UTEUZI: CCM yawateua wagombea Ujumbe wa Halmashauri Kuu (NEC)

UTEUZI: CCM yawateua wagombea Ujumbe wa Halmashauri Kuu (NEC)

Yaani Nakerekwa na vile kila mtu anaipost CCM whatsapp status, twitter, instagram, Jamii Forum, Yaani Hii sisi Tutaitoa kweli?
 
Wamenisahau
kazi kubwa za Kamati Kuu ni zipi,maana naona kila mmoja anakazana kuwa mle! kuna ujiko/ulaji/madaraka gani gani kuwa kule. Sorry i might look quite strange kutokujua hivi basic thing
 
Gwajima atapita kweli?
Sijaliona jina lake!

Kama yumo kuna majina mawili tu ya msingi hapo ;-

1.Bashungwa
2.Gwajima

Hayo tu kama yapo lazima yapite!

Hata hivyo wasijisumbue kuhonga!

Kwani watahonga hewa tu,watafurahia KWA muda TU!

Nashangaa Bashiru hayumo KABISA!
 
1.shilole
2. manara
3. wassira
4. dauda
5. keisha
6. lukuvi
7. mwigulu ana tamaa sana, ina maana kwenye fedha hajaridhika nako..au kibubu kakimaliza anataka hamia kibubu cha chamani nako akombe??
8. msukuma, PHd ya mchongo ile atulie tu
9. gwajima bishop langu la ukweli, anapambana kushusha heshima yake ila Mungu anamgomea..jina halitarudi kwenye mambo ya kaisari😛
10.lukuvi, ikulu imekugomea unapambana na chamani ambako wapo waliokukataa ikulu ndio madereva huku
naona kama kuna jina la malaya hapo, kulikoni?
 
1.shilole
2. manara
3. wassira
4. dauda
5. keisha
6. lukuvi
7. mwigulu ana tamaa sana, ina maana kwenye fedha hajaridhika nako..au kibubu kakimaliza anataka hamia kibubu cha chamani nako akombe??
8. msukuma, PHd ya mchongo ile atulie tu
9. gwajima bishop langu la ukweli, anapambana kushusha heshima yake ila Mungu anamgomea..jina halitarudi kwenye mambo ya kaisari😛
10.lukuvi, ikulu imekugomea unapambana na chamani ambako wapo waliokukataa ikulu ndio madereva huku

Halima yahya(divana)- muigizaji
 
Namba 42 kwa wanaume mmemkosea adabu kwa kutoweka (PhD). Ifike wakati watanzania tuheshimu watu
 
CCM Demokrasia ni ya kiwango cha juu Sana

Demokrasia ya watu Million 59 kuwakilishwa na wajumbe 15 na watu Million 1,8 kuwakilishwa na wajumbe 15 !.

Huu ni upuuzi wa kiwango cha lami.
 
Naona Clouds Media hawataki kubaki nyuma. Baadhi ya Watangazaji nimewaona kwenye kinyang'anyiro.
 
Nimeona orodha iliyopitishwa ya wagombea viti vya wajumbe wa Halmashauri kuu ya taifa ya CCM ambacho ni chombo kikuu cha maamuzi ndani ya CCM na nchi kama chama tawala hakika ni mzaha wa hali ya juu na nchi inaenda kuwa kusanyiko la wajinga.

Unawezaje kuweka wagombea kama Haji Manara, Shilole au Keisha?

Yaani hao ndio wanaweza kujadili mambo mazito ya nchi kwa niaba ya wanaccm?

Hakika Mama Samia kama mwenyekiti ameridhia hayo napata mashaka makubwa kama anaielewa njia anayoipeleka nchi. Na kama kuna ansye mshauri hayo amuangaĺie kwa jicho la tatu.

Noma sana
 
Kumbe ndo wengi ivo alafu kina manara wanshindania nafasi moja na simbachawene ?
Kama ni ivo kwisha habari yao
Btw mtu kua MNEC kuna faida ipi jameni?
 
Tamaa mbaya sana ,lijitu libilionea lakini bado tu linaomba nafasi ya UNEC ,waachieni wengine ambao hawana kitu chochote.

Jitu libunge linalamba 12m ,Jitu liwaziri linalamba 20m ,jitu ni lifanyabiashara likubwa linalaingiza mamilioni,jitu likuu la wilaya lakini linakuja kubanana na kina Haris kapiga/Shafi dauda.
 
Back
Top Bottom