Uteuzi: January Makamba ateuliwa kuwa Waziri wa Nishati. Ndugulile, Kalemani, Chamuriho na AG Kilangi watenguliwa, Feleshi ateuliwa

January Makamba [emoji1430][emoji1430][emoji1430] kuna watu huko waliko roho zinawauma sanaaaaaa[emoji2][emoji2][emoji2] wapi sukuma gang gang kazi iendeleeee
 
Tena sana! Yaani huyu Maza awe anapewa salute na kina Mabeyo?? Anyway kwa kuwa Waziri wa Ulinzi ni kama pambo tu, mwenye say ni CDF kunako wizara yao
Hizo siasa za majitaka mbona TUNA MAWAZIRI WENGINE WANAPEWA SALUTE NA MAGENERAL ONGEA KITU KINA LOGIC SIO KUROPOKA TUU SALUTE NINI MBONA RAIS ANAPEWA SALUTE USILETE DHARAU KWA KINA MAMA
 
Chamuriho alikuwa mtu wa kazi bila Kelele! Au kushinda site ndo kushindwa kwake?
 
Ndio hivyo tulivyoambiwa usiku huu , kwamba kuna wateule na watenguliwa wapya wako njiani kuja tena baada ya hawa wa leo kuapishwa .

Tunaambiwa hii ni mbinu mpya ya kubadili viongozi .

Tuendelee kusubiri tuone wateule wapya wanaokuja .
We si Chadema! Najua unashangilie akialibu si faida kwako?
 
Ndio hivyo tulivyoambiwa usiku huu , kwamba kuna wateule na watenguliwa wapya wako njiani kuja tena baada ya hawa wa leo kuapishwa .

Tunaambiwa hii ni mbinu mpya ya kubadili viongozi .

Tuendelee kusubiri tuone wateule wapya wanaokuja .
Kila kitu kipo tayari ni timing tu.
 
Safi Sana, piga chini mazao ya dikteta magufuli mama, hao ndio wanaokuangusha Samia,
 
Huyo kaharibu kwenye madini siku nyingi tu alikuwa anabebwa sababu ya Jiwe.

Hawa wote walitemwa wamaharibu sana wizara zao walikuwa wanatembelea nyota ya jiwe lakini hamna kitu.

Wapo na wengine soon watapata haki yao.
Naona nchi sasa imerudi mikononi mwenu tena, sasa mna amani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…