UTEUZI: Chama cha Mapinduzi chateua Makatibu katika Mikoa 32 na Wilaya 168

UTEUZI: Chama cha Mapinduzi chateua Makatibu katika Mikoa 32 na Wilaya 168

Pesa iliyoletwa na IMF ni mkopo kwa taifa la Tanzania. Lakini sasa tunasikio makatibu wateule wa CCM wanaagizwa kwamba nenda mkazisimamie hizo 1.3tr za IMF Ili uchaguzi wa 2025 ukawe rahisi kuliko ule wa 2020.
Kwani IMF imetoa hizo pesa kama zawadi na kwa ajili ya kampeni za uchaguzi na maandalizi ya uchaguzi?
Je, hiyo fedha italipwa na hao CCM au ni mzigo kwa kila Mtanzania?
Kwani fedha ya mkopo kutoka nje ikija Tanzania haisimamiwi na taratibu exchaquer?
Nchi buana ni shida sana. Waziri wa fedha uko wapi kuwa mshauri makini wa Rais kuhusu vyanzo vya mapato na matumizi yake?
 
Hongera crdes wote kwa kuaminiwa na kuteuliwa kwenu hakika ni imani kubwa sana mmepewa na Mkt wetu Ndg Samia Suluhu Hassan kaitendeeni haki,
===
Nendeni kachapeni kazi ili kama Chama tuweze kutimiza matamanio na matarajio ya Wananchi wa Taifa hili,
===
Kasimamieni zile TZS 1.3 za IMF vizuri Kama chama kilivyokwisha agiza kamati zote za siasa ngazi ya Wilaya na mikoa kupitia kwa katibu wetu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg Shaka Hamdu Shaka ili Uchaguzi wetu wa 2025 uwe rahisi zaidi ya ule wa mwaka 2020.
===

√ Mungu ibariki CCM,
√ Mungu ibariki Tanzania,
√ Mungu Mbariki Mhe Samia Suluhu
Iko poa sana
 
Pesa iliyoletwa na IMF ni mkopo kwa taifa la Tanzania. Lakini sasa tunasikio makatibu wateule wa CCM wanaagizwa kwamba nenda mkazisimamie hizo 1.3tr za IMF Ili uchaguzi wa 2025 ukawe rahisi kuliko ule wa 2020.
Kwani IMF imetoa hizo pesa kama zawadi na kwa ajili ya kampeni za uchaguzi na maandalizi ya uchaguzi?
Je, hiyo fedha italipwa na hao CCM au ni mzigo kwa kila Mtanzania?
Kwani fedha ya mkopo kutoka nje ikija Tanzania haisimamiwi na taratibu exchaquer?
Nchi buana ni shida sana. Waziri wa fedha uko wapi kuwa mshauri makini wa Rais kuhusu vyanzo vya mapato na matumizi yake?
Mkuu hujasoma vizuri, Mwandishi amesema zikasimamiwe vizuri sio mambo ya Uchaguzi hapo
 
Hongera crdes wote kwa kuaminiwa na kuteuliwa kwenu hakika ni imani kubwa sana mmepewa na Mkt wetu Ndg Samia Suluhu Hassan kaitendeeni haki,
===
Nendeni kachapeni kazi ili kama Chama tuweze kutimiza matamanio na matarajio ya Wananchi wa Taifa hili,
===
Kasimamieni zile TZS 1.3 za IMF vizuri Kama chama kilivyokwisha agiza kamati zote za siasa ngazi ya Wilaya na mikoa kupitia kwa katibu wetu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg Shaka Hamdu Shaka ili Uchaguzi wetu wa 2025 uwe rahisi zaidi ya ule wa mwaka 2020.
===

√ Mungu ibariki CCM,
√ Mungu ibariki Tanzania,
√ Mungu Mbariki Mhe Samia Suluhu
Shaka na CCM yake ni waongo kweli hawa jamaa. Shaka anasema wateule wote hakuna aliyetoka nje ya mfumo wa CCM, Lakini huyo Katibu wa CCM wa Mkoa wa Ruvuma alikuwa ni kiongozi na mwanachama wa Chadema akaunga mkono juhudi
 
Shaka na CCM yake ni waongo kweli hawa jamaa. Shaka anasema wateule wote hakuna aliyetoka nje ya mfumo wa CCM, Lakini huyo Katibu wa CCM wa Mkoa wa Ruvuma alikuwa ni kiongozi na mwanachama wa Chadema akaunga mkono juhudi
Huenda alikuwa CCM kabla chief, Muulize vizuri
 
