Utetezi wa uumbaji kimahesabu na kifizikia: Mathematician's and theoretical physicist appeal to creation

Utetezi wa uumbaji kimahesabu na kifizikia: Mathematician's and theoretical physicist appeal to creation

Mpaka hapo umeshindwa ku Qualify vigezo vya ki challenge bible kwasababu mfumo unaotaka kuutumia ni incompatible na criteria za ukristo zilizowekwa kwa dhumuni la kutafuta ukweli

Kwa hiyo ni haki yako kuuona ukristo ni dini ya uwongo, ni haki yako kuina biblia ni kitabu cha uwongo

Ila ukiwa tayari kukiri kuwa yesu ni mwokozi na alikufa msalabani kwa ajili yako, ukabatizwa ili uwe msafi kumfanya roho mtakatifu aweze kukaa moyoni mwako basi hapo utakuwa umefika viwango vya juu na huwezi kuona weakness ya biblia kwasababu roho mtakatifu atakuwa juu yako
Nimecheka sana, naona umeshindwa kukosoa nilichokikosoa kwako. Hivi ndivyo nilivyo mimi.

Walau ungejitahidi hata kukosoa nilichokiandika kuliko kuruka kwenye hitimisho la kivivu ns uzembe wa hali ya juu.

Ulicho hitimisha kimeonyesha ya kuwa wewe ni mparamia mambo usiyo yajua na kuyasemea mwisho wa siku unakimbia hoja kwa mtindo huu.

Msingi wa uhakiki wa habari mzuri sana na huwa najivunia sana kufundishwa msingi huu.

Allah uliye juu walipe kheri waja wako ulio wateua na kuwapa elimu hii adhimu ya uhakiki wa habar, kisha wakatuhifadhia katika vitabu ikatufikia mpaka sisi leo. Najivunia sana elimu hii kuwa nayo sisi Waislamu.
 
  • Koran ilivyoteremshwa sivyo ilivyo leo hii mmepangua surah na kuzipanga upya , Koran verse na verse haviendani unakuta habari kama ya Musa iko scattered kila maali hakuna mtiriko wa kueleweka
  • Hizi verse za kunyonyesha mtu mzima zilikuwa ndani ya koran kwa nini leo hii hazipo? Nani alizifuta
    • Sahih Muslim 1452a 'A'isha (Allah be pleased with, her) reported that it had been revealed in the Holy Qur'an that ten clear sucklings make the marriage unlawful, then it was abrogated by five sucklings and Allah's Apostle (ﷺ) died and it was before that time (found) in the Holy Qur'an (and recited by the Muslims).
    • Sahih Muslim 1452b ...There was revealed in the Holy Qur'an ten clear sucklings, and then five clear (sucklings)
Wewe sasa hivi sikujibu sababu huna kipya.
 
Wewe sasa hivi sikujibu sababu huna kipya.
Sema unaniogopa, unataka wasiojua uwaandikie magazeti yasiyo na point, yai imagine ni muislamu lakini ulikuwa hujui muhammad kasema mbwa wote weusi ni mashetani
  • Koran ilivyoteremshwa sivyo ilivyo leo hii mmepangua surah na kuzipanga upya , Koran verse na verse haviendani unakuta habari kama ya Musa iko scattered kila maali hakuna mtiriko wa kueleweka
  • Hizi verse za kunyonyesha mtu mzima zilikuwa ndani ya koran kwa nini leo hii hazipo? Nani alizifuta
    • Sahih Muslim 1452a 'A'isha (Allah be pleased with, her) reported that it had been revealed in the Holy Qur'an that ten clear sucklings make the marriage unlawful, then it was abrogated by five sucklings and Allah's Apostle (ﷺ) died and it was before that time (found) in the Holy Qur'an (and recited by the Muslims).
    • Sahih Muslim 1452b ...There was revealed in the Holy Qur'an ten clear sucklings, and then five clear (sucklings)
 
Chimbuko la maandiko ni Mungu mwenyewe, Mungu ndiye aliyeandika hiyo biblia.
Kumbuka hapa hatupo kijiweni kijana na hatupigi stori za paukwa pakawa. Onyesha wapi Mungu ameandika Biblia.

