Uteuzi June 22, 2024: Rais samia ameteua na kutengua viongozi mbalimbali

Uteuzi June 22, 2024: Rais samia ameteua na kutengua viongozi mbalimbali

Mwashambwa hana Qualification wala meritocracy. Aendee kuwa chawa wa JF kwa Samia.
Nilimwambia Mwashambwa Big Chawa Akasome, aache haya mambo mama kaweza mama katimiza, nani kama mama , rais wetu mpendwa etc maneno Kama hayo yanasababisha ukoko kwenye akili yake
Mutu ya Kububujikwa machozi!!!
 
Anatengua ili aweke vimada zake.maana anajua muda umebaki kidogo sana atoke madarakani
 
Huko Ikulu kuna madudu gani yamefanyika maana idadi kubwa sana ya watumishi huko wameondolewa na kupelekwa sehemu nyingine katika kipindi kifupi hiki.
 
Amemuteua mwana ngenya ? Kwetu SISI wasukuma ni matusi dah ila mwashambwa AKA mke wa bashite anagundu hatari Kila mkeka hayumo au yeye ni condom inafaida wakati wa matumizi ikishatumika haifai tena kuonekana machoni pa watu?
Lucas kinachomponza ni uchawa uliopitiliza kiasi hadi anayesifiwa anakereka anaona kama anakejeliwa,amezidisha mno sifa za kijinga.
 
Ni muda sasa wa kutoa mashoga ya kigalatia na kuanza Jihad
Wagaratia ni kabila,je hapa Tanzania tuna hilo kabika ambalo ni mashoga na wako ikulu?
Walikueepo akina aunt kessy,aunt sele sijui nao ni shemu ya hilo kabila?
Acheni kukashfu makabila ya watu kwenye mambo ya kishetani
 
Back
Top Bottom