Uteuzi: January Makamba ateuliwa kuwa Waziri wa Nishati. Ndugulile, Kalemani, Chamuriho na AG Kilangi watenguliwa, Feleshi ateuliwa

Huu uzi ufutwe umekaa kichonganishi sana,tafadhali nchi yetu msituletee mambo ya ukand nchi hii ni yetu sote
 
Bila kumtoa yule mpuuzi mvaa mabendera bado hakuna kilichofanyika

Kosa lake nini mnamchukia hivyo? Kuwaambia mlipe kodi ? Mnataka Nchi iendeshwe kwa kuomba omba kwa mabeberu until when?
 
Naomba kujuzwa tu kwani Dr.Faustine Ndugulile kakosea wapi? Pengine mimi sijui Naomba munijuze wana JF, nawasilisha
 
Mshana ishu so coastal Union tatizo Pamba ya kule kwa wasukuma walileta ushamba wakadhani wanaweza sana mchezo Kumbe master wapo

Katika vitu Sukuma gang walikosea ni ishu ya Lodilofa wakadhani wako stronger enough kusimama wenyewe….

Soon Membe anarudi mjini ndipo watajua hawajui…

Then nimenusa nusa mahali ule utatu mtakatifu umeinuka tena… wameamua kusameheana!!
 
Siyo kweli, kamemanii alianza kupiga sana, angalia kwenye gas na mafuta mpska aliundiwa tume ya kuchunguza.
Lakini pia walipanga kupora mgodi wa wachimbaji wadogo wadogo huko Nyang'hware geita.
 

Na jf inalea vitu kama hivi.Tusiendekeze mambo ya ukanda na ukabila kila mtu ana haki ya kuchaguliwa bila kuconsider kanda yake
 
I think we are missing back ups, alivyofariki Mh Kuandikwa imeshindikana kureplace kutoka kundi la wabunge waliopo mpaka akatafutwa nje yao. Nashauri watu mbadala wawe wanaandaliwa katika hizi nafasi kubwa.
Ifike mahali nafasi hizi zisiwe za kisiasa. Waziri atoke kwenye poll ya wataalamu nasio wanasiasa(wabunge).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…