Kuna muda unakuwa mjinga mpaka naona ndiyo maana unakana juu ya uwepo wa Mola.
Sasa kuhoji habari za chimbuko naona ni kupoteza muda kizembe
Kauli yako hii itakuwa ya kweli mpaka utakapo thibitisha na kuonyesha ukweli wa kauli yako ya juu. Hatulei wajinga.
Unataka kumjua roho mtakatifu ila hutaki kutumia njia aliyojiwekea ili umjue?
Onyesha hiyo njia alipo iweka huyo roho mtakatifu. Usiandike ilimradi umeandika tu.
Roho mtakatifu hawezi kukaa mahala pachafu, wewe Kisai ni mchafu kwa maana hiyo huwezi ukamjua mpaka pale utakapoamua kuwamsafi (kubatizwa) vinginevyo roho mtakatifu utaendelea kumsoma kwenye fonts za JF

Uko tayari kutakasika ikiwemo kubatizwa ili umjue roho mtakatifu?

Au umechagua kubaki mchafu?

Uchaguzi ni wako
Kijana huna hoja tena unarudia rudia tu maneno yale yale.

Kazi yangu nimemaliza.
 
Kijana rejea wewe uliye kosea kunukuu nilichokiandika.

Kijana hapa hatuongelei kudai hata wewe leo hii unadai ya kuwa Mola hayupo, lakini je ni kweli Mola hayupo ? Jibu ni kinyume chake. Sasa sisi tunautafuta ukweli na kutaka kumjua mkweli ni naniz ndiyo maana nikasema huko awali bila mitume kuwepo watu wangedai kila wanachokidai na kukaliwa kimya. Kwahiyo hata weseme wao ni wakweli swali je ni wakweli kweli au kinyume chake ?

Sasa kijana naona unaniletea stori na hujibu maswali yangu ya msingi. Chimbuko la Ukristo wenyewe wanadai ni Yesu, je kweli wanayo yadai na kuyaamini ya kweli yanatoka kwa Yesu ?

Sasa hizo hatua unazo sema ndiyo zimeelekezwa na Yesu au ni maoni yao binafsi ? Sasa usipoteze muda kwenye hakuna, sababu hata misingi nayo ina marejeo yake.

Hakuna mahali nimeelezea Biblia kwa kufata misingi ya Qur'aan, nimeelezea namna sahihi ya kuujua ukweli kwa mujibu wa uhalisia na kufata elimu za uhakiki wa habari, misingi ambayo pia ilitumika kujua ukweli juu ya yale ambayo watu walikuwa wanasema yametoka kwa Mtume. Kwahiyo usiandike ambacho sijakifanya.

Kwahiyo kukiri kwao kuwa ni cha kweli hakutoshi mpaka waonyeshe huo ukweli ambao wanaukiri.

Biblia wenyewe Wakristo wanasema ina vitabu 72 wengine wanasema 73 kwa kumbukumbu zangu, na humo zimo habari za Yesu na wenginez mpaka kuna kumbukumbu la Torati na vitabu vinginez usahihi wa hivi vitabu lazima uhakikiwe. Siyo kudai tu ya kuwa kitabu fulani ni cha kweli oasi na kuonyesha huo ukweli wenyewe.
Bado una ubishi wa kizamani hata ukirekebishwa mahali ulipokosea bado unajitia ujuaji
1655799644997.png


Usi flip hoja, hoja sio Mungu hayupo hapa nazungumzia imani labda kama unataka kusema imani ni madai (jambo ambalo hata uislamu utabidi uhusike)

N kwa kuweza kujua ni wa kweli kwanini usiangalie katika hizo nia walizozisema wao uone kama hazikuleti kwenye jibu la kweli?

Kwanini usijaribu kufata muongozo ambao wao wameupendekeza?

Ukisema wakristo wanadai chimbuko lao ni Yesu pia ukumbuke Yesu huyo alikuwa mbinguni. Kwa hiyo usaijiwekee dhana kwamba kwasababu yesu alizaliwa hapa duniani basi ndio mwanzo wa ukristo, wakristo walikuwa wanamjua Yesu akiwa mbinguni a ni biblia hiyo hiyo imeeleza namna alivyo teuliwa kuja duniani.

Namna gani sahihi ya kujua ukweli ambayo haizingatii misingi ya imani husika iliyojiwekea?

