UTEUZI: Jaffar Haniu ateuliwa kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais (Ikulu); amrithi Gerson Msigwa

UTEUZI: Jaffar Haniu ateuliwa kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais (Ikulu); amrithi Gerson Msigwa

Katibu Mkuu Ofisi ya Rais ni Kiongozi wa watumishi wote wa umma serikalini (civil servants).

Kutangaza inawezekana hata Rais kutangaza teuzi na tenguzikwa sababu Watanzania hatuna formula.

Hata Muungano wetu ukiuliza umekaaje ni kama kiti kilichowekewa mawe chini kisianguke, hakuna anayeweza kukuelezea vizuri umekaaje.
Katibu mkuu kiongozi ndiye kiongozi wa watumishi wote wa umma, katibu mkuu ofisi ya Raisi ni cheo kingine na wala sio mkuu wa watumishi wa umma
 
Huyu mama ni hovyoo sana. Anajifanya anajua dini, halafu mznz sana anakopa kwaajjli ya zenji kwa hisani ya zaznz halfu huku wanasema znz ni nchi tena wanasema wanataka code yao.
 
Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) na Msemaji Mkuu wa Serikali ni tofauti kabisa na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Raisi, Ikulu. Huyu wa Ikulu anahusika na mawasiliano ya Raisi tu, lakini Mkurugenzi wa Idara ya Habari na Msemaji Mkuu wa Serikali yeye anaisemea Serikali nzima ndani na nje ya nchi. Huyu ni mkubwa kimadaraka!
Kuna tofauti Kati ya serikali na Rais wa nchi?
 
Lazima mama awake watu wake anaowaamini, ili siri za serikali kutoka Ikulu zitunzwe vizuri

Ila wewe kweli utopolo huyo Haniu aliteuliwa na JPM akawa ikulu. Then akamteua akaenda media za CCM. Shida yenu mnapenda kupambana na marehemu na Hii inawapa ugonjwa wa moyo. JPM amekufa. Tuna Samia.
 
Alikuwa kichefu chefu sana

Acha Lugha hizo wewe PUMBAVU. Humjui hakujui. Hajawahi hata kukutukana. Unawezaje kumwita binadamu mwenzako hivyo. Huyu Haniu kama hujui aliletwa Ikulu na JPM and then akapewa cheo pale Media ya CCM na kumbuka majengo na mitambo mipya ilizinduliwa na JPM na bosi wa pale ndo alikuwa Haniu.

Acha kupambana na marehemu. Tuna Samia Sasa. Uwepo wake ni kwa ajili yetu. Usipende kujiweka relevant katika upumbavu. Grow up na hata kama Bangi inakusumbua Basi itumie kwa kulima. Kufail kwako kimaisha kusitubughudhi sisi hapa JF.
 
Acha Lugha hizo wewe PUMBAVU. Humjui hakujui. Hajawahi hata kukutukana. Unawezaje kumwita binadamu mwenzako hivyo. Huyu Haniu kama hujui aliletwa Ikulu na JPM and then akapewa cheo pale Media ya CCM na kumbuka majengo na mitambo mipya ilizinduliwa na JPM na bosi wa pale ndo alikuwa Haniu.

Acha kupambana na marehemu. Tuna Samia Sasa. Uwepo wake ni kwa ajili yetu. Usipende kujiweka relevant katika upumbavu. Grow up na hata kama Bangi inakusumbua Basi itumie kwa kulima. Kufail kwako kimaisha kusitubughudhi sisi hapa JF.
Endelea kuota na kujidanganya kuwa kila anayepinga viongozi wazembe ni mpinzani.

Au kila anayepinga utawala mbovu yupo nje ya system ya kiutawala.
 
Acha Lugha hizo wewe PUMBAVU. Humjui hakujui. Hajawahi hata kukutukana. Unawezaje kumwita binadamu mwenzako hivyo. Huyu Haniu kama hujui aliletwa Ikulu na JPM and then akapewa cheo pale Media ya CCM na kumbuka majengo na mitambo mipya ilizinduliwa na JPM na bosi wa pale ndo alikuwa Haniu.

Acha kupambana na marehemu. Tuna Samia Sasa. Uwepo wake ni kwa ajili yetu. Usipende kujiweka relevant katika upumbavu. Grow up na hata kama Bangi inakusumbua Basi itumie kwa kulima. Kufail kwako kimaisha kusitubughudhi sisi hapa JF.
Yes Ni Watu hawajui Kwamba Haniu Alikuwaga Mwandishi Wa Hotuba Wa Hayati, akiwa na Akina Bohoela(Sjui Kama nimeandika sahh Hilo Jina) Haniu akapelekwa AMG na Bohoela akapelekwa Mambo Ya Nje Kama Mkuu Wa Mawasiliano Mambo Ya Nje
 
Acha Lugha hizo wewe PUMBAVU. Humjui hakujui. Hajawahi hata kukutukana. Unawezaje kumwita binadamu mwenzako hivyo. Huyu Haniu kama hujui aliletwa Ikulu na JPM and then akapewa cheo pale Media ya CCM na kumbuka majengo na mitambo mipya ilizinduliwa na JPM na bosi wa pale ndo alikuwa Haniu.

Acha kupambana na marehemu. Tuna Samia Sasa. Uwepo wake ni kwa ajili yetu. Usipende kujiweka relevant katika upumbavu. Grow up na hata kama Bangi inakusumbua Basi itumie kwa kulima. Kufail kwako kimaisha kusitubughudhi sisi hapa JF.
Hahaha aisee umechukia Sana...usipate na watu wa aina hiyo...hawajui Mambo mengi ndani ya nchi Hii...
 
Rais Ni Samia Suluhu
Chief Secretary Ni Katanga
Katibu Wa Rais Ni Juma Suleiman
Chief of Protocol Ni Yusuph Mndolwa
DPC Wa Rais Ni Jaffary Haniu

Katika Wasaidizi Binafsi Katika Ofisi Ya Rais Ikulu (OBR) Ambao Jumla Ni 8, Wasaidizi 6 ni Waislamu na Wasaidizi 2 Tu Ndio Wakristo, Ambao Ni Felister Mndeme Maendeleo Ya Jamii na Nehemiah Mandia Sheria

Sasa hii itakuwa baraza la ulamaa 😂😂😂
 
Back
Top Bottom