UTEUZI: Chama cha Mapinduzi chateua Makatibu katika Mikoa 32 na Wilaya 168

UTEUZI: Chama cha Mapinduzi chateua Makatibu katika Mikoa 32 na Wilaya 168

Upumbavu huo.....

Hivi ujinga utawatoka lini ?!!!!

Yaani mtu haangalii uwezo na hoja ya mtu bali ameitoa nani ?!!! Duuuh 😳😳😳🤣🤣

Hii inaitwa ARGUMENTUM AD HOMINEM na kamwe huikuti kwa mtu aliyepata ELIMU vyema...awe hata daktari ama Profesa....huwakuti hao....Ukikutana nao ujue ni makanjanja VICHWANI......🤣
Sio kweli, kuna dini moja kadiri wanavyosoma wanazidi kuwa wadini
 
Hongera crdes kwa kuteuliwa kwenu ni imani kubwa sana hiyo mmepewa na Mkt wetu Ndg Samia Suluhu Hassan,
===
Kachapeni kazi ili kutimiza matamanio na matarajio ya wananchi wetu hasa WanaCCM
===
Kasimamieni zile TZS 1.3 za IMF vizuri Kama chama kilivyoagiza kupitia katibu wetu wa NEC Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka ili Uchaguzi wetu wa 2025 uwe rahisi zaidi ya ule wa mwaka 2020.

View attachment 2003143

View attachment 2003144

View attachment 2003146

View attachment 2003147

View attachment 2003149

View attachment 2003150

View attachment 2003151

View attachment 2003153

View attachment 2003154

View attachment 2003172

View attachment 2003174

View attachment 2003175

View attachment 2003176
Hongera Sana Team
 
Sio kweli, kuna dini moja kadiri wanavyosoma wanazidi kuwa wadini
Wanavyosoma nini?
Wanavyosoma kitu gani wanazidi kuwa wadini ?!!!

Kwanza Kuna tofauti ya DINI na UDINI......

Duniani kuna dini nyingi ambazo zote zinaelekeza ubobezi wa imani husika....

Ninyi wanadini mnapenda sana kuongozwa na HISIA na kutetea "ulevi wenu"....nyote tu....na ndio maana WEWE utatoa kauli tofauti na atakayeitoa wa DINI nyingine.....

By the way DINI ni imani tu.....kwa kuwa ni imani isiyo "tangible" basi "waelewa" walioko ndani ya dini hizo na wale walioko nje wala hawasigani na kuwabagua wengine HADHARANI AMA KIFICHONI...

AMKENI KUTOKA ULEVINI na muwe watu wa imani kweli na dini zenu bila ya kuathiri hisia+ uhalisia walio nje yenu......

#Siempre JMT
 
Wote ni siku ya Ijumaa
Hebu ionee aibu nafsi yako hata kidogo...hata kidogo tu japo uko na ID feki.....

Tanzania haijaanza jana....na jukumu letu kuifanya INAENDELEA NA KUSTAWI VIZAZI BAADA YA VIZAZI.....

SIEMPRE JMT
NCHI KWANZA
FB_IMG_16307140795615105.jpg
 
Naona hangaya anajipanga na twente twente faivu, yetu macho na masikio......
 
Umeandika kitu kikubwa sana hapa aise
Wanavyosoma nini?
Wanavyosoma kitu gani wanazidi kuwa wadini ?!!!

Kwanza Kuna tofauti ya DINI na UDINI......

Duniani kuna dini nyingi ambazo zote zinaelekeza ubobezi wa imani husika....

Ninyi wanadini mnapenda sana kuongozwa na HISIA na kutetea "ulevi wenu"....nyote tu....na ndio maana WEWE utatoa kauli tofauti na atakayeitoa wa DINI nyingine.....

By the way DINI ni imani tu.....kwa kuwa ni imani isiyo "tangible" basi "waelewa" walioko ndani ya dini hizo na wale walioko nje wala hawasigani na kuwabagua wengine HADHARANI AMA KIFICHONI...

AMKENI KUTOKA ULEVINI na muwe watu wa imani kweli na dini zenu bila ya kuathiri hisia+ uhalisia walio nje yenu......

#Siempre JMT
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Naona comrades wengi wana majina ya kiarabu au ndio kusema chama kina wenyewe na wenyewe ni watu wa mtaa wa Gerezani na Kariakoo kwa alhadji Mohamed Said?
 
Umeandika kitu kikubwa sana hapa aise
Komredi hakuna kitu kibaya kama mtu kuandika HISIA+MIHEMKO binafsi dhidi ya UHALISIA.....baadhi ya watu hawataki UHALISIA wa hoja KUNTU.....ndio fikra zao zilipogoma+Umimi+Malezi duni yasiyofundisha CRITICAL ANALYSIS+ukosefu wa elimu bora.....

Ndio hivyo kamarade wangu🙏

SIEMPRE JMT
 
Amemrithi @jingalao
Huyo ni mmimi na mbinafsi...mbona kipindi kile ninauelezea vyema utawala wa awamu ya 5 hakuniambia maneno hayo?!!!

Huyo ni ndugu yangu ila hana itikadi ya CHAMA na ustawi mwema wa taifa letu......

Wengi waliingia UVCCM kwa sababu ya mtu.....

Aweke ushahidi kuwa nilishawahi kuushambulia utawala wa awamu ya 5 kipindi kile na kipindi hiki kipya.....

SIEMPRE JMT
 
Hongera crdes wote kwa kuaminiwa na kuteuliwa kwenu hakika ni imani kubwa sana mmepewa na Mkt wetu Ndg Samia Suluhu Hassan kaitendeeni haki,
===
Nendeni kachapeni kazi ili kama Chama tuweze kutimiza matamanio na matarajio ya Wananchi wa Taifa hili,
===
Kasimamieni zile TZS 1.3 za IMF vizuri Kama chama kilivyokwisha agiza kamati zote za siasa ngazi ya Wilaya na mikoa kupitia kwa katibu wetu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg Shaka Hamdu Shaka ili Uchaguzi wetu wa 2025 uwe rahisi zaidi ya ule wa mwaka 2020.
===

√ Mungu ibariki CCM,
√ Mungu ibariki Tanzania,
√ Mungu Mbariki Mhe Samia Suluhu
Hongera kamati kuu,

Hongera Rais Samia
 
Huyo ni mmimi na mbinafsi...mbona kipindi kile ninauelezea vyema utawala wa awamu ya 5 hakuniambia maneno hayo?!!!

Huyo ni ndugu yangu ila hana itikadi ya CHAMA na ustawi mwema wa taifa letu......

Wengi waliingia UVCCM kwa sababu ya mtu.....

Aweke ushahidi kuwa nilishawahi kuushambulia utawala wa awamu ya 5 kipindi kile na kipindi hiki kipya.....

SIEMPRE JMT
Mkuu safi sana
 
Komredi hakuna kitu kibaya kama mtu kuandika HISIA+MIHEMKO binafsi dhidi ya UHALISIA.....baadhi ya watu hawataki UHALISIA wa hoja KUNTU.....ndio fikra zao zilipogoma+Umimi+Malezi duni yasiyofundisha CRITICAL ANALYSIS+ukosefu wa elimu bora.....

Ndio hivyo kamarade wangu🙏

SIEMPRE JMT
Safi sana chief napenda vile unatetea chama
 
Back
Top Bottom