Leo hii mtu akisema uislamu ni uongo kwasababu unaabudu jiwe linaloitwa kaaba, mtu huyo ni lazima atakuwa yuko katika imani pingamizi na yako na amefanya comparison ya kile mnacho kiabudu kwa kulinganisha na yale ambayo ni sahihi kwa dini yake na makatazo ya dini yake ambayo yanakataza vitu vingi ikiwemo ibada za kuabudu mawe

Hata wewe hapa kusema kwako jambo fulani linafanywa na wakristo kwa kupotosha , on other hand kuna misingi ya kiimani unayo shkilia kupima usahihi wa vitu vingine vilivyo nje na imani yako.

Biblia kuwa a vitabu 72 au 73 sio jambo la kufanya imani yao iwe ya uongo, maana hata nyinyi mnamatabaka mengi na mnapishana kwenye mambo mengi kwenye vtabu vyenu vya dini na hata humu tunawaona mkizozana wenyewe kwa wenyewe.

Mimi hoja yangu nashauri muache kutumia hivi vitabu vya dini kama hoja za uthibitisho dhidi ya atheists kwasababu hata nyinyi kwa nyinyi hamkubaliani na wewe umekiri kuwa haiwezekani mkawa kitu kimoja

Ugumu unaoupata wewe kushawishika kwa hoja za biblia na kuziona jinsi ambavyo hazifai kuwa uthibitisho wa kukushawishi kukubali ukristo basi fikiria hali hiyo hiyo inanipata mimi pale ambapo unajaribu kunielezea habari za Allah.
 
Kumbuka hapa hatupo kijiweni kijana na hatupigi stori za paukwa pakawa. Onyesha wapi Mungu ameandika Biblia.
Wapi ukimaanisha nini?

Unamaanisha aya iliyosema Mungu kaandika biblia?
Kuna muda unakuwa mjinga mpaka naona ndiyo maana unakana juu ya uwepo wa Mola.
Usijari, hiyo hali unayo i face inaweza kumtokea yeyote yule anayetaka kutumia mbinu za mlango wa nyuma ku forge uthibitisho
Kauli yako hii itakuwa ya kweli mpaka utakapo thibitisha na kuonyesha ukweli wa kauli yako ya juu. Hatulei wajinga.
Uthibitisho gani?
Onyesha hiyo njia alipo iweka huyo roho mtakatifu. Usiandike ilimradi umeandika tu.
Nimekuambia roho mtakatifu hakai mahala pachafu, na wewe kisai ni mchafu. Iliuwe msafi unatakiwa ubatizwe na ukiri kuwa Yesu ni njia ya kweli na uzima na pia alikufa msalabani kwa ajili yako.

Kijana huna hoja tena unarudia rudia tu maneno yale yale.

Kazi yangu nimemaliza.
Uko tayari kuwa msafi ili umpokee roho mtakatifu?
 
Nimecheka sana, naona umeshindwa kukosoa nilichokikosoa kwako. Hivi ndivyo nilivyo mimi.

Walau ungejitahidi hata kukosoa nilichokiandika kuliko kuruka kwenye hitimisho la kivivu ns uzembe wa hali ya juu.

Ulicho hitimisha kimeonyesha ya kuwa wewe ni mparamia mambo usiyo yajua na kuyasemea mwisho wa siku unakimbia hoja kwa mtindo huu.

Msingi wa uhakiki wa habari mzuri sana na huwa najivunia sana kufundishwa msingi huu.

Allah uliye juu walipe kheri waja wako ulio wateua na kuwapa elimu hii adhimu ya uhakiki wa habar, kisha wakatuhifadhia katika vitabu ikatufikia mpaka sisi leo. Najivunia sana elimu hii kuwa nayo sisi Waislamu.
Cheka ujinga wako mi nakuelekeza unaniona Joker

Mimi nikosoe tena?

Au umesahau wewe ndio ulikuwa una hilo jukumu la kukikosoa biblia na tumefika hapa kwasababu hujataka kufata kanuni zilizowekwa?

Hiyo paragraph ya mwisho hapo ni dua ukituombea kwa Allah? Una hakika amejiunga JF a umeamua kujichosha tu?
 
Kwanza vijana tuweni makini na matamko tunayo yatumia, hakikisha kama hujui maana ya tamko fulani, usilitumie mpaka pale utakapo lijua na ikibidi ujue mpaka etimolojia yake

Kauli yako ya "Kwani wazo ni nini au idea ?" Umeandika kisicho na maana kwa mtindo wa swali, yaani ulichofanya wewe kulinganisha maneno ya lugha tofauti yenye maana moja. Hili ni tatizo lako la kutokuwa makini. Wazo kwa Kingereza ni "Idea" au "Concept".

