Uteuzi na Utenguzi: Paul Makonda ateuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha. Ndalichako aondolewa uwaziri

Mnajifariji tu......Mwenezi alikuwa juu ya Mawaziri hadi PM anabow down.
Kiukweli makonda hakuna mtu aliyekuwa anamtarajia kuwa atarudi ktk mfumo,lakini alipoteuliwa tu kuwa mwenezi binafsi sikuona akidum ktk nafasi hiyo,ile ilikuwa ni gear tu ya namna gani aingie kwenye mfumo,then apelekwe serikalini,sikia baada ya uchaguzi 2025 makonda atateuliwa tena ukuu wa mkoa then atateuliwa na mama kuwa mbunge wa kuteuliwa then apewe wizara nyeti,mambo ya ndani,utumish nk
 
Kila la kheri ktk ndoto yako
 
Huu ni mtego kwa Makonda.Tena mkubwa sanaa.

Huenda mama ameamua kulipa fadhira akaona hafadhiriki.

Sasa amempa jiji gumu sanaa kisiasa.
 
Mbwa na paka pia mnakula au nyinyi mnabagua vyakula?! Kuleni hata mavi ni sawa tu kwa maana imeandikwa "kiingiacho sio najisi" hata mavi ukiweza kuyameza yakaingia tumboni kwa mujibu wa biblia yenu sio najisi, kwahiyo siyo nguruwe tu kuleni mbwa, vyura, paka,panya, mijusi, majongoo na konokono vyote hivyo ni halali kwa mujibu wa maandiko mnayoyaamini!.
 
Huyo mdudu tumeharamishiwa kula, na amezungumziwa katika Qur'an, hivyo acha kupotosha watu.

Na waarabu wamewakaa kooni, hamuwapendi, chuki tuu zimewajaa vifuani, wakati wao hawana habari na wewe.

Poleni sana
Hiyo Quran unaiamini wewe. So, acha upumbavu mwingine akifuata njia tofauti. Au wewe kichaa!? Una_force kufanana!? By the way waarabu wamesababisha watani zangu kufukuzwa ngorongoro.
 
Qurani Yako ukiifata wewe inatosha. Mbona kama unachuki za kichawi!? Wewe kutokuala nguruwe kunakufanya uchukie anayekula. Mwambie huyo unayedai alikataza, akuruhusu kula.
 
Teuzi usiku wa manane kama wachawi wa Bagamoyo na Tanga.
 
Naona Kuna uteuzi wa naibu waziri mwingine wa mambo ya ndani.
Huyu aliyekuwepo Jumanne Sagini katupwa nje ya kabinet? Maana sijaona kama kapqngiwa sehemu nyingine?
 
Kumekucha tena ! Hangaya kazini .
Hawa wateuliwa huwa wanapata muda wa kujifunza kazi kwa nafasi zao mpya wanazoteuliwa kabla hawajateuliwa kwingine tena?

Hii inaonyesha udhaifu mkubwa sana wa uongozi katika serikali hii.

Teuzi nyingi zinalenga kulinda maslahi ya walio madarakani na ni za kujinufaisha wao wateuzi badala ya kulenga manufaa ya wananchi. Sifa hii imejipambanua zaidi katika serikali hii ya Samia kuliko serikali nyingine yoyote tuliyowahi kuwa nayo. Teuzi za sasa ni za kulinda maslahi, zikilenga kuendelea kuwa madarakani baada ya chaguzi zijazo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…