Nashengena
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 2,913
- 5,318
Yaani Makonda apewe mambo ya nje, kwa diplomasia ipi aliyonayo? Unacheza na foreign ministry wewe.Makonda
1 Mkuu wa mkoa
2 Mbunge
3 Waziri wa mambo ya nje
4 Rais wa JMT
HII COMMENT SIIFUTI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani Makonda apewe mambo ya nje, kwa diplomasia ipi aliyonayo? Unacheza na foreign ministry wewe.Makonda
1 Mkuu wa mkoa
2 Mbunge
3 Waziri wa mambo ya nje
4 Rais wa JMT
HII COMMENT SIIFUTI
Si alishawahi kuwa mkuu wa mkoaHapana mwanzo alikua kiongozi wa chama tu
Wewe ni Lema kabisa.Not this time. Take your time to know G. Lema well. He is a man of action and reaction.
Acha niishie hapo.
Mkuu, kwa jinsi ninavyozifahamu mada zako hapa JF imenilazimu nizipitie tena kutokea kwenye profile yako ili kujiridhisha kuwa sijachanganya ID.Ni wazi hili jimbo halitaponyoka tena. Wale waliotegemea kulichukua haitakua rahisi tena.
Warudishe kadi kwa kuwa wanamuogopaNgoja tuone kama upinzani wote hawatarudisha kadi
Itakuwa rahisi kama kupindua meza ya mlevi🤣Ni wazi hili jimbo halitaponyoka tena. Wale waliotegemea kulichukua haitakua rahisi tena.
She can put you in prison, dont play with her, do you hear?Oh ndalichako ,they put her outside.
Umeshiba Pilau la PasakaMakonda
1 Mkuu wa mkoa
2 Mbunge
3 Waziri wa mambo ya nje
4 Rais wa JMT
HII COMMENT SIIFUTI
Mbunge ni mwakiloshi wa wananchi siyo mtekelezaji wa miradi ya maendeleo. Mbunge hakusanyi kodi na wala siyo mfadhili. Mbunge ni mesenja, ni kama vile unavyomtuma house girl wako dukani ama sokoni. Halafu itokee mtu anamlaumu h. girl wako kwa maendeleo ya nyumbani kwako. It is fallacy!Ufanisi na utatuzi wa changamoto mbalimbali kwa wananchi ndicho kipimo halisi, Sioni lema amefanya nini hapo arusha, katika ubunge wake, zaidi ya kuongoza ganja smokers kwenye maandamano!
Hiyo Quran unaiamini wewe. So, acha upumbavu mwingine akifuata njia tofauti. Au wewe kichaa!? Una_force kufanana!? By the way waarabu wamesababisha watani zangu kufukuzwa ngorongoro.
By the way waarabu wamesababisha watani zangu kufukuzwa ngorongoro.
Una uhakika lema atarudisha ya Chadema kwa Mbowe na kupewa kadi ya CCM kisa bashite ndo kawa mkuu wa mkoa?Ngoja tuone kama upinzani wote hawatarudisha kadi
I hear Bush Dokta 😀 😀 😀She can put you in prison, dont play with her, do you hear?
Chuki mnayo nyie wendawazimu . Eti nguruwe ni Haram, haramu kwako wewe sio kwangu. We usile Mimi nakula shida Iko wapi!?. Na ukiumwa, ukahitajika kuongezewa damu hospitali, utajuaje damu utakayoongezewa sio ya mla nguruwe!? Punguzeni chuki kwa wasioufuata Uislamu.Nguruwe ni haram kuliwa, ndio maana mnapata magonjwq ya ajabu.
Wenzio wanakula bata huko Tanga wala husikii wakilalamika, kinachokusumbua wewe ni CHUKI, chuki ni maradhi mabaya sana.
Huyo msukuma bado hajapunguza kimbelefront tu??
Nilipumzika kidogoMuda wote umerudi leo? Multiple IDs 😂😂
Karibu tena kaka, nondo ziendeleeeNilipumzika kidogo