expedition
JF-Expert Member
- Jul 16, 2016
- 935
- 2,995
Asante Mungu, na mimi nimekumbukwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa naona kuna dalili kuwa uchaguzi mkuu ujao umekwisha najisiwa! Kama si kwa malengo ya uchaguzi mkuu ujao, kwa nini kuteua upya? Performance au wengi wamestaafu?Mnaowafahamu hawa wateule, je Ukada wa CCM kma alivyokuwa Magufuli umeendelezwa na Samia? Professionalism imezingatiwa? Au ni mqwendo wa kichama, makada?
Lakini kwa Samia nowadays ataweka rekodi ya uchama ......
Moja wa mkurugenzi shupavu Tanzania ni huuo mama. Ila usimzingueShetani kaletwa Tanga Jiji , Mungu wangu! Tumekwisha! Shetani Jike hilo laja wana Tanga Jiji
Jambo pekee analoweza ni kuzurula kama vasco dagama ndio maana ametuletea makato makubwa ili apate hela ya kula bata vizuri nchi za nje. Kwa hakika TUMEPIGWAAAANilijua Samia hwezi fanya lolote duniani. Tumepigwa...
Duuh😲Nilijua Samia hwezi fanya lolote duniani. Tumepigwa...
Hakika.....Moja wa mkurugenzi shupavu Tanzania ni huuo mama. Ila usimzingue
Ndio maana waenye akili wanadai katiba mpya.Sipora amekuwa matatizo DSM, leo kaletwa Tanga badala ya kumpumzisha....
Samia Suluhu Hassan...Jambo pekee analoweza ni kuzurula kama vasco dagama ndio maana ametuletea makato makubwa ili apate hela ya kula bata vizuri nchi za nje. Kwa hakika TUMEPIGWAAAA
Wenye akili kwa kiwango gani?!!!Ndio maana waenye akili wanadai katiba mpya.
Uchama tupuMnaowafahamu hawa wateule, je Ukada wa CCM kma alivyokuwa Magufuli umeendelezwa na Samia? Professionalism imezingatiwa? Au ni mqwendo wa kichama, makada?
Lakini kwa Samia nowadays ataweka rekodi ya uchama ......
Yumo bwashee!Pascal Mayalla yumo!?