UTEUZI: Chama cha Mapinduzi chateua Makatibu katika Mikoa 32 na Wilaya 168

UTEUZI: Chama cha Mapinduzi chateua Makatibu katika Mikoa 32 na Wilaya 168

Hongera crdes kwa kuteuliwa kwenu ni imani kubwa sana hiyo mmepewa na Mkt wetu Ndg Samia Suluhu Hassan,
===
Kachapeni kazi ili kutimiza matamanio na matarajio ya wananchi wetu hasa WanaCCM
===
Kasimamieni zile TZS 1.3 za IMF vizuri Kama chama kilivyoagiza kupitia katibu wetu wa NEC Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka ili Uchaguzi wetu wa 2025 uwe rahisi zaidi ya ule wa mwaka 2020.

View attachment 2003143

View attachment 2003144

View attachment 2003146

View attachment 2003147

View attachment 2003149

View attachment 2003150

View attachment 2003151

View attachment 2003153

View attachment 2003154

View attachment 2003172

View attachment 2003174

View attachment 2003175

View attachment 2003176

Uchaguzi uwe rahisi zaidi ya ule wa 2020 [emoji15][emoji15][emoji15]
 
Cheki ulivyo jaa ng,..no nafsini mwako! Kwani ww unamuonaje?
Utajiumiza tu nafsi yako kwa chuki iliyokujaa 🤣🤣

Waliopita MADARASA YA ITIKADI YA CHAMA hufundishwa adabu na utii kwa kiongozi mkuu wa CHAMA.....ninyi mlitokea wapi kwani ?!!! 🤣🤣🤣

SIEMPRE CCM
 
Ndo maana yake! Ila hajui kuwa hata mvuto hana! Mwache ila kwa vile jeshi la polisi lipo na tume ya uchaguzi watampitisha!
FB_IMG_16307140795615105.jpg
 
Kiukweli ili tuione kiuhalisia kasi ya awamu ya 6 ilibidi Rais aingie na timu mpya kabisa ya viongozi wa kisiasa.

Hata wabunge tulipaswa kupata wa kuendana na kasi ya mama na siyo kasi ya mwendazake sema tu Katiba inawalinda.

Maendeleo hayana vyama!

Timu mpya ni kuvunja baraza la mawaziri;
 
Rashidi Gwajima.

Babu Tale.

Mwana FA...

Ni miongoni wa wabunge wa fadhila za mwendakuzimu.
 
Kwa vyanzo vipi vya mapato?
Kumbuka Ccm vitega uchumi vingi sana,wanaviwanja vingi na baadhi wamevikodisha kwa wafanya biashara wa sheli,viwanja vya mipira vingi ndani ya nchi yetu ni mali yao ccm,chama kimejiwekezea sana rasilimali
 
Hongera crdes kwa kuteuliwa kwenu ni imani kubwa sana hiyo mmepewa na Mkt wetu Ndg Samia Suluhu Hassan,
===
Kachapeni kazi ili kutimiza matamanio na matarajio ya wananchi wetu hasa WanaCCM
===
Kasimamieni zile TZS 1.3 za IMF vizuri Kama chama kilivyoagiza kupitia katibu wetu wa NEC Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka ili Uchaguzi wetu wa 2025 uwe rahisi zaidi ya ule wa mwaka 2020.

View attachment 2003143

View attachment 2003144

View attachment 2003146

View attachment 2003147

View attachment 2003149

View attachment 2003150

View attachment 2003151

View attachment 2003153

View attachment 2003154

View attachment 2003172

View attachment 2003174

View attachment 2003175

View attachment 2003176
Mbona sijaona jina la Bananga pamoja na kuliakotekule kuwa akumbukwe?
 
Hakika CCM imesukwa, Mungu ibariki CCM,

Mungu mbariki Mkt wa CCM
Kwani ilikuwa imefumuka? nakumbukawa katiwa jiwe mlisema kuwa kairudisha ccm mahali pake, iweje tena useme Mama kaisuka?
 
IMF why? Pesa mmeleta mnawapa wasio na huruma wafanye wanavyotaka halafu iweje?
Mnakera

Hizi pesa watajilipa mishahara hakuna litakalofanyika
Huu ni upigaji mwingine
Wakati mwingine haya mashirika makubwa yanashiriki kukandamiza maskini
Kuna wakurugenzi kuna wakuu wa wilaya na mikoa why not them kufanya hili zoezi?
Africa inatumika
RIP Mwl Nyerere uliipenda Tz na Watu Wake
Wengine wote ni maiigizo

Watawala wa Africa huwa wanasahau duniani tupo kwa muda mchache sana mali tutaziacha
But Why Africa?
Mbona hueleweki?
Wafanyakazi wa ccm wanahusiana vipi na mkopo wa IMF?
Ccm wanapokea ruzuku kila mwezi ndio inatumika kulipa watumishi wake
 
Kumbuka Ccm vitega uchumi vingi sana,wanaviwanja vingi na baadhi wamevikodisha kwa wafanya biashara wa sheli,viwanja vya mipira vingi ndani ya nchi yetu ni mali yao ccm,chama kimejiwekezea sana rasilimali
Wewe sema waanchota serikalini
 
Back
Top Bottom