johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kiukweli ili tuione kiuhalisia kasi ya awamu ya 6 ilibidi Rais aingie na timu mpya kabisa ya viongozi wa kisiasa.
Hata wabunge tulipaswa kupata wa kuendana na kasi ya mama na siyo kasi ya mwendazake sema tu Katiba inawalinda.
Maendeleo hayana vyama!
Hata wabunge tulipaswa kupata wa kuendana na kasi ya mama na siyo kasi ya mwendazake sema tu Katiba inawalinda.
Maendeleo hayana vyama!