Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
๐๐๐ช๐Hongera kamati kuu,
Hongera Rais Samia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐ช๐Hongera kamati kuu,
Hongera Rais Samia
Umejuaje ?!!!Kwanini wengi ni waislam
Uko royal sanaUmejuaje ?!!!
Una uhakika jina ni dini ?!!!!
Hivi huu "uhobobo" wenu utawaisha mkiwa vikongwe?!!!
SIEMPRE JMT
Kipindi kile mlijaza wasukuma tulieniNaona comrades wengi wana majina ya kiarabu au ndio kusema chama kina wenyewe na wenyewe ni watu wa mtaa wa Gerezani na Kariakoo kwa alhadji Mohamed Said?
CCM hakuna hizo kabisaKipindi kile mlijaza wasukuma tulieni
Uisilamu sio sifa ya kuwa katibu, Uteuzi hauangalii dini unaangalia sifa za muhusika,Kwanini wengi ni waislam
Sijaelewa kitu lakini sawaWanavyosoma nini?
Wanavyosoma kitu gani wanazidi kuwa wadini ?!!!
Kwanza Kuna tofauti ya DINI na UDINI......
Duniani kuna dini nyingi ambazo zote zinaelekeza ubobezi wa imani husika....
Ninyi wanadini mnapenda sana kuongozwa na HISIA na kutetea "ulevi wenu"....nyote tu....na ndio maana WEWE utatoa kauli tofauti na atakayeitoa wa DINI nyingine.....
By the way DINI ni imani tu.....kwa kuwa ni imani isiyo "tangible" basi "waelewa" walioko ndani ya dini hizo na wale walioko nje wala hawasigani na kuwabagua wengine HADHARANI AMA KIFICHONI...
AMKENI KUTOKA ULEVINI na muwe watu wa imani kweli na dini zenu bila ya kuathiri hisia+ uhalisia walio nje yenu......
#Siempre JMT
Yaap,Makatibu wa chama hasa CCM,ni waajiriwa hivyo wanalipwa mishahara na posho piaNa hao wanalipwa mishahara?
Shida vyanzo vipi vya mapato walivyonavyo ccmYaap,Makatibu wa chama hasa CCM,ni waajiriwa hivyo wanalipwa mishahara na posho pia
wapambanajiHongera crdes wote kwa kuaminiwa na kuteuliwa kwenu hakika ni imani kubwa sana mmepewa na Mkt wetu Ndg Samia Suluhu Hassan kaitendeeni haki,
===
Nendeni kachapeni kazi ili kama Chama tuweze kutimiza matamanio na matarajio ya Wananchi wa Taifa hili,
===
Kasimamieni zile TZS 1.3 za IMF vizuri Kama chama kilivyokwisha agiza kamati zote za siasa ngazi ya Wilaya na mikoa kupitia kwa katibu wetu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg Shaka Hamdu Shaka ili Uchaguzi wetu wa 2025 uwe rahisi zaidi ya ule wa mwaka 2020.
===
โ Mungu ibariki CCM,
โ Mungu ibariki Tanzania,
โ Mungu Mbariki Mhe Samia Suluhu
But hii ni siri za chama mkuuYaap,Makatibu wa chama hasa CCM,ni waajiriwa hivyo wanalipwa mishahara na posho pia
Sawa Lkn inajulikana.Mfano miaka minne iliyopita niliwahi kusikia kuwa Makatibu wa CCM ngazi ya Wilaya wanalipwa Mshahara wa Tshs.800,000/=, Kwa mwezi, kipindi cha uchaguzi ndo huwa wanakula pesa balaa.But hii ni siri za chama mkuu
Ambavyo walipora WananchiShida vyanzo vipi vya mapato walivyonavyo ccm
Kazi kaziHongera crdes wote kwa kuaminiwa na kuteuliwa kwenu hakika ni imani kubwa sana mmepewa na Mkt wetu Ndg Samia Suluhu Hassan kaitendeeni haki,
===
Nendeni kachapeni kazi ili kama Chama tuweze kutimiza matamanio na matarajio ya Wananchi wa Taifa hili,
===
Kasimamieni zile TZS 1.3 za IMF vizuri Kama chama kilivyokwisha agiza kamati zote za siasa ngazi ya Wilaya na mikoa kupitia kwa katibu wetu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg Shaka Hamdu Shaka ili Uchaguzi wetu wa 2025 uwe rahisi zaidi ya ule wa mwaka 2020.
===
โ Mungu ibariki CCM,
โ Mungu ibariki Tanzania,
โ Mungu Mbariki Mhe Samia Suluhu
Kwani sio watu???Kwanini wengi ni waislam
URAIS kwa KATIBA HII aliyoisema HAYATI BABA WA TAIFA kuwa ni MBOVU ni MTAMU SANAHongera crdes wote kwa kuaminiwa na kuteuliwa kwenu hakika ni imani kubwa sana mmepewa na Mkt wetu Ndg Samia Suluhu Hassan kaitendeeni haki,
===
Nendeni kachapeni kazi ili kama Chama tuweze kutimiza matamanio na matarajio ya Wananchi wa Taifa hili,
===
Kasimamieni zile TZS 1.3 za IMF vizuri Kama chama kilivyokwisha agiza kamati zote za siasa ngazi ya Wilaya na mikoa kupitia kwa katibu wetu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg Shaka Hamdu Shaka ili Uchaguzi wetu wa 2025 uwe rahisi zaidi ya ule wa mwaka 2020.
===
โ Mungu ibariki CCM,
โ Mungu ibariki Tanzania,
โ Mungu Mbariki Mhe Samia Suluhu
URAIS kwa KATIBA HII aliyoisema HAYATI BABA WA TAIFA kuwa ni MBOVU ni MTAMU SANAHongera crdes wote kwa kuaminiwa na kuteuliwa kwenu hakika ni imani kubwa sana mmepewa na Mkt wetu Ndg Samia Suluhu Hassan kaitendeeni haki,
===
Nendeni kachapeni kazi ili kama Chama tuweze kutimiza matamanio na matarajio ya Wananchi wa Taifa hili,
===
Kasimamieni zile TZS 1.3 za IMF vizuri Kama chama kilivyokwisha agiza kamati zote za siasa ngazi ya Wilaya na mikoa kupitia kwa katibu wetu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg Shaka Hamdu Shaka ili Uchaguzi wetu wa 2025 uwe rahisi zaidi ya ule wa mwaka 2020.
===
โ Mungu ibariki CCM,
โ Mungu ibariki Tanzania,
โ Mungu Mbariki Mhe Samia Suluhu
HongereniHongera crdes wote kwa kuaminiwa na kuteuliwa kwenu hakika ni imani kubwa sana mmepewa na Mkt wetu Ndg Samia Suluhu Hassan kaitendeeni haki,
===
Nendeni kachapeni kazi ili kama Chama tuweze kutimiza matamanio na matarajio ya Wananchi wa Taifa hili,
===
Kasimamieni zile TZS 1.3 za IMF vizuri Kama chama kilivyokwisha agiza kamati zote za siasa ngazi ya Wilaya na mikoa kupitia kwa katibu wetu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg Shaka Hamdu Shaka ili Uchaguzi wetu wa 2025 uwe rahisi zaidi ya ule wa mwaka 2020.
===
โ Mungu ibariki CCM,
โ Mungu ibariki Tanzania,
โ Mungu Mbariki Mhe Samia Suluhu