Hongera crdes wote kwa kuaminiwa na kuteuliwa kwenu hakika ni imani kubwa sana mmepewa na Mkt wetu Ndg Samia Suluhu Hassan kaitendeeni haki,
===
Nendeni kachapeni kazi ili kama Chama tuweze kutimiza matamanio na matarajio ya Wananchi wa Taifa hili,
===
Kasimamieni zile TZS 1.3 za IMF vizuri Kama chama kilivyokwisha agiza kamati zote za siasa ngazi ya Wilaya na mikoa kupitia kwa katibu wetu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg Shaka Hamdu Shaka ili Uchaguzi wetu wa 2025 uwe rahisi zaidi ya ule wa mwaka 2020.
===

√ Mungu ibariki CCM,
√ Mungu ibariki Tanzania,
√ Mungu Mbariki Mhe Samia Suluhu
Hongereni
 
Hongera crdes wote kwa kuaminiwa na kuteuliwa kwenu hakika ni imani kubwa sana mmepewa na Mkt wetu Ndg Samia Suluhu Hassan kaitendeeni haki,
===
Nendeni kachapeni kazi ili kama Chama tuweze kutimiza matamanio na matarajio ya Wananchi wa Taifa hili,
===
Kasimamieni zile TZS 1.3 za IMF vizuri Kama chama kilivyokwisha agiza kamati zote za siasa ngazi ya Wilaya na mikoa kupitia kwa katibu wetu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg Shaka Hamdu Shaka ili Uchaguzi wetu wa 2025 uwe rahisi zaidi ya ule wa mwaka 2020.
===

√ Mungu ibariki CCM,
√ Mungu ibariki Tanzania,
√ Mungu Mbariki Mhe Samia Suluhu
Hongera
 
Hongera crdes wote kwa kuaminiwa na kuteuliwa kwenu hakika ni imani kubwa sana mmepewa na Mkt wetu Ndg Samia Suluhu Hassan kaitendeeni haki,
===
Nendeni kachapeni kazi ili kama Chama tuweze kutimiza matamanio na matarajio ya Wananchi wa Taifa hili,
===
Kasimamieni zile TZS 1.3 za IMF vizuri Kama chama kilivyokwisha agiza kamati zote za siasa ngazi ya Wilaya na mikoa kupitia kwa katibu wetu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg Shaka Hamdu Shaka ili Uchaguzi wetu wa 2025 uwe rahisi zaidi ya ule wa mwaka 2020.
===

√ Mungu ibariki CCM,
√ Mungu ibariki Tanzania,
√ Mungu Mbariki Mhe Samia Suluhu
Hongereni majembe ya Samia
 
Hongera crdes wote kwa kuaminiwa na kuteuliwa kwenu hakika ni imani kubwa sana mmepewa na Mkt wetu Ndg Samia Suluhu Hassan kaitendeeni haki,
===
Nendeni kachapeni kazi ili kama Chama tuweze kutimiza matamanio na matarajio ya Wananchi wa Taifa hili,
===
Kasimamieni zile TZS 1.3 za IMF vizuri Kama chama kilivyokwisha agiza kamati zote za siasa ngazi ya Wilaya na mikoa kupitia kwa katibu wetu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg Shaka Hamdu Shaka ili Uchaguzi wetu wa 2025 uwe rahisi zaidi ya ule wa mwaka 2020.
===

√ Mungu ibariki CCM,
√ Mungu ibariki Tanzania,
√ Mungu Mbariki Mhe Samia Suluhu
Kachapeni kazi
 
Hongera crdes wote kwa kuaminiwa na kuteuliwa kwenu hakika ni imani kubwa sana mmepewa na Mkt wetu Ndg Samia Suluhu Hassan kaitendeeni haki,
===
Nendeni kachapeni kazi ili kama Chama tuweze kutimiza matamanio na matarajio ya Wananchi wa Taifa hili,
===
Kasimamieni zile TZS 1.3 za IMF vizuri Kama chama kilivyokwisha agiza kamati zote za siasa ngazi ya Wilaya na mikoa kupitia kwa katibu wetu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg Shaka Hamdu Shaka ili Uchaguzi wetu wa 2025 uwe rahisi zaidi ya ule wa mwaka 2020.
===

√ Mungu ibariki CCM,
√ Mungu ibariki Tanzania,
√ Mungu Mbariki Mhe Samia Suluhu
Mimi CHADEMA ila namkubali sana Mama
 
Tanzania na Samia,

1.Uchumi Juu,

2. Uwekezaji juu

3. Diplomasia juu

4. Amani & Upendo juu

5. Maendeleo juu

6. Demokrasia juu
 
Back
Top Bottom