Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Jana maeneo ya Mwenge kuna mzee mmoja anasema bila Kikwete simu za mchina tusingekuwa tunatumia anasema cmu kwa 30000 unapata nilichoka akapigilia hayo ndo maisha bora
NN naomba kupingana na wewe!Watu tuna kumbukumbu fupi sana na ukweli huu umejidhihirisha hivi sasa kwenye haya matatizo ya umeme. Waziri Ngeleja anaoneka ndiye kama vile amesababisha matatizo yote haya wakati ukweli wa mambo umeme wa uhakika umekuwa tatizo sugu Tanzania.
Sasa iweje Ngeleja leo abebeshwe msalaba wa lawama na shutuma wakati mawaziri wa nishati na serikali zilizopita zimemrithisha tatizo? Hiyo si haki hata kidogo. Jaribuni tu kurudi nyuma miaka 20 iliyopita muone ni kina nani waliweza kupata fursa ya kuongoza wizara hiyo na walifanya nini kuhakikisha tatizo linakuwa historia.
I cut him some slack!!
I hate emergency power back up. Jamani serikali yangu tukubali infinite solution ya tatizo ni dedicated long run investment kwenye umeme mengine ni porojo tu .. Na hii inawezekana per phase mpaka tutatua hili tatizo.... Hii emergency power inaonekana ni njia nzuri ya mianya ya rushwa ndio maana wanaipenda sana ...
Mwanakijiji umenikumbusha mahojiano yako na Ngereja mara ya mwisho alikuomba sana kuwatetea akiamini unaweza, nimeamini kweli unaweza!
Lakini sijaona katika maelezo yako yote hata aya moja inayomtetea Ngereja? Badala yake umemuingiza kwenye moto zaidi, nadhani bado ana maswali ya kujibu kabla ya kuwajibishwa; Lakini la kumuondoa ni muhimu na haliepukiki sijui kwanini hukuliweka katika hitimisho lako?!
Nakubaliana na maono yako na ushauri wako juu ya nini kifanyike kukabiliana na tatizo la Umeme, lakini nabaki na swali moja Ngeleja amefanyanini tokea aingie ndani ya Wizara hiyo mpaka tusimwajibishe? Umenishangaza wewe mtu wa pembeni kuwa na mawazo hayo mazuri ambayo yanaweza kuwekwa mezani na kuboreshwa! Yeye mbona hana mawazo yoyote? Kwanini wewe unayefikia strategy mbadala ndiye husiwe Waziri wa Nishati nawe Ngereja ambaye amelala tu?
Yes tatizo halikuanza leo lakini jibu lazima lianze leo; Ngereja awajibishwa na aondoke kwasababu hana uwezo wala akili ya kuanzisha majibu ya kukabiliana na ukubwa wa tatizo;ameshindwa kuleta majibu hilo ndilo kosa lake, siyo kuwa tunataka awajibishwe kwasababu kuna tatizo! au husidhani kuwa tunafikiria kuwa yeye ndio kaleta tatizo! la asha! yeye kashindwa kutatua tatizo!
Nadhani kaingia hapo kama matunda ya Richmonds na Dowans sasa aondoke tu maana hata waliomuweka hapo walishaondoka siku nyingi ndani ya Serikali, hawezi ku-sychronise na mbinu za kutatuwa tatizo la Umeme kwasababu nadhani yeye aliwekwa hapo kuliongeza zaidi ili Kampuni yao ya Richmond na Dowans ipate kazi zaidi.
I still maintain that there is no one, absolutely no one that knows what to do. If there is one out there, then he or she should prove me wrong.
You can prove yourself wrong, yes you can!
PS. Acha kubeba maboksi huku ulete umeme!
Ha ha ha ha ...maboksi indeed!You can prove yourself wrong, yes you can!
PS. Acha kubeba maboksi huku ulete umeme!
Nyinyi kubalini tu kuwa hatuwezi kulitatua hili tatizo. Kama tunaweza tungekuwa tushalitatua. Sasa kama mpo ambao mnadhani mnaweza kulitatua hebu litatueni basi mniumbue mimi wenu mtukutu.....
Narudia tena, hakuna mwenye ubavu wala werevu wa kulitatua hili tatizo.
Well, labda Ngeleja kaliona lakini anaogopa asije gombezwa hadharani na wakubwa zake kama Magufuli alivyofanyiwa 🙁Hapa ni president na PM wafanye haya maamuzi ya ukweli alau tuone kama Ngeleja atashindwa kutekeleza.Makala nzuri lakini sijaona ni mahali gani pa kuthibitisha kwamba Ngeleja hahusiki na tatizo au kuonyesha kama yeye binafsi siyo tatizo.Ngeleja kukuta tatizo la Nishati kutoka katika serikali zilizopita siyo hoja, hoja ni kwamba kwa muda mrefu amekuwepo katika wizara hiyo kiasi cha kumfanya awe amefanya kitu fulani cha kuondoa/kupunguza tatizo. Kiufupi Ngeleja ndiye Waziri mwenye dhamana, na anatakiwa awoconvice Watanzania kwamba anafanya jambo na matunda yanaonekana, lakini so far kwa muda aliokaa katika hiyo wizara nyimbo ni zilezile kila siku na tatizo la umeme liko palepale.Wewe MKJJ umejaribu kuliona hilo tatizo, mbona hujiulizi kama Ngeleja kaliona?, Kama kaliona amefanya nini?, kama amefanya kitu mbona tatizo liko palepale?.So far Ngeleja Must go.
Hivi sasa hivi tuna umeme?Ngeleja anaweza kuwajibishwa lakini atawajibishwa kwa kosa gani?
Hivi sasa hivi tuna umeme?
Ni yeye lakini yeye anatekeleza tu sera za chama chake zilivyo na anaweza kufanya tu yale ambayo Wabunge wake wanampatia fedha kuyafanya na madaraka kuyafanya.Hivi ni nani waziri wa nishati?
Hivi Ngeleja is he doing the job perfectly?
Mkuu labda ungesema Ngeleja na wenzake wengi wanapaswa kuwajibika..., na sio kwamba wengine ndio wawajibike apart from Ngeleja (it should be including Ngeleja)
hilo linaturudisha kwa Kikwete.
Lini tumewahi kuwa na umeme wa kutosha?
Kwahiyo sababu Commander mwenyewe hawezi kuwajibika ni bora tuondoke na hata huyu waziri wa nishati and maybe.., just maybe the other person who steps in Ngeleja shoes will be more serious na kuacha kupiga watu changa la macho na kutufanya hatuna akili kwa ahadi hewa na miradi mingi ambayo yote haifanyiki... Maybe Just Maybe atakuwa more realistic na kuja na one mradi at a time na kuangalia hii issue in long term. Pia mbona mawaziri wengine wa CCM kama Magufuli they are more serious na wanachokifanya kinaonekana..