Carasco Putin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2022
- 10,644
- 32,375
Mwaka wa tatu still anaunda SerikaliHuyu Rais huwa anatengua na kuyruΔa usiku tu?!!!
Umeambulia patupu pamoja na pambio zote za kichawa ulizojaza humu JF bado wanakupita kama huonekani keki wanagawana wao kwa wao pole sana.Mimi sina neno wala cha kuandika leo.
Makonda sio mtu wa kumcheka sana, mimi toka alivotolewa ukuu wa mkoa dar, na kuanguka kura za maoni nilisisitiza watu huyu jamaa muda wa kumcheka bado, maana hatabirikiMakonda kashushwa Cheo
Ruto ni Maguful wa Kenya πHAya ndio anayo yaweza, hakuna kingine anacho weza.
Mwaka wa tatu still anaunda Serikali, Ruto ana mwaka mmoja kazini ila alisha achana na teua, tengua, hamisha, mwaka wa tatu Raisi anaunda Serikali.
Hy kimkakati ndo nasema analetwa serikalini mdogo mdogo.Ameshushwa cheo na pia amewekwa Arusha kimkakati.
Kutoka kuwakoromea Mawaziri Nchi nzima, wakuu wa mikoa anawawakia Nchi Nzima, wa DC na maDED hawana raha.Makonda kashushwa Cheo
Kuwa makini sana na bashite, huyu jamaa kumcheka bado sanaAmemteua Lucas Mwashambwa kuwa chawa kiongozi jamiiforums.
Anyway tukiacha utani, Bashite kuna namna amegusa pasipogusika, na soon anaweza akarudi bench aendelee kuwa best loser!!
Hakuna kitu kama hicho.Hy kimkakati ndo nasema analetwa serikalini mdogo mdogo.
cheo alicho kuwa nacho ni kikubwa sana kulinganisha na ukuu wa Mkoa, hii ni kwa Africa tu, Mzungu hawezi kubali huu ujingaKashushwa cheo au analetwa serikalini mdogo mdogo.?