Richard
JF-Expert Member
- Oct 23, 2006
- 15,692
- 23,038
Nasema hivi Mkuu dhalimu mwendazake alikuwa mwizi mkubwa fisadi mkubwa na mbadhirifu mkubwa kupata kutokea nchi yetu. Watanzania wengi tunamshukuru Mwenyezi Mungu kwa KUMNYAKUA pia alitenda maovu mengine chungu nzima ya kutisha.
Mwenyezi Mungu hakumnyakua JPM, alimpokea tu bila taarifa.