Utetezi wa Sabaya: Amwangushia zigo Hayati Magufuli na kudai Gavana Luoga na Makamu wa Rais Dkt. Mpango walifahamu

Utetezi wa Sabaya: Amwangushia zigo Hayati Magufuli na kudai Gavana Luoga na Makamu wa Rais Dkt. Mpango walifahamu

Wewe unaamini amejibu ujinga?
Ni ujinga kusema nilitumwa... Kwenye mahakama zinaitwa "hearsay" aka porojo.

Documents za yeye kupewa hiyo kazi ziko wapi?
Swali la muhimu, atawaita Luoga na Mpango waje kudhibitisha?

Kwa ufupi he's deep trouble, huu utetezi hauna mashiko.
 
hii kesi haina tofauti na ya Prof. Mahalu naye wakati alipo shitakiwa alidai alitumwa na aliye kuwa Rais wa awamu ya 3 Mkapa, kweli Mkapa walikuja na kumtetea Mahalau na Mahalu aliachiwa huru.
Sabaya hana makosa kama alikuwa anatekeleza maelekezo ya aliye mteua, naamini kama Magufuli angekuwa hai angemtetea Sabaya bila kigugumizi, lkn pia kama Mama Anna Mgwira ange kuwa hai ange mtetea Sabaya bila kigugumizi.
sijaona unyang'anyi uliotendwa!
mnyang'anyi angechukua receipts machine ya nn?!!
mnyang'anyi angepiga simu kituo cha polisi?!
huo ni unyang'anyi wa wapi?!
Hapo ndipo unapokosea....

Ukweli ni kwamba Magufuli angekuwa hai asingemtetea kwa kuwa hii kesi isingekuwepo na huyu jambazi angeendelea na ujambazi huku akiwa analindwa
 
Mkuu wa wilaya ya Ya Hai anatumwa na Raisi akafanye operation wilaya isio yake ya Arusha? Raisi Hana operative wakuu wa wilaya ya Arusha au mkuu wa mkoa wa Arusha hidden operative wa kufanya hiyo Operation?

Sabaya zigo lako Hilo uliwezaje kwenda kufanya military operation nje ya your judistriction? Hiyo Operation alitakiwa afanye Mama Mgwira au mkuu wa wilaya ya Arusha au polisi wilaya ya Arusha au mkoa etc etc but from Arusha.Raisi hawezi ishiwa operatives wa any mission Hana haja ya kutafuta mtu wa Hai kwenda Arusha!!!

Sabaya jambazi wewe kesi Hilo lako usisingizie Marehemu wewe hukujua kuwa Arusha sio eneo lako la judistriction? Kuwa wewe ni
mkuu wa wilaya ya hai? Ungekuwa huna area ya uteuzi utetezi wako unge matter. Lakini mmmmmm .una kesi ya kujibu
Hachelewi kusema Mama Mghwira boss wake alikua anajua kutoka nje ya jurisdiction. Maana naona sasa mzigo anawatupia marehemu tu ambao hawana kauli na hawasemi

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Sheria ni msumeno bwashee!
Sio kweli mkuu. Kama sheria ni msumeno mbona haikati hao akina sabaya?. Hebu ona hata kesi yake ilivyokimbikizwa?. Unajue kuna watu wako mahabusu wana kesi kama za sabaya lakini wana miaka kesi zao hata hazisikilizwi. Lakini huyu kenge inakimbizwa hatari.

Kama kweli kuna hukumu baadae huko mbinguni,basi polisi,mahakimu hakimu hawa,ma-DPP,watakuwa wanaunguzwa mpaka matako
 
hii kesi haina tofauti na ya Prof. Mahalu naye wakati alipo shitakiwa alidai alitumwa na aliye kuwa Rais wa awamu ya 3 Mkapa, kweli Mkapa walikuja na kumtetea Mahalau na Mahalu aliachiwa huru.
Sabaya hana makosa kama alikuwa anatekeleza maelekezo ya aliye mteua, naamini kama Magufuli angekuwa hai angemtetea Sabaya bila kigugumizi, lkn pia kama Mama Anna Mgwira ange kuwa hai ange mtetea Sabaya bila kigugumizi.
sijaona unyang'anyi uliotendwa!
mnyang'anyi angechukua receipts machine ya nn?!!
mnyang'anyi angepiga simu kituo cha polisi?!
huo ni unyang'anyi wa wapi?!
Magufuli angekuwa hai 7baya kwanza huo mdomo wa kumtaja Rais katika utetezi wake angetoa wapi

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Ni ujinga kusema nilitumwa... Kwenye mahakama zinaitwa "hearsay" aka porojo.

Documents za yeye kupewa hiyo kazi ziko wapi?
Swali la muhimu, atawaita Luoga na Mpango waje kudhibitisha?

