Uhakika Bro
JF-Expert Member
- Mar 29, 2022
- 3,644
- 4,315
- Thread starter
- #81
Sawa sio kitu, ni zaidi ya kitu. Ni kama energy fulani lakini sio energy, bali ni hali tu. Sijui kuhusu nyie/wewe kuhusu tulivyolivyo na Mola alivyolivyo. Kumbuka tumesema wazo linalojitambua. Intelligent idea ama consciousness. Mawazo ambayo hayamiliki utambuzi yapo na yanakuwa yametengenezwa na yale yanayomiliki utambuzi ambayo nayo yapo[sisi]. Na yote yanaishi katika Babalao - Super Intelligence linalouwezeha hata huo utambuzi wenyewe kuwepoSiyo kisichoshikika hakiitwi kitu. Wazo nalo ni kitu chenye sifa anuai zake. Lakini hata tukijaalia wazo likawa si kitu. Wapi linatoka wazo ? Wazo halimiliki wazo halina utambuzi, vipi ulipe sifa ambayo si yake. Mfano wazo la kujenga, vipi ulipe sifa ya kujenga hali ya kuwa lenyewe halijafanyiwa kazi ?
Maana yake wazo haliwezi kuwa Mola. Ni sawa na sisi tumetoka kwa Mola kwahiyo sisi hatuwezi kuwa Mola sababu hatuna sifa alizo nazo Mola kwa dhati yake.
Uhai siyo wazo, wazo haliwi wazo mpaka liwe limewaziwa na kuwasilishwa.
Kwetu sisi, japo tunakubali kwamba Mungu mwenyewe hafananishwi.....tunafahamu kwamba sisi[wanaadamu] kiuhalisia/essence ni mfano wa Mungu. Au tuambie wewe ni nani/nini haswa kabla hatujaendelea.
Sawa sifa alizo nazo mola hatuzifikii kwa dhati yake, perfection lakini hilo halituzuii kujenga dhana kama - Mungu ni Baba yetu etc