Siyo kwamba nafikiri, bali uhakika wa mambo ni kuwa hakuna nabii aliye wahi kuwa Mwanafalsafa, labda kama kuna maana nyingine ya tamko falsafa. Msiwe mnayalazimisha haya mambo, wakati hakika yake iko wazi. Sasa fatilia iliko anzia anzia falsafa na ujue etimolojia ya tamko "Falsafa". Msingi wa falsafa ni utashi wa mtu binafsi na mawazo yake kulingana na kile anachokiona yeye, jambo ambalo kwa mitume na manabii hawana kitu hiki, wao wanafanya kama walivyo elekezwa na Mola aliye watuma.
Idea au wazo kwa lugha ya kiswahili , ndo nmemaanisha , sio kwamba nmekosea ila ni wewe tu umeshindwa kutambua .Hao manabii walipewa na Mungu , Mungu ni nani na unauhakika gani walipewa au umeamini tu? Na kama umeamini tu unauhakika gani ulichoamini ni sahihi?
 
Idea au wazo kwa lugha ya kiswahili , ndo nmemaanisha , sio kwamba nmekosea ila ni wewe tu umeshindwa kutambua .Hao manabii walipewa na Mungu , Mungu ni nani na unauhakika gani walipewa au umeamini tu? Na kama umeamini tu unauhakika gani ulichoamini ni sahihi?
Ukimuandikia mtu hivi "Kwani wazo ni nini au idea ?" Kupatia kwako kuko wapi hapo ?

Vijana mkiwa mnakosolewa kubalini kisha urekebishe ulipo kosea.
 
Cheka ujinga wako mi nakuelekeza unaniona Joker

Mimi nikosoe tena?

Au umesahau wewe ndio ulikuwa una hilo jukumu la kukikosoa biblia na tumefika hapa kwasababu hujataka kufata kanuni zilizowekwa?

Hiyo paragraph ya mwisho hapo ni dua ukituombea kwa Allah? Una hakika amejiunga JF a umeamua kujichosha tu?
Unazidi kukosea na kazi yangu nimemaliza. Nakuacha ujibizane na hoja zangu sababu hujajibu hata moja katika maoni yako yote matatu uliyo ni "quote".
 
Usiniulize swali kwa mtindo huo kwamba nahisi muujiza ni nini ? Maana ya muujiza nimeshaitoa huko juu.

Kwanza hawawezi kutokea kwa mtindo huo, lakini hawawezi kushangaa sababu wao ni mitume na wamebashiri mengi sana ambayo tunayaona leo hii. Mfano wa suala la kuenea kwa habari ndani ya muda mfupi, Mtume wetu Muhammad hili alilisema ya kuwa kutafikia zama, habari itaenea dunia nzima ndani ya muda mfupi kuliko zama zao. Na hili tunalina, kadhalika watu wa mashambani kuja mjini na kushindana kujenga majengo marefu, sasa vipi washangae ? Shida yenu hamkuwahi kuwajua hawa viumbe witwao mitume na manabii, wao walikuwa mbele ya wakati. Yaani kuna mengi wameyasema yatakuwepo na bado mpaka muda hayajatokea ila yatatokea. Kwahiyo muwe mnayafatilia mambo haya kwa undani ili muepukane na makosa ya kizembe kama haya. Yaani unaandika jambo unaonekana kabisa hujui lakini unajiona unajua.
Huna hoja mkuu zaidi ya makasiriko , sio tatizo lako ni tatzo la dini yako iliyojengwa kwa misingi ya ego, balance kwanza mhemko ndo ujibu huu Uzi kwa hoja zenye mashiko.
 
Huna hoja mkuu zaidi ya makasiriko , sio tatizo lako ni tatzo la dini yako iliyojengwa kwa misingi ya ego, balance kwanza mhemko ndo ujibu huu Uzi kwa hoja zenye mashiko.
Ajabu unaposema sina hoja muda ambao hujajibu wala kukosoa nilichokiandika bali hata kutetea hoja yako kadhalika umeshindwa.

Hivi ndivyo nilivyo mimi. Kazi yangu nimemaliza.
 
