Uteuzi Julai 31, 2024: Rais Samia aunda Tume ya Kutathmini na Kushauri kuhusu Masuala ya Kodi (Presidential Commission on Tax Reforms)

Hahaha..

Hii nchi tuna safari ndefu kufika tunapohitaji kufika.

Ifike mahala tuwe serious ase kwamba masuala ya kodi hayatambuliki au hatufahamu changamoto na sehemu tulizo vizuri licha ya kuwa taasisi za kodi pamoja na tume mbalimbali.

Viongozi wakipunguza masihara huwenda nchi yetu ikapiga hatua.
 
Hopeless. Hakuna hata mmoja amewahi uza nyanya hapo.


Watu wasiojua chochote kuhusu uhalisia
 
Luoga, mwalimu wa Tax Law, UDSM, na kile kijitabu chake, Assad akateme sumu mpaka ziishe, its a good team
Nchi ikiwa na watu aina hii, ambao pekee analofikiri ni kujikimu..na mbaya zaidi wameroga roga hadi kupata kanafasi ka utumishi wa umma..nchi haiwez kufika popote, kila kinachofanyika anzia uteuzi wanachoona kwanza ni kujikimu..teuzi zote ni fursa za kujikimu, hawaoni kingine zaidi ya hicho..na hawa nao wanajikimu kwa kusifia kila kitu na kujaribu kupoteza mwelekeo wa mada!
 
Nakumbuka uliwahi SEMA anaweza sana na kuipenda kazi ya kuteua na kutengua. Anatimiza hobby yake.
 
Janabi atasababisha wajumbe wa tume wasiwe wanakula kwasabb ya hamasa yake ya intermittent fasting.
 
Sera za Kodi zinatakiwa ziangalie pia Mazingira salama kiafya ya kuhojiana maswala ya Kodi na Ulipaji

Yaani Mfumo wa Customer care uwe kiafya zaidi Ili walipakodi wanawiri

Janabi anajua mambo mengi

Mlale Unono 😀
Ataanza na kitambi cha Pfof Assad
 
Rais weka na watu wa biashara wenyewe badala ya bureaucrats tu wastaafu. Baraza la Biashara la Taifa ndiyo waathirika namba wani wekeni hata wajumbe wawili mpate uhalisia wa madhaifu ya tax admin on the ground.
 
Sera za Kodi zinatakiwa ziangalie pia Mazingira salama kiafya ya kuhojiana maswala ya Kodi na Ulipaji

Yaani Mfumo wa Customer care uwe kiafya zaidi Ili walipakodi wanawiri

Janabi anajua mambo mengi

Mlale Unono 😀
ni kweli janabi anajua mambo mengi, kuna siku tutamtaiti atuelezee vizuri na sisi tuelewe. Lala unono pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…