta ngumu
 
Hivi unaweza kupigwa rungu la kichwa halafu usipate uvimbe wala mchubuko wowote kichwani halafu ubongo peke yake ndio upate mtikikisiko

ni hapo basi....................na ukichanganya rungu halikuweko mahali kokote kule..........lol
 
baada ya yaliyotokea huko chumbani lulu alitoka mbio akamwambia mdogo wa kanumba kuwa kanumba kaanguka nayeye akawasha gari yake hadi coco beach ndipo daktari wa Kanumb alipotumia ujanja wa kumwambia Lulu aje wampeleke Kanumba hosp. Na ndipo daktari akapitia polisi na Lulu akakamatwa papo hapo.
 
mbona siku zote hukusema umekuja kusema leo, unataka kutengeneza ushahidi gani?
 
na kibaya zaidi MAELEZO YA LULU YA AWALI HAJASEMA ALIKUA ANATAKA KUBAKWA BALI WALIKUA WANAGOMBANA KWA AJILI YA SIMU ALIYOPIGIWA LULU, hayo ya kubakwa mmeleta nyie na dhambi zenu.
 

huyu daktari ndicho chanzo cha matatizo yote.............yeye ndiye aliyekuwa anamlisha mwendazake na cocktail za ARVs bila ya kuufuata utaratibu na kisirisiri..............huku akijua teja wake ni mlevi wa kupindukia..........interactions ya ARVs na pombe kali kama Jack Daniel zaweza kumsababishia mwendazake "brain concussion".

huyuhuyo daktari sijui kwanini hadi leo yuko barabarani kwa kuvurug ushahidi pale aliposema ya kuwa mwendazake bado yu hai na apelekwe polisi ikachukuliwe PF-3.....wakati akijua kuwa amekufa na hiyo ilikuwa ni police case............kwa kuikamatakamat maiti na kuihamisha daktari aliingilia na kuvuruga ushahidi kwa makusudi sasa yawaje awe barabarani na badala ya lupango?

Think my friend....................police have wrong gal behind bars........and this personal doctorof mwendazake ndiye anapaswa kukamatwa na kushitakiwa kwa manslaughter na wala siyo vinginevyo.............jitihada zote ulizonielezea na nilizoongezea zinathibitisha ya kuwa yule dakari alikuwa anaficha kitu............................uchafu wake................au kwa lugha ya wenzetu ni medical malpractice na anapaswa kufungiwa na leseni yake kufutwa........baada ya kuchunguzwa na MAT.......
 
na kibaya zaidi MAELEZO YA LULU YA AWALI HAJASEMA ALIKUA ANATAKA KUBAKWA BALI WALIKUA WANAGOMBANA KWA AJILI YA SIMU ALIYOPIGIWA LULU, hayo ya kubakwa mmeleta nyie na dhambi zenu.

hahitaji hata kusema alitakwa kubakwa.......amahakama inapswa kuona haya mazingira ya mtoto kushikiliwa chini na bila ya ridhaa yake na lijibaba liko uchi ni mazingira ya kutaka kumbaka mtoto wa watu na mengineyo yaliyomkuta mwendazake kama yao ni mambo yakuitakia mwenyewe na hakuna kesi yakujibu hapo.........
 
Rutta,
Asante kwa darasa zuri zaidi....nakwambia kuna afisa mkubwa wa upepelezi wa polisi ka print michango yote hapa hasa ya kwako anasema kuna mambo ni nyeti sana katika upelelezi wa issue....nashangaa watu wengine wanakupinga. Jamani angalieni hata series au movies basi mjifunze matukio ya namna hii yanavyokuwa handled nchi za wenzenu.

Au angalieni suala la Michael Jackson, kwanini hajafungwa msaidizi wake au mlinzi wake aliyekuwa naye chumbani? Dr aliyekuwa anamchanganyia madawa ndo yuko lupango maana madawa ndio immediate cause ya kifo chake.

Naomba kuwauliza mnaompinga Rutta.....Je nyinyi mkiwa mahakimu wa hii kesi mnaweza kushika Biblia/Koran na kumhukumu Lulu pasipo shaka yoyote kunyongwa kwa ajili ya mauaji ya Kanumba?
 

Kintiku tuko wote........wasichojua ni kuwa binafsi simfahamu huyo DPP lakini katika karne ya 21 tuanze kuonyesha nasi tumo.........................huwezi ukamfungulia mtu kesi ya mauaji eti ndiye mtu wa mwisho kuwa na marehemu....................wakati ushahidi lukuki uko na aidha hunuii au hukusudii kuufanyia kazi.............lengo letu ni kuwa polisi watumie forensic science katika kufanya kazi hususani kwa kuboresha kile chuo cha moshi na kuwa chuo kikuu cha forensic science................chakula na vinywaji alivyokula marehemu vijulikane vilikuwa na nini, magonjwa anayoumwa yafanyiwe kazi na madawa ambayo amekuwa akiyatumia.........

Daktari wake michango yake ya kuendeshamatibabu bubu nayo yafanyiwe kazi.....................tuache kutafuta majibu mepesi kwa maswali magumu...................na ndiyo maana nimesema na ninarusia kusema huyu DPP kama anamwogopa Mwenyezi Mungu..........ajiuzulu au amfutie mtoto wa watu makosa haya ya kumbabikizia......khalafu tuangalie sheria hii ya kosa la mauaji........nchi za wenzetu zimefikia hatua ya kuweka makundi mengi ya makosa ya mauaji sisi bado tupo na zile sheria alizotuachia mkoloni..............mauaji ni mauaji wenzetu wana 1st degree murder ambayo haina bail.,second degree murder ambayo ina bail........na hata third degree murder................n.k

polisi waache hata kutegemea hospitali ya muhimbili ambao utendaji wao unatia shaka................kwa mfano wanazungumzia kuwa marehemu huenda alikufa kwa "brain concussion" lakini hakuna mahali ambapo panaonyesha kichwa na ubongo wa mrehemu ulipasuliwa ili kjuona kama kweli alivuja ubongo na kuvuja ubongo maya nyingi ni stroke au hematoma.............a tumour of clotted or partially clotted blood.....

lakini tatizo kubwa kwa nchi yetu ni watu kukubali kuburutwa kama nyumbu.......wakati umefika tuanze kuhoji kila kitu kama tunataka kuwa na maisha bora kwa kila mtanzania.......
 
swali ninalojiuliza mimi, wanajuaje kama ni lulu ndiye aliyesababisha huo mtikisiko wa ubongo, maana kimaelezo inaonyesha mdogo wake kanumba alipoingia ndani alimkuta kaka yake bado yuhai ndiyo maana akampigia simu huyo daktari, kwani huyo dogo awezi akambamiza kaka yake na ukuta, kaka ajazaa, wala ana mke na ana vipesa, kwanini hawa askari awaliangalii hili swala kwa matazamo mwingine.
 
bado katika hii thread sijaona mwanasheria wa kumtetea lulu...!
 
Inashangaza kuona kuwa mtu huyuhuyu alipohojiwa siku chache kabla katika kipindi cha mikasa(kama sijakosea) kinachorushwa East Africa TV(EATV) alisema mwenyewe kwa mdomo wake kuwa ana umri wa miaka kumi na nane(18).Sasa iweje leo akane umri wake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…