Kwa ufupi he's deep trouble, huu utetezi hauna mashiko.
Kwahiyo wewe unajua zaidi kuliko DC na RC wa Arusha waliomruhusu kufanya kazi mkoani kwao?
 
Tungekuwa tupo nchi zilizo very serious kwa Kutajwa tu huku tena kwa Kesi kama zinazomkabili Ole Sabaya hivi sasa Makamu wa Rais na Gavana walitakiwa wawe wameshajiuzuru.

Ole Sabaya tulimtuhumu, tulimcheka, tulimdharau na hadi kumuombea apatwe na mabaya ila sasa naona anaenda kuwa Shujaa na katika Basketball anaitwa MVP.

Kuna Hatari naiona au Habari mbaya inakuja tena Siku si nyingi katika Masikio yetu. Ole Sabaya ametimiza Ahadi yake alipokuwa Mahakamani kuwa atakuja Kupasua Ukweli wote na asitishwe na Mtu.
Acha porojo za kijinga kama nchi gani ikiwa PM wa Israel nk huwa wanashutumiwa kwa rushwa na kesi ziko mahakamani wanaenda kujitetea na hakuna kujiuzulu unaongea ujinga.

Trump alikuwa anashutumiwa kwa lipi na alijiuzulu? Ingekuwa simple hivyo kusingekuwa kunakuwa na Serikali maana katikati vita za siasa au maisha ya kawaida shutuma haziwezi kuisha .
 
Yaani kwa maneno mengine "aliyekuwa mwenyekiti wa CCM" aliwatuma jamaa wakapore
 
Hivi jamani kwa watumishi wa umma ,kile kipengele cha utafanya kazi yeyote utakayopangiwa na bosi wako huwa kina maana gani? Maana hapa sabaya akifungwa nyie mabosi msituone viburi tukigoma kufanya kazi mnazotutuma

Kwa uongozi was jpm ,je kuna MTU angeweza mbishia na akawa salama ? Hata huyo hakimu angeembiwa ahukumu kesi kadri mzee anavyotaka angekataa?

Kiufupi hapa sabaya anakosa alilotenda katika kutii mamlaka iliyomteua na ndo maana kwann hakushitakiwa enzi za jpm? Na je jpm angekuwa mzima angeshitakiwa?

KATIBA MPYA MUHIMU NDUGU ZANGU ,SIKU NIKAWA RAISI NIKAHITAJI KULA NYAMA ZA WATU MTAKOSA PA KUNIKAMATIA
Akili kichwani.Niliwahi elekezwa cha kufanya na DED kinyume na miongozo mambo yalipobumba akawa ananishutumu kwa nini kusimamia jambo ambalo liko kinyume na ilivyotakiwa?

Aliongea hayo huku anajua kwamba yeye ndio alitaka hivyo na Kwa maana hiyo anakubebesha lawama huku yeye akiwa na loop hole ya kusema sio mtaalam na alishauriwa vibaya na mtaalamu Aliyekuwa na jukumu.Kwa hiyo hakuna utetezi hapo bila maandishi.
 
Duh!! Mungu anamuona lakini!

Amejitetea kiume sana

Makamu wa Rais Dr Mpango na DC mstaafu Dr Kihongosi watakuwa mashahidi wake muhimu kama katiba inaruhusu.

Rais mstaafu Mkapa aliwahi kupanda kizimbani kumtetea Prof Mahalu pale Kisutu!
Daaah jambazi sugu anapambana kujiokoa
 
Mkuu wa wilaya ya Ya Hai anatumwa na Raisi akafanye operation wilaya isio yake ya Arusha? Raisi Hana operative wakuu wa wilaya ya Arusha au mkuu wa mkoa wa Arusha hidden operative wa kufanya hiyo Operation?

Sabaya zigo lako Hilo uliwezaje kwenda kufanya military operation nje ya your judistriction? Hiyo Operation alitakiwa afanye Mama Mgwira au mkuu wa wilaya ya Arusha au polisi wilaya ya Arusha au mkoa etc etc but from Arusha.Raisi hawezi ishiwa operatives wa any mission Hana haja ya kutafuta mtu wa Hai kwenda Arusha!!!

Sabaya jambazi wewe kesi Hilo lako usisingizie Marehemu wewe hukujua kuwa Arusha sio eneo lako la judistriction? Kuwa wewe ni
mkuu wa wilaya ya hai? Ungekuwa huna area ya uteuzi utetezi wako unge matter. Lakini mmmmmm .una kesi ya kujibu
Kwa hiyo mama mgwira ndiye alikuwa na jurisdiction Arusha?
 
Sasa kwanini hakukamatwa mara baada ya tukio?!
Kumbe hata hujafuatilia kesi vizuri

1628885608655.png
 
Back
Top Bottom