Uteuzi na Utenguzi: Paul Makonda ateuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha. Ndalichako aondolewa uwaziri

Uteuzi na Utenguzi: Paul Makonda ateuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha. Ndalichako aondolewa uwaziri

Kuteua wezi waliofikisha nchi hapa tulipo kwenye shida kama zote ni kuwadharau watanzania kwa asilimia zote
 
Sio kweli ukuu wa mkoa halafu awe nani? Kashushwa vibaya sana tena katupwa.

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Mbona unajifariji sana?

Kabla ya 2023 uliwahi kufikiri kama leo tutamjadili Makonda kama mkuu wa mkoa?

Ccm huwajui wewe! Hapo Konda boy akitoka U RC atapewa cheo kikubwa zaidi.
 
Mtu kama Makonda zero brain kabisa anapewa Ukuu wa Mkoa. Hajui anachofanya zaidi ya mihemko tu.

Kapewa Ukatibu wa Uenezi kavurunda mpaka mama kamshtukia kabla hajaharibu chama.

Alipewa Ukuu wa Mkoa wa Dar akavurunda nchi akataka kuigawa Magufuli akaona amtoe kwa ujanja sana.

Marekani walimpiga ban kwa mpaka leo hawezi kukanyaga kule lakini kama kwamba vijana wameisha wenye brain nzuri BADO unampa huyohuyo!
 
Mtu kama makonda zero brain kabisa anapewa ukuu wa mkoa. Hajua anachofanya zaidi ya mihemko tu.

Kapewa ukatibu wa uenezi kavurinda mpaka mama kamshtukia kabla hajaharibu chama.

Alipeq ukuu wa mkoa wa dar akavurunda nchi akataka kuigawa jpm akaona amtoe kwa ujanja sana.

Marekani walimpiga ban mpaka Leo hawezi kukanyaga kule. Lakini kama kwamba vijana wameish wenye brain nzuri BDO unampa huyohuyo
Tatizo liko kwetu wananchi. Kwa nini tunakubali haya yote yaendelee kutokea?
 
Mtu kama Makonda zero brain kabisa anapewa Ukuu wa Mkoa. Hajui anachofanya zaidi ya mihemko tu.

Kapewa Ukatibu wa Uenezi kavurunda mpaka mama kamshtukia kabla hajaharibu chama.

Alipewa Ukuu wa Mkoa wa Dar akavurunda nchi akataka kuigawa Magufuli akaona amtoe kwa ujanja sana.

Marekani walimpiga ban kwa mpaka leo hawezi kukanyaga kule lakini kama kwamba vijana wameisha wenye brain nzuri BADO unampa huyohuyo!
Utoko mtupu umeleta hapa jukwaani
 
Pilato akamwambia Yesu " Je Hujui kwamba Nina mamlaka ya kukufungua na Nina mamlaka ya kukufunga?"
Swali moja la kipumbavu sana lililowahi kuulizwa hapa nduniani. Hapa Yesu alitakiwa amjibu kama alivyowahi kumjibu mmoja wa wafuasi wake... "ondoka nyuma yangu shetani..."
 
Mbona unajifariji sana?

Kabla ya 2023 uliwahi kufikiri kama leo tutamjadili Makonda kama mkuu wa mkoa?

Ccm huwajui wewe! Hapo Konda boy akitoka U RC atapewa cheo kikubwa zaidi.
Jipe moyo
 
Mama wa ze ze ze alifanyaga nini kibaya mpaka Hangaya kumtengua ?
 
Back
Top Bottom