Siyo nahisi yaani najua ya kuwa Qur'aan ndiyo ukweli sababu ni kitabu ambacho kwanza akili haipngani nacho, kipo katika uhalisia na ni kitabu ambacho hakijaingizwa mkono wala kucjafuliwa kwa namna yoyote na ndiyo kitabu pekee ambacho kipo vile vile kama kilivyoteremshwa kuliko vitabu vingine, leo hii hakuna matini ya Injili, wala Taurati wala Zaburi kama vilivyo pokelewa toka kwa mitume husika.

Kwahiyo mimi nimezaliwa kwenye Uislamu, namshukuru Mola kwa kunipa neema hii, lakini nimeusoma Uislamu na ninaendelea kuusoma Uislamu mpaka pale nitakapo rejea kwa Mola wangu.

Ukweli uko wazi na uongo uko wazi, ni wewe au mimi kuamua tu kuchagua kipi cha kufata. Kwahiyo kusema sijapitia uongo wakati huo uongo nauona ni kuonyesha ya kuwa hauko makini na hili jambo au unaandika tu haya mambo kwa kujifurahisha.

Mfano wako huu ni mfu muda ambao kila kitu kimeshawekwa wazi ni mtu kuamua tu.

Muda huu unao andika haya yasiyokuwa na maana ukitakiwa uonyeshe ulazima wa mimi kuwa neutral na kuonyesha uongo wa huki nilipo egemea, lakini hili hulionyeshi.

Hii ni dhana ambayo huwezi kuithibitisha hata kwa miaka kumi. Mola ameshapambanua haki na batili. Na Mola wetu hataki watu wazembe bali anataka watu wafanye yenye manufaa na watumie akili, kunalance kwa mtindo huu unao usema wewe ni kuruhusu watu kuwa wajinga na kufanya mambo wanavyo taka wao na si kwa usahihi..

Haya ndiyo matatizo ya kutumia falsafa katika uhalisia, ukweli ndiyo uhalisia na hakuna nyingi kijana, uongo ni kinyume cha ukweli.

Kingine uliyo yaandika si kweli, na unapingana na uhalisia na kuondoa sababu ya kwanini tumepewa akili. Maana ya akili ni uwezo wa mtu kujizuia na yale yenye kudhuru au kimdhuru, hii ndiyo maana ya akili. Maana tu ya akili inapingana na ulichokiandika. Hu ndiyo ujinga Falsafa zenu kwa kwamba kuna ukweli muhimili na kuna ukweli wa namna unavyojitokeza kwa mtu fulani. Falsafa ziliwadumaza wengi sana.
Pinga hoja kwa hoja . Unalialia tu nakulalamika kwanza nikufahamishe tu sitaweza kuwa muumin wa dini yako ,naona kama unanihubiria, mada ipo kifalsafla wewe unataka nichambue kwa maandiko na tamaduni na kiarabu na kiebrania , ambayo yalikuja Kwenye meli tu huku kwetu tena kwa nia mbaya!? MADA IPO KIFALSAFA KWA NINI NIIJIBU KIDIN WAKATI SIPO KWENYE MAJUKWAA YA DINI?
 
Unazidi kukosea na kazi yangu nimemaliza. Nakuacha ujibizane na hoja zangu sababu hujajibu hata moja katika maoni yako yote matatu uliyo ni "quote".
Lets agree not to disagree lakini ukweli utabaki kuwa pale pale

Matumizi ya vitabu vya dini kama hoja za uthibitisho hufaa kutolewa kwa mtu ambaye ana amini hicho kitabu otherwise mtakesha tu.

Ukiwa muislam inafahamika Quran ndio kitabu chako cha muongozo, kitabu hicho hakina msaada wowote kwa asiye muislamu kama ilivyo kwa Bible isivyokuwa na mantiki kwa muislamu

Mi nakuambia thibitisha Allah yupo, we unakuja na vifungu vya Quran eti "Allah anasema je nyie mmetokana pasi na chochote" Huo ni mzaha kwenye mjadala
 
Kijana rejea wewe uliye kosea kunukuu nilichokiandika.

Kijana hapa hatuongelei kudai hata wewe leo hii unadai ya kuwa Mola hayupo, lakini je ni kweli Mola hayupo ? Jibu ni kinyume chake. Sasa sisi tunautafuta ukweli na kutaka kumjua mkweli ni naniz ndiyo maana nikasema huko awali bila mitume kuwepo watu wangedai kila wanachokidai na kukaliwa kimya. Kwahiyo hata weseme wao ni wakweli swali je ni wakweli kweli au kinyume chake ?

