Hivi hawa watu wataweza kufanya kazi pamoja kweli? Au ndiyo kila mtu atajiona ni mkubwa kuliko mwenzake?Bregadia General Hata Kama angebaki Jeshini bado angekuwa anampigia Salute Full Kamishna wa Jeshi la Polisi na Valentino alikuwa Full Kamishna kwa Cheo cha Kijeshi!
Walipochemka ni Kagera
RC ni Meja General Kijuu Halafu Msaidizi wake ni Kamishna Diwani Athumani!
Mwalimu anakuwa mwanafunzi wa mwafunzi wake!Vip pale wazir ana batchelor or masters then naibu wazir Professor?
Kuna shida kwani?
Unamjua Mkurugenzi wa TAKUKURU ni nani?Takukuru haipo chini ya polisi...
Kwa Sabab gani??Bregadia General Hata Kama angebaki Jeshini bado angekuwa anampigia Salute Full Kamishna wa Jeshi la Polisi na Valentino alikuwa Full Kamishna kwa Cheo cha Kijeshi!
Walipochemka ni Kagera
RC ni Meja General Kijuu Halafu Msaidizi wake ni Kamishna Diwani Athumani!
Unazungumzia elimu na vyeo vya kijeshiVip pale wazir ana batchelor or masters then naibu wazir Professor?
Kuna shida kwani?
Asp inakuwa commissioned na raisi??Uzuri wa Mijadala kama hii haihitaji Matusi wala Kshfa kama kweli unataka kuelimishwa sio kubisha!
Mie nimezungumzia Bregadia Generali nawe ukaja kuandika Bregadia ukidhani ni cheo kimoja au Bregadia Jeneral kifupi chake ni Bregadia,
Labda nikupe Formula rahisi tu, siku nyingine kukiwa na dhifa ya Kitaifa Ikulu ( AU POPOTE) tazama wanavyokaa Askari wa Majeshi yetu kwa Protocal ndio utajua Kamishna wa Jeshi la Polisi na Bregadia generali wa JWTZ yupi ni Mkubwa
Unajua kuwa ASP wa Jeshi la Polisi akikutana Luteni wa JWTZ basi luteni anapiga Salute?
Unastahili kuchapwa viboko, kumi na viwili asubuhi na kumi na viwili jioni!!!!!. Uaanzaje kudhalilisha vyombo vyetu vya ulinzi.!?tatizo la mkulu anaamini akimteua mtu kuwa brigedia, kamanda etc, kwenye masuala yanayotakiwa kutumia akili na wala sio nguvu ndio ataleta ufanisi. hata hivyo nampongeza kwa kazi zake.
Mungo ni wakili weewe tena alikuwa mwanasheria mkuu wa JWTZNi maoni yangu kwamba hicho cheo angemteua hata wakili wa kujitegemea
aliyebobea kwenye mashauri ya jinai ie grand coruption and fraud cases.
hicho cheo kinahitaji mzoefu wa makesi ya mahakamani niliyotaja
hapo juu
Hii misconception kuwa jeshini hakuna akili, halafu wajinga nyie mnajaza server humu kuuliza Ni lini ajira za jeshi zinatoka mnakera sana. Utakuta ninyi wenye akili mnakimbilia jeshini kwenye kazi isiyotumia akili. Hovyo kabisatatizo la mkulu anaamini akimteua mtu kuwa brigedia, kamanda etc, kwenye masuala yanayotakiwa kutumia akili na wala sio nguvu ndio ataleta ufanisi. hata hivyo nampongeza kwa kazi zake.
Mkuu hao officers wanaotoka jeshini wanafundishwa uongozi vizuri sana. Na juu ya yote wanafundishwa uzalendo sanaaa japo wapo baadhi sio wazalendo kihivyo.tatizo la mkulu anaamini akimteua mtu kuwa brigedia, kamanda etc, kwenye masuala yanayotakiwa kutumia akili na wala sio nguvu ndio ataleta ufanisi. hata hivyo nampongeza kwa kazi zake.
Unataka kulinganisha Meja Jenerali na Kamishna wa Polisi,.heshimu majenerali aisee.Bregadia General Hata Kama angebaki Jeshini bado angekuwa anampigia Salute Full Kamishna wa Jeshi la Polisi na Valentino alikuwa Full Kamishna kwa Cheo cha Kijeshi!
Walipochemka ni Kagera
RC ni Meja General Kijuu Halafu Msaidizi wake ni Kamishna Diwani Athumani!
Yaani Brigedia General anakwenda kuwa chini ya Polisi?
Mwambie huyo jamaa haelewi kabisaAcha uongo wewe Brigedia ampigii salute hata IGP kawadanganye mafisi huko,unajua cheo cha Brigedia wewe ukubwa wake
Mwalimu anakuwa mwanafunzi wa mwafunzi wake!
Si poa kiuhalisia!