Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Magufuli alipunguza Idadi ya wajumbe was Kamati kuu ya CCM kutoka 15 hadi 6 kwa Tanzania bara, SAMIA ameamua airudishe kama ilivyokuwa wakati was Kikwete.
Ndio shida ya Africa chama ni Mwenyekiti na Mwenyekiti ndio chama atakavyotaka ndivyo itakavyokuwa-zidumu fikra za Mwenyekiti.
Ndio shida ya Africa chama ni Mwenyekiti na Mwenyekiti ndio chama atakavyotaka ndivyo itakavyokuwa-zidumu fikra za Mwenyekiti.