Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Sawa sawa MkuuWakurugenzi si ndio wasimamizi wa uchaguzi? Si ndio wanaotangaza matokeo ya uchaguzi?
Amandla...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa sawa MkuuWakurugenzi si ndio wasimamizi wa uchaguzi? Si ndio wanaotangaza matokeo ya uchaguzi?
Amandla...
Mwashambwa hana Qualification wala meritocracy. Aendee kuwa chawa wa JF kwa Samia.Nasikitika mayalla,na Lukas mwashamba hawateuliwi
Transfer of officers from ikulu, to DED/DC??? That is my doubt!
Transfer of officers from ikulu, to DED/DC??? That is my doubt!
Duuuh watu watatu Ila ruler inasoma ni mtu mmoja
Lucas Mwashambwa
ChoiceVariable
The Sunk Cost Fallacy 2
Noma
Ila kweli... Bila shule ni upotezaji wa muda 😂👍Mwashambwa hana Qualification wala meritocracy. Aendee kuwa chawa wa JF kwa Samia.
Nilimwambia Mwashambwa Big Chawa Akasome, aache haya mambo mama kaweza mama katimiza, nani kama mama , rais wetu mpendwa etc maneno Kama hayo yanasababisha ukoko kwenye akili yake
Election season mzeeTransfer of officers from ikulu, to DED/DC??? That is my doubt!
Ok ok ok, get a point.Kwani wasimamizi wa uchaguzi mwakani ni akina nani
Mwashambwa mkuu hilo ni bumunda haliwezi kupewa teyuzi!Amemuteua mwana ngenya ? Kwetu SISI wasukuma ni matusi dah ila mwashambwa AKA mke wa bashite anagundu hatari Kila mkeka hayumo au yeye ni condom inafaida wakati wa matumizi ikishatumika haifai tena kuonekana machoni pa watu?
Hao ni maafisa wa Tiss, kama vile DSO, RSO, ZSO, DoI, n.k. Wapo ambao wanapandishwa vyeo kutokana na uteuzi wao lakini pia wapo ambao wanashushwa vyeo kutokana na teuzi hizo.Hivi hao “maafisa waandamizi ofisi ya rais ikulu” kazi zao ni nini?
Hivyo vyeo tu utajuwa ni watu wanaoshinda huko ikulu. Wanachofanya ni kitu gani?
vyeo vingine hadi watumbuliwe ndo mtu unashangaa kumbe vilikuwepo.
Tumeshinda mlokole maviMbona harufu Uislam?
Itakuwa suala la uteuzi wa marehemu limemchanganya bi churaHawali shavu,wanakua demoted
Wengi hao ni maafisa vipenyo
LOoooh. Haya sasa ni maajabu. Unafananisha nyumbani kwako na shughuli za wananchi?Ni kawaida,
Hata nyumbani, watoto wakileta ujuaji, unawatimua wakajitegemee.
Thank you.Hao ni maafisa wa Tiss, kama vile DSO, RSO, ZSO, DoI, n.k. Wapo ambao wanapandishwa vyeo kutokana na uteuzi wao lakini pia wapo ambao wanashushwa vyeo kutokana na teuzi hizo.
Hawa magreat sinker watatoa siri kila leo, hawafai!Wapeni na wa huku jf hizo teuzi