Amun Ra
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 4,713
- 7,218
Hongera crdes kwa kuteuliwa kwenu ni imani kubwa sana hiyo mmepewa na Mkt wetu Ndg Samia Suluhu Hassan,
===
Kachapeni kazi ili kutimiza matamanio na matarajio ya wananchi wetu hasa WanaCCM
===
Kasimamieni zile TZS 1.3 za IMF vizuri Kama chama kilivyoagiza kupitia katibu wetu wa NEC Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka ili Uchaguzi wetu wa 2025 uwe rahisi zaidi ya ule wa mwaka 2020.
View attachment 2003143
View attachment 2003144
View attachment 2003146
View attachment 2003147
View attachment 2003149
View attachment 2003150
View attachment 2003151
View attachment 2003153
View attachment 2003154
View attachment 2003172
View attachment 2003174
View attachment 2003175
View attachment 2003176
Uchaguzi uwe rahisi zaidi ya ule wa 2020 [emoji15][emoji15][emoji15]