UTEUZI: Rais Samia afanya uteuzi wa Wakurugenzi wa Halmashauri, Manispaa, Miji na Wilaya 184

The Assassin

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2018
Posts
4,942
Reaction score
20,077
Rais Samia amefanya uteuzi wa wakurugenzi 184.
20210802_064909.jpg
20210802_064933.jpg
20210802_064918.jpg
20210802_064930.jpg
20210802_064921.jpg
20210802_064914.jpg
 
Nini maoni yako baada ya kupitia Orodha ya majina ya wakurugenzi hii hapa kama mwananchi kwa mteuzi na wateuliwa ?
Ukifatilia kwa makini utaona kuna majina yamejirudia kutajwa zaidi ya kituo kimoja cha kazi. kwa mfano angalia Dollar Rajabu Kusenge na Lutengano George Mwalibu !

IMG_20210802_065429_330.jpg
 
Mnaowafahamu hawa wateule, je Ukada wa CCM kma alivyokuwa Magufuli umeendelezwa na Samia? Professionalism imezingatiwa? Au ni mwendo wa kichama, makada?

Lakini kwa Samia nowadays ataweka rekodi ya uchama ......
 
Back
Top Bottom