Pre GE2025 Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Chanzo cha uhakika hicho, kidogo chura kazibuka masikio walau kasikia kwa mbali, kuna mtu alinipa ubuyu wa skendo za marope km wiki 2 zilizopita ila sikumzingatia sana sikumbuki hata alizungumzia nini
Watu wanajua aiseee.!! Tulibishana halafu km utani kawatoa hao hao, kuna uzi last week na mi nilicomment km masihara baada ya kupewa huo ubuyu 😹😹😹😹
Dah.!! Jamaa nilikuwa simtaki namjibu maombi yake ss hivi
 
Wacha bwana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…