Haya maswali yako hayatabadili hicho nilichoandika.. Namfahamu mama Tax tangu miaka hiyo akiwa na gari yake aina ya TOYOTA ESTIMA iliyokuwa na usajili wa kama jina lake TAX....Ahaaa acheni vichekesho
Wewe unafahamu kazi ya Waziri wa ulinzi?
Unafahamu kazi za Jeshi?
Unafahamu muundo wa Jeshi letu?
Unafahamu exposure ya Dkt Tax
Mambo ya Jeshi ni siri, Kaa kimya
Jeshi sio siasa za majukwaani
Bunge haliruhusiwi kujadili mambo ya Jeshi yanaisha kwenye kamati
[emoji1545][emoji1545][emoji1545]HUYU MAMA NI MSOMI KIWANGO CHA LAMI, KESHAFANYA KAZI NA VIONGOZI WENGI WA NCHI JIRANI ZETU NA KWA KUWA HATUKO VITANI ATAWEZA KUWA ADMINISTRATOR NA COORDINATOR MZURI WA WIZARA HASA KWA SABABU CDF ALIYEKO ANAJITAMBUA NA YEYE NDIE MWENYE JESHI NA WANAJESHI KWA SASA. TUSIWE NA HOFU. MIMI NAMWAMINI.
Mmh naona kama kuna kaugumu fulaniKwa jicho la tatu unahisi huyu anaweza kumkontrol msukuma au ile "ndio mkuu"[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Mtia nia kindakindakiNishati ndio Nina mashaka makubwa
Kama mawazo yako yanakutuma hivyo umekosea sana hivyo vyeo vinaenda kiushikaji tu na ndio maana hakuna interviewSio kwa Tanzania ya sasa ambayo watu wengi wana uelewa na uwezo wa kufuatilia na kupambanua mambo. Mimi naamini Makamba kateuliwa kama njia ya kuifanya Tanzania itoboe kimaendeleo.
Hussein Mwinyi alikuwa waziri wa ulinzi mbona hukuhoji?Kazi iendelee.
Hivi mawasiliano ni jambo la muungano? Mbona Makame ameteuliwa kwenye wizara ambayo sio ya Muungano wakati yeye ni Mzanzibari?
Ama ndio zamu ya wazanzibari?
Ulinzi kachemsha
Kwani wewe huna mzazi kwanini usiteuliwe wewe?As long as Mwigulu bado yupo kwenye Baraza, naweza kusema hii haitoshi-alituambie tuhamie Burundi.
Halafu hawa kina Makamba ndio watu pekee wa kuwa Mawaziri? Ni kweli wanawazidi wenzao uwezo au ni influence tu za wazazi wao ndio zinawafanya wapate kipaumbele?
Kama si hivyo, basi ni wazi CCM kuna ombwe kubwa la watu wanaofaa kuwa viongozi katika hii nchi.
Watanzania tuendelee kudai Katiba mpya tupate watu wapya kuongoza hii nchi kwani hata hawa walioenguliwa bado kesho wanaweza kurudi tena katika Baraza la Mawaziri.
Chama kilekile, Watu walewale (wanaachiana tu viti) na matokeo yake maisha ya watanzania yanabaki kuwa yale yale miaka nenda, miaka rudi.
Pathetic!
Problems can not be solved by the same level of thinking that created them-Mchungaji Msigwa.
Wewe badala ya kuiweka kimyakimya unatutangazia ili tuigombanie! Haufai kwenye madili kwani unakurupuka.Mbona hakuna sahihi pale mwishoni?
Mchezo upi?Nilijua kwa Kalemani. Huo mchezo wao walioufanya umemkost. Bado Majaliwa maana nae ana mkono katika hili
Kwani ww ni mgeni mkuu?Unajua barua hii nilipoona nikajua unekoteza kutokana na staili ya uandishi kumbe kweli bwana ya Kurugenzi ya Ikulu? Loh! Sawa
Mshana anajua kuliko raisi na timu yake haya ni maajabu ya karne [emoji23][emoji1787]Ulinzi kachemsha
Ni nani amekuambia katiba ni muhimu nchi hii? Kwani huyo ni kwanza hao wengine huwaoni?Kazi iendelee.
Hivi mawasiliano ni jambo la muungano? Mbona Makame ameteuliwa kwenye wizara ambayo sio ya Muungano wakati yeye ni Mzanzibari?
Ama ndio zamu ya wazanzibari?
Tupe na Siri ya hukumu ya mboweHii nchi haina siri , haya mambo yamezungumzwa Jf kwa siku kadhaa , JF sasa ni vema ikaheshimiwa