UTEUZI: Rais Samia afanya uteuzi wa Wakurugenzi wa Halmashauri, Manispaa, Miji na Wilaya 184
[emoji1787][emoji1787]
Kwa hiyo kila kada wa CCM anataka uteuzi?!!!

Notion hii ni mbaya kwa sisi vijana....

Mimi mtu wa ITIKADI za chama mkuu.....

Walinzi wa ITIKADI ya chama si lazima wateuliwe [emoji1787][emoji1787]

#SiempreCCM
#HastaLaVictoriaCCM
#SiempreSSH
#SerikaliMbiliMilele
Sizitaki hizi mbichi ! Ahahahaaa
 
Hongera kwa wateule wote.
Teuzi ya mama imezingatia kujenga uzalendo wa taifa letu.
Taasisi zingine ni muhimu sana ziwe zinazigatia kujenga umoja na taswira ya nchi yetu, ni muhimu sana kila raia mwenye sifa akashiriki kulijenga Taifa lake, tuepuke kujaza aina mmoja ya watu.
safi sana.
sasa tuchape kazi kwa weledi na maarifa ili nchi yetu isonge mbele.
Hakika....

#KaziIendelee
#SerikaliMbiliMilele
#SiempreSSH
 
jiepushe na matusi, ungelinijibu tu kwa maneno mema tu. Mimi nimequote johnthebaptist baada ya kumuuliza, and I did not folow it any more. Sasa wewe unanitukana.
Nimeona wapi kosa lilifanyika mkuu, sikudhamiria kukujibu wewe kwa kweli! Nilikuwa namjibu Johnthebaptist, kumbe na post yako nikawa nimefungua kama najibu! Nisamehe sana brother mwenyewe!
 
Aisee, hii imekuja accidentally brother, nilikuwa namjibu Johnthebaptist mtani wangu! Nisamehe sana bro kwa kweli nimesoma vibaya nikadhani kaandika Johnthebaptist!! Naifuta sasa hivi!!
Haina shida, nimekuelewa hivi ni kweli amepata au johnthebaptist nami alikuwa ananitania, maana tunataniana ingawa simjui
 
Aliteuliwa na Rais Hayati Dk. John Pombe Magufuli na ambaye hajamteua safari hii ni Rais Samia Suluhu Hassan.

Uzuri ni kwamba aliaga vizuri pale CMG halafu hata 360 Cloudstv Hosts wa sasa ( wakiongozwa na Mtangazaji nisiyemwelewa ) Kijakazi ( Kija ) Yunus hawafanyi vizuri hivyo basi naweza kuwa na 75% ya Yeye 'Mtumbuliwaji' Hudson Kamoga kurudi hapo na Kuendelea 'Kujipendekeza' Kwake tena ili pengine Siku za mbele akumbukwe katika 'Teuzi' za Nafasi zingine.
Kamoga kapigwa chini?aisee
 
Nakupongeza rais wangu.

Kwa kutowachagua Steve Nyerere na huyu anaejiita mwandishi mkongwe....

Hawa jamaa ni wanafiki sana. Hawafai kuwa sehemu ya timu yako. Otherwise, watakuangusha pakubwa sana.

Wanabadilika kulingana na upepo. Hawana misimamo...wanasifia ili wapate ulaji.

Mheshimiwa rais wangu, Samia.

Usiendekeze sana hawa waimba kwaya....kila siku wanatuimbia uzuri wa mbingu lakini matendo yao hayaendani na uzuri wa mbingu.

Nakuomba wakati mwingine uwakumbuke hawa vijana Mshana Jr na mama D wsnajitahidi sana kukusifia pia atleast sio wanafiki.

Ziara njema mama na asante kwa kunikumbuka.
 
Haina shida, nimekuelewa hivi ni kweli amepata au johnthebaptist nami alikuwa ananitania, maana tunataniana ingawa simjui
Kwa kweli jina la Mayalla halimo aisee, uongo wa Johnthebaptist ndiyo maana nikamtukana! Pale Kasulu kuna jina la Dollar Kusenge na mwingine Anaitwa Kashushura maana Kasulu kuna halmashauri 2 (yaani mji na vijijini). Ila kwa jina la Dollar panatakiwa marekebisho maana katokea kwenye halmashauri 2 (Kasulu na Njombe).
 
Wenye akili kwa kiwango gani?!!!

Wengi wa Watanzania hawaihitaji hiyo katiba mpya....

Ni wanasiasa wachache tu....

Taifa la watu milioni 60 wanasiasa wangapi?!!

#KaziIendelee
#SerikaliMbiliMilele
Huo utafiti umefanya wapi?
 
Kwa kweli jina la Mayalla halimo aisee, uongo wa Johnthebaptist ndiyo maana nikamtukana! Pale Kasulu kuna jina la Dollar Kusenge na mwingine Anaitwa Kashushura maana Kasulu kuna halmashauri 2 (yaani mji na vijijini). Ila kwa jina la Dollar panatakiwa marekebisho maana katokea kwenye halmashauri 2 (Kasulu na Njombe).
Basi johnthebaptist alikuwa anatania
 
Nakupongeza rais wangu.

Kwa kutowachagua Steve Nyerere na huyu anaejiita mwandishi mkongwe....

Hawa jamaa ni wanafiki sana. Hawafai kuwa sehemu ya timu yako. Otherwise, watakuangusha pakubwa sana.

Wanabadilika kulingana na upepo. Hawana misimamo...wanasifia ili wapate ulaji.

Mheshimiwa rais wangu, Samia.

Usiendekeze sana hawa waimba kwaya....kila siku wanatuimbia uzuri wa mbingu lakini matendo yao hayaendani na uzuri wa mbingu.

Nakuomba wakati mwingine uwakumbuke hawa vijana Mshana Jr na mama D wsnajitahidi sana kukusifia pia atleast sio wanafiki.

Ziara njema mama na asante kwa kunikumbuka.

Usiendekeze sana hawa waimba kwaya....kