Chozizwa2020
JF-Expert Member
- Apr 8, 2021
- 912
- 853
Mkuu huyu Mh. anateuliwa na kutenguliwa kama zaidi ya mara 1, ni nini tatizo! ana msimamo wa hoja zake za kitaaluma dhidi za kisiasa?Ndugulile anatenguliwa tu π
MakondaMkuu huyu Mh. anateuliwa na kutenguliwa kama zaidi ya mara 1, ni nini tatizo! ana msimamo wa hoja zake za kitaaluma dhidi za kisiasa?
Mzee Makanyaga upo. Kwa hizi kazi huwa nakuelewa naishia kusoma tuFunguka vizuri, hi mchezo gani huo na waliufanya lini?
Wewe unataka upuuzi wa TANESCO uendelee? Nilihonga hela nyingi sana kuletewa umeme home kwangu enzi hizo, kama kuna mabadiliko na yafanyike sasaUnatutisha mkuu, maana haya unayoyasema hapa ni kama kweli!
1. Bomba la gesi kwenda Kenya bila shaka sasa litapewa kipaumbele zaidi.
2. Makampuni binafsi ya kutuuzia umeme, hasa kutoka Marekani, bila shaka sasa yatapigana vibega kuwekeza ili watutoe kamasi kupitia kwenye mikataba yao ya kuuza umeme.
Mchezo gani?Nilijua kwa Kalemani. Huo mchezo wao walioufanya umemkost. Bado Majaliwa maana nae ana mkono katika hili
Sijaandika kwa kubahatishaUnamjua Stergomena Tax au umezoea tu kumuona kwenye TV na magazeti?
Sikumbuki mtaniHivi Kuliwahi kuwa na Waziri Wa Ulinzi Mwanamke Duniani? Nikumbushe Mtani Mshana
Sawa kabisa muda ni hakimu wa hakiMbona bado mapema Sana kwa kulaumu? Tumpe muda tuone utendaji wake.
bahat ya wenzo silalie malango waz.As long as Mwigulu bado yupo kwenye Baraza, naweza kusema hii haitoshi-alituambie tuhamie Burundi.
Halafu hawa kina Makamba ndio watu pekee wa kuwa Mawaziri? Ni kweli wanawazidi wenzao uwezo au ni influence tu za wazazi wao ndio zinawafanya wapate kipaumbele?
Kama si hivyo, basi ni wazi CCM kuna ombwe kubwa la watu wanaofaa kuwa viongozi katika hii nchi.
Watanzania tuendelee kudai Katiba mpya tupate watu wapya kuongoza hii nchi kwani hata hawa walioenguliwa bado kesho wanaweza kurudi tena katika Baraza la Mawaziri.
Chama kilekile, Watu walewale (wanaachiana tu viti) na matokeo yake maisha ya watanzania yanabaki kuwa yale yale miaka nenda, miaka rudi.
Pathetic!
Problems can not be solved by the same level of thinking that created them-Mchungaji Msigwa.
Anaupiga mwingi ?General, ulimwengu alisema Kuna uwezekano Yale ya guinea yanafika EA, ukwel mama anaupinga mwingiiiiiiiiii...
Cdm hamna jemaHakuna jipya
Japo alikuwa na mapungufu yake late Legendary Pombe alikuwa kiboko na alifaa kwa haya madudu yanayojirudia....
Halafu hawa kina Makamba ndio watu pekee wa kuwa Mawaziri? Ni kweli wanawazidi wenzao uwezo au ni influence tu za wazazi wao ndio zinawafanya wapate kipaumbele?
Kama si hivyo, basi ni wazi CCM kuna ombwe kubwa la watu wanaofaa kuwa viongozi katika hii nchi.
...
Foleshi na Tax sio sukumagang?Sukuma Gang wanamenywa taratibu wakija stuka watajikuta hawamo
Hili linatakiwa kuwa swali la kitaifa. Ni lini watoto wetu wataionja keki ya taifa ?Sawa, Ndungulile tulimlaani.
Bado @Mwiguru Mwiguru nchemba naye ninamlaani...
Mrisho Mpoto aliwahi kusema neno ningejua huja mwisho wa safari.Japo alikuwa na mapungufu yake late Legendary Pombe alikuwa kiboko na alifaa kwa haya madudu yanayojirudia.
Kalemani akabidhi na CCTV camera za tukio la LissuRais Samia Suluhu kafanya mabadiliko madogo kwenye baraza la Mawaziri na mwanasheria mkuu wa Serikali kama ifuatavyo...