Walimteua marehemu nani vile Jina lake?Inabidi wsondolewe tu, ndio waliomteua mfu, Rsis akaaibika.
Hizo Bange unawavutisha wewe?Tangu lini wavuta bangi wakapewa teuzi
Hakuna hela, kila mtu anataka akawe mpigaji.Tuambiane, tujueView attachment 3023323
Tulia mama asafisheTeuzi Za Rais Samia dhidi ya MAAFISA wa ikulu zina maana Gani?
Je ikulu yake yanuka au yanukia?je ya moto au ya baridi?
Je watumishi wa ikulu wote ni exceptional lazima wateuliwe nyadhifa mbalimbali hata kama wananuka?
Je yawezekana wananuka ila kwa kuwa wamekaa karibu na waridi ndo wanalipwa fadhira?
Nafanyaje nipate nafasi ya kuwa ikulu?
Je watumishi wa ikulu wote wanapatikanaje?je wakitolewa wote wanao kuja wanatoka wapi?
Je ikulu ITATANGAZWA nafasi za kazi?
Kunichanganya na machawa ni kunikosea ndugu yangu!!
Duuuh watu watatu Ila ruler inasoma ni mtu mmojaLucas Choice Fallacy 😂😂🔥
Nimekosea kweli Mkuu pardon meKunichanganya na machawa ni kunikosea ndugu yangu!!
Kiswahili ni kigumu aisee! Kuna vyeo vya walimu anaitwa mwalimu mwandamizi, kwa kiingereza wanaita senior teacher akitoka kwenye hicho cheo anaitwa principal teacher.
Funguka funguka, walau wewe umenifungua macho… sasa naanza kuelewaKwani wasimamizi wa uchaguzi mwakani ni akina nani
yawezekana hao ni mtu mmojaNasikitika mayalla,na Lukas mwashamba hawateuliwi
TISS wote ni maafisa wa ikulu.Hivi hao “maafisa waandamizi ofisi ya rais ikulu” kazi zao ni nini?
Hivyo vyeo tu utajuwa ni watu wanaoshinda huko ikulu. Wanachofanya ni kitu gani?
vyeo vingine hadi watumbuliwe ndo mtu unashangaa kumbe vilikuwepo.
Harufu ya waislam siku zote ni marashi mazuri sanaMbona harufu Uislam?
Umemsahau Skunk Fallacy!
Jamaa kaona mbali sanaFunguka funguka, walau wewe umenifungua macho… sasa naanza kuelewa