johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hongera crdes kwa kuteuliwa kwenu ni imani kubwa sana hiyo mmepewa na Mkt wetu Ndg Samia Suluhu Hassan,
===
Kachapeni kazi ili kutimiza matamanio na matarajio ya wananchi wetu hasa WanaCCM
===
Kasimamieni zile TZS 1.3 za IMF vizuri Kama chama kilivyoagiza kupitia katibu wetu wa NEC Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka ili Uchaguzi wetu wa 2025 uwe rahisi zaidi ya ule wa mwaka 2020.
View attachment 2003143
View attachment 2003144
View attachment 2003146
View attachment 2003147
View attachment 2003149
View attachment 2003150
View attachment 2003151
View attachment 2003153
View attachment 2003154
View attachment 2003172
View attachment 2003174
View attachment 2003175
View attachment 2003176
Mtu apoteze Muda wake kwa ajili ya posho?Wanalipwa posho tu CCM ni kujitolea,
Karibu mkuu,
Hongera sanaaaNASHUKURU NIMOOOO
Uzalendo wa CCM tofauti sana na CHADEMAMtu apoteze Muda wake kwa ajili ya posho?
itakuwa "posho mshahara"
Naona comrades wengi wana majina ya kiarabu au ndio kusema chama kina wenyewe na wenyewe ni watu wa mtaa wa Gerezani na Kariakoo kwa alhadji Mohamed Said?Ni jambo jema!
Hakika.....Hawa jamaa ni watu makini sana Mkuu
Acha hoja za kishenzi hizi watu wanaangalia sifa sio jinaNaona comrades wengi wana majina ya kiarabu au ndio kusema chama kina wenyewe na wenyewe ni watu wa mtaa wa Gerezani na Kariakoo kwa alhadji Mohamed Said?
Kongole kwako 👍NASHUKURU NIMOOOO
Upumbavu huo.....Naona comrades wengi wana majina ya kiarabu au ndio kusema chama kina wenyewe na wenyewe ni watu wa mtaa wa Gerezani na Kariakoo kwa alhadji Mohamed Said?
Hahahaaaa....... Mimi siyo Yuda Iskarioti wala Simon Petro!Timu Jiwe umebaki wewe tu , wenzako wote wanapukutishwa bila huruma .
Polepole kaponza wengi sana
Mwenyekiti wetu Samia, siku zote ni mtu wa hojasafi, sasa mwambieni mwenyekiti wenu kwamba siasa huwa siyo vita bali ni nguvu za hoja.
Hongera sana kama na wewe umo kiongozi. Mana kwa kusifia huku kama umeteuliuliwa kweli imesukwa.Hakika CCM imesukwa, Mungu ibariki CCM,
Mungu mbariki Mkt wa CCM
😍Hongera crdes kwa kuteuliwa kwenu ni imani kubwa sana hiyo mmepewa na Mkt wetu Ndg Samia Suluhu Hassan,
===
Kachapeni kazi ili kutimiza matamanio na matarajio ya wananchi wetu hasa WanaCCM
===
Kasimamieni zile TZS 1.3 za IMF vizuri Kama chama kilivyoagiza kupitia katibu wetu wa NEC Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka ili Uchaguzi wetu wa 2025 uwe rahisi zaidi ya ule wa mwaka 2020.
View attachment 2003143
View attachment 2003144
View attachment 2003146
View attachment 2003147
View attachment 2003149
View attachment 2003150
View attachment 2003151
View attachment 2003153
View attachment 2003154
View attachment 2003172
View attachment 2003174
View attachment 2003175
View attachment 2003176
Wewe vip mkuu unao mvuto.Ndo maana yake! Ila hajui kuwa hata mvuto hana! Mwache ila kwa vile jeshi la polisi lipo na tume ya uchaguzi watampitisha!