UTEUZI: CCM yawateua wagombea Ujumbe wa Halmashauri Kuu (NEC)

UTEUZI: CCM yawateua wagombea Ujumbe wa Halmashauri Kuu (NEC)

1.shilole
2. manara
3. wassira
4. dauda
5. keisha
6. lukuvi
7. mwigulu ana tamaa sana, ina maana kwenye fedha hajaridhika nako..au kibubu kakimaliza anataka hamia kibubu cha chamani nako akombe??
8. msukuma, PHd ya mchongo ile atulie tu
9. gwajima bishop langu la ukweli, anapambana kushusha heshima yake ila Mungu anamgomea..jina halitarudi kwenye mambo ya kaisari😛
10.lukuvi, ikulu imekugomea unapambana na chamani ambako wapo waliokukataa ikulu ndio madereva huku
 
1.shilole
2. manara
3. wassira
4. dauda
5. keisha
6. lukuvi
7. mwigulu ana tamaa sana, ina maana kwenye fedha hajaridhika nako..au kibubu kakimaliza anataka hamia kibubu cha chamani nako akombe??
8. msukuma, PHd ya mchongo ile atulie tu
9. gwajima bishop langu la ukweli, anapambana kushusha heshima yake ila Mungu anamgomea..jina halitarudi kwenye mambo ya kaisari😛
10.lukuvi, ikulu imekugomea unapambana na chamani ambako wapo waliokukataa ikulu ndio madereva huku
Hahaha kwani Wewe ni mpiga kura?
 
Jina la Brother limerudi wajumbe naomba Kura kwake
Screenshot_20221206-222946.jpg
 
Nimeona orodha iliyopitishwa ya wagombea viti vya wajumbe wa Halmashauri kuu ya taifa ya CCM ambacho ni chombo kikuu cha maamuzi ndani ya CCM na nchi kama chama tawala hakika ni mzaha wa hali ya juu na nchi inaenda kuwa kusanyiko la wajinga.

Unawezaje kuweka wagombea kama Haji Manara, Shilole au Keisha?

Yaani hao ndio wanaweza kujadili mambo mazito ya nchi kwa niaba ya wanaccm?

Hakika Mama Samia kama mwenyekiti ameridhia hayo napata mashaka makubwa kama anaielewa njia anayoipeleka nchi. Na kama kuna ansye mshauri hayo amuangaĺie kwa jicho la tatu.
 
Kila mtu yupo Kwa ajili ya maslahi yake .
Ukiona wajinga watakupa maslahi yako basi watumie.

Kwa katiba hii iliyopo hata vichaa wanaweza wakapitia CCM na wakatwala nchi na Dola likawalinda mana itakua pia ni fursa Kwa wakubwa kwenye vyombo hivyo kujichukulia vyao kama nyumba inazimwa taa .

Wakati tukiwa tunasoma SHULE ZA SERIKALI ZA BODING KULIKUA NA UBABE MWINGI SANA WAKATI WA KULA CHAKULA AU MENYU. Ikitikea ghafla umeme ukakatika wakati wa kugawa chakula basi nusu au robo tatu ya Darasa watalala njaa. Mana chakula kitagombaniwa na hata kumwagikia chini na watu watatawanyika na kukimbilia mabwenini na viwanjana bila kujulikana. Wenye nguvu na wakorofi ,wavuta bhangi siku hiyo watahifadhi vyakula kwenye makabati hasa siku ya wali au nyama.

Ukiona sehemu yenye SHERIA na taratibu lakini mambo yanakwenda hovyo hovyo basi ujue taa imezimwa. Ni fursa kwa wahuni kugombania chakula na wastarabu watalala njaa.

Wapinzani wakiweza kuyasemea mahitaji ya watanzania wote CCM itatoka ipende isipende.

Mfano : Kuyasemea matatizo ya Wakulima,wafanyakazi,wavuvi,wafanyabiashara wakubwa na wadogo, wanafunzi wa sekondari na vyuo , Mapolisi, wanajeshi, migambo, wenyeviti wa serikali za mitaa,madiwani, wajumbe wa mitaa , madereva n.k.

Kuwasemea watanzania bila maneno ya dharau na kuwatukana au kudhalilisha Hakika watu watachagua kati ya ufisadi na uadilifu.

Mtu akijitikeza kukemea ubaya tumuunge mkono bila kujali Chama .
 
Nimeona orodha iliyopitishwa ya wagombea viti vya wajumbe wa Halmashauri kuu ya taifa ya CCM ambacho ni chombo kikuu cha maamuzi ndani ya CCM na nchi kama chama tawala hakika ni mzaha wa hali ya juu na nchi inaenda kuwa kusanyiko la wajinga.
Unawezaje kuweka wagombea kama Haji Manara, Shilole au Keisha?
Yaani hao ndio wanaweza kujadili mambo mazito ya nchi kwa niaba ya wanaccm?
Hakika Mama Samia kama mwenyekiti ameridhia hayo napata mashaka makubwa kama anaielewa njia anayoipeleka nchi. Na kama kuna ansye mshauri hayo amuangaĺie kwa jicho la tatu.
Huyo Keisha si alikuwemo humo?
 
Endeeleni kufikiri kuwa Kuna watu wanafikiria kitataua matatizo ya nchi hii.
 
Back
Top Bottom