Kwa taarifa tu asilimia zaidi ya 90% ya machawa yanayoimba mama...mama Kila muda yanatoka huku huku Tanganyika, ila wanufaika wa daraja la juu kabisa wa huu utawala wa chura kiziwe ni wazanzibari ambao huwaskii wakiimba nyimbo zozote za kumsifu churaWanaccm ambao mnajipendekeza na kumuunga mkono huyu chura kiziwi hamtutendei haki kabisa sisi Watanganyika.