UTEUZI: CCM yawateua wagombea Ujumbe wa Halmashauri Kuu (NEC)

UTEUZI: CCM yawateua wagombea Ujumbe wa Halmashauri Kuu (NEC)

Magufuli alipunguza Idadi ya wajumbe was Kamati kuu ya CCM kutoka 15 hadi 6 kwa Tanzania bara, SAMIA ameamua airudishe kama ilivyokuwa wakati was Kikwete.

Ndio shida ya Africa chama ni Mwenyekiti na Mwenyekiti ndio chama atakavyotaka ndivyo itakavyokuwa-zidumu fikra za Mwenyekiti.
 
Magufuli alipunguza Idadi ya wajumbe was Kamati kuu ya CCM kutoka 15 hadi 6 kwa Tanzania bara,SAMIA ameamua airudishe kama ilivyokuwa wakati was Kikwete.
Ndio shida ya Africa chama ni Mwenyekiti na Mwenyekiti ndio chama atakavyotaka ndivyo itakavyokuwa-zidumu fikra za Mwenyekiti.
Weka ushahidi hapa
 
POLE SANA TANZANIA.

MUNGU TUNAOMBA UTUINULIE KIONGOZI WA NCHI YETU.

UTUEPUSHE NA MADIKTETA,WALAFI, MAFISADI,WEZI NA MAJIZI.
 
Magufuli alipunguza Idadi ya wajumbe was Kamati kuu ya CCM kutoka 15 hadi 6 kwa Tanzania bara,SAMIA ameamua airudishe kama ilivyokuwa wakati was Kikwete.
Ndio shida ya Africa chama ni Mwenyekiti na Mwenyekiti ndio chama atakavyotaka ndivyo itakavyokuwa-zidumu fikra za Mwenyekiti.
Una laana ya kushuhudia wenzako uongo, ukiombwa ushahidi wa hili unaanza kumbwela tu
 
Back
Top Bottom