Sasa kijana naona unaniletea stori na hujibu maswali yangu ya msingi. Chimbuko la Ukristo wenyewe wanadai ni Yesu, je kweli wanayo yadai na kuyaamini ya kweli yanatoka kwa Yesu ?

Sasa hizo hatua unazo sema ndiyo zimeelekezwa na Yesu au ni maoni yao binafsi ? Sasa usipoteze muda kwenye hakuna, sababu hata misingi nayo ina marejeo yake.

Hakuna mahali nimeelezea Biblia kwa kufata misingi ya Qur'aan, nimeelezea namna sahihi ya kuujua ukweli kwa mujibu wa uhalisia na kufata elimu za uhakiki wa habari, misingi ambayo pia ilitumika kujua ukweli juu ya yale ambayo watu walikuwa wanasema yametoka kwa Mtume. Kwahiyo usiandike ambacho sijakifanya.

Kwahiyo kukiri kwao kuwa ni cha kweli hakutoshi mpaka waonyeshe huo ukweli ambao wanaukiri.

Biblia wenyewe Wakristo wanasema ina vitabu 72 wengine wanasema 73 kwa kumbukumbu zangu, na humo zimo habari za Yesu na wenginez mpaka kuna kumbukumbu la Torati na vitabu vinginez usahihi wa hivi vitabu lazima uhakikiwe. Siyo kudai tu ya kuwa kitabu fulani ni cha kweli oasi na kuonyesha huo ukweli wenyewe.
Wewe umeona tu utofauti wa idadi vitabu kuwa ni tatizo , hauoni utofauti wa idadi ya din , kuna dini zaidi ya 40000 kila dini one ego yake , malizeni tofauti zenu kwanza mpate din moja yenye majibu sawa ndo uje upinge MUNGU ni energy au super intelligence
 
Ukimuandikia mtu hivi "Kwani wazo ni nini au idea ?" Kupatia kwako kuko wapi hapo ?

Vijana mkiwa mnakosolewa kubalini kisha urekebishe ulipo kosea.
Kukosea kwangu ni mtizamo wako ila mimi nionavyo nipo sahihi jibu swali nijue.
 
Ajabu unaposema sina hoja muda ambao hujajibu wala kukosoa nilichokiandika bali hata kutetea hoja yako kadhalika umeshindwa.

Hivi ndivyo nilivyo mimi. Kazi yangu nimemaliza.
Siwezi kukosoa coz unatumia kitabu ambacho wewe una amini hakuina shaka leta hoja kifalsafla ikosolewe kifalsafla , mambo ya dini zenu nitakosoaje akati mmeambiwa ni sahihi kwa matumizi yenu?
 
Pinga hoja kwa hoja . Unalialia tu nakulalamika kwanza nikufahamishe tu sitaweza kuwa muumin wa dini yako ,naona kama unanihubiria, mada ipo kifalsafla wewe unataka nichambue kwa maandiko na tamaduni na kiarabu na kiebrania , ambayo yalikuja Kwenye meli tu huku kwetu tena kwa nia mbaya!? MADA IPO KIFALSAFA KWA NINI NIIJIBU KIDIN WAKATI SIPO KWENYE MAJUKWAA YA DINI?

Sasa unaposema nipinge hoja kwa hoja, ni hoja gani wewe umeiweka hapa sijaipinga kwa hoja ?

Halafu muda huo huo unadai ya kuwa manabii walikuwa Wanadalsafa, hii inaonyesha wazi hiyo falsafa yenyewe huijui.

Kitendo cha mimi kujua tu hii mada mnaijadili kifalsafa ulitakiwa ujue tu mimi ni mtu wa aina gani. Sababu humu ndani wapo watu kwenye mjadala hawajui hata hii mada imekaa katika mlengo gani.

Aisee falsafa haijawahi kumsaidia mtu kuujua ukweli, ndiyo maana hata kukosoa hoja za aliye dhidi yako huwezi.

Nacho washauri vijana kabla hamjayatumia haya maneno jifunzeni maana na usuli wa manrno haya, ili kuepusha makosa kama haya mnsyo yafanya. Mtu umeshupalia Mola ni wazo, muda huo huo hujui wazo ni nini ?
 
Back
Top Bottom