Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Weka ushahidi hapaMagufuli alipunguza Idadi ya wajumbe was Kamati kuu ya CCM kutoka 15 hadi 6 kwa Tanzania bara,SAMIA ameamua airudishe kama ilivyokuwa wakati was Kikwete.
Ndio shida ya Africa chama ni Mwenyekiti na Mwenyekiti ndio chama atakavyotaka ndivyo itakavyokuwa-zidumu fikra za Mwenyekiti.
Yes ndiyo maana mnamshambulia Bashiru kwa kuwakosoa.CCM Demokrasia ni ya kiwango cha juu Sana
Una laana ya kushuhudia wenzako uongo, ukiombwa ushahidi wa hili unaanza kumbwela tuMagufuli alipunguza Idadi ya wajumbe was Kamati kuu ya CCM kutoka 15 hadi 6 kwa Tanzania bara,SAMIA ameamua airudishe kama ilivyokuwa wakati was Kikwete.
Ndio shida ya Africa chama ni Mwenyekiti na Mwenyekiti ndio chama atakavyotaka ndivyo itakavyokuwa-zidumu fikra za Mwenyekiti.
Makamanda wenzako wa ufipa hawatakusahau. Subiri listi ya Mbowe itoke.Wamenisahau
Hapana. Kwa CCM sio rahisi hivyo. Kuna demokrasia tofauti kabisa na upinzaniAiseee mbona wanaopita wanajulikana kabisa
Mulivunja TANU tukavunja ASP, sasa shida iko wapi?yaani bara na zanzibar viti ni sawa? bila kujali idadi ya watu wala jiografia.......
hayo mavitu wala siyajui, nayasikia tu...yanahusu nini?Mulivunja TANU tukavunja ASP, sasa shida iko wapi?
HAKIKA safari hii Chama kimechangamka sanaWasanii na motivation speaker kibao in the building...
Nawatakia kila la kheri kwa kweli....
Safari ya madaraka huanza taratibu
Nenda kagombee uenyekiti wa chama chako ili upake rangi hata ofisi zenu pale ufipa,siyo muda wote kutafuna pesa tu kama mchwaWamenisahau
Hayajuani maana walishazoea kutukanana muda wote,so unajuwa huko Ni Kama makambale tuSalary Slip ni mwanachama wenu mbona
MTOA RUSHWA NDIO MSHINDI15 Tu
Hahaha Ila Comred unawafahamu sana hawa mabwanaNenda kagombee uenyekiti wa chama chako ili upake rangi hata ofisi zenu pale ufipa,siyo muda wote kutafuna pesa tu kama mchwa
Hao hawajitambuiHahaha Ila Comred unawafahamu sana hawa mabwana