UTEUZI: Rais Samia afanya uteuzi wa Wakurugenzi wa Halmashauri, Manispaa, Miji na Wilaya 184
No.165 ana undugu wowote na mheshimiwa mbunge?
 
Kweli nimeamini Siku hizi hakuna Waganga wazuri wa Kienyeji ( katika Medani za Siasa na Uteuzi ) kwani kuna Mtu nimepishana nae mno katika 'Vilinge' vya Waganga nchini Mimi 'nikiirogea' Simba SC imfunge Yanga SC katika ASFC Final iliyomalizika ili ateuliwe kuwa DED lakini kakosa na aliniambia kuwa lazima tu 'Mama' atamteua.
 
Kweli nimeamini Siku hizi hakuna Waganga wazuri wa Kienyeji ( katika Medani za Siasa na Uteuzi ) kwani kuna Mtu nimepishana nae mno katika 'Vilinge' vya Waganga nchini Mimi 'nikiirogea' Simba SC imfunge Yanga SC katika ASFC Final iliyomalizika ili ateuliwe kuwa DED lakini kakosa na aliniambia kuwa lazima tu 'Mama' atamteua.
🤣🤣
 
Hongera kwa wateule wote.
Teuzi ya mama imezingatia kujenga uzalendo wa taifa letu.
Taasisi zingine ni muhimu sana ziwe zinazigatia kujenga umoja na taswira ya nchi yetu, ni muhimu sana kila raia mwenye sifa akashiriki kulijenga Taifa lake, tuepuke kujaza aina mmoja ya watu.
safi sana.
sasa tuchape kazi kwa weledi na maarifa ili nchi yetu isonge mbele.
 
Sijamwona Edson Kamoga....
Aliteuliwa na Rais Hayati Dk. John Pombe Magufuli na ambaye hajamteua safari hii ni Rais Samia Suluhu Hassan.

Uzuri ni kwamba aliaga vizuri pale CMG halafu hata 360 Cloudstv Hosts wa sasa ( wakiongozwa na Mtangazaji nisiyemwelewa ) Kijakazi ( Kija ) Yunus hawafanyi vizuri hivyo basi naweza kuwa na 75% ya Yeye 'Mtumbuliwaji' Hudson Kamoga kurudi hapo na Kuendelea 'Kujipendekeza' Kwake tena ili pengine Siku za mbele akumbukwe katika 'Teuzi' za Nafasi zingine.
 
Hongera kwa wateule wote.
Teuzi ya mama imezingatia kujenga uzalendo wa taifa letu.
Taasisi zingine ni muhimu sana ziwe zinazigatia kujenga umoja na taswira ya nchi yetu, ni muhimu sana kila raia mwenye sifa akashiriki kulijenga Taifa lake, tuepuke kujaza aina mmoja ya watu.mfano aina moja ya dini au jinsia kama baadhi ya taasisi zingine zilivyo kuwa zinafanya, haikuwa sawa. nchi yetu ni lazima ijengwe na watanzania wote wenye sifa ili kujenga uzalendo na upendo kwa nchi.
safi sana Mhe. Rais.
sasa tuchape kazi kwa weledi na maarifa ili nchi yetu isonge mbele.
 
Aliteuliwa na Rais Hayati Dk. John Pombe Magufuli na ambaye hajamteua safari hii ni Rais Samia Suluhu Hassan.

Uzuri ni kwamba aliaga vizuri pale CMG halafu hata 360 Cloudstv Hosts wa sasa ( wakiongozwa na Mtangazaji nisiyemwelewa ) Kijakazi ( Kija ) Yunus hawafanyi vizuri hivyo basi naweza kuwa na 75% ya Yeye 'Mtumbuliwaji' Hudson Kamoga kurudi hapo na Kuendelea 'Kujipendekeza' Kwake tena ili pengine Siku za mbele akumbukwe katika 'Teuzi' za Nafasi zingine.
Mkuu vipi yule aliyeteuliwa mwishoni hivi sijui Ngoma yeye kapenya au watarudi wote?
 
Back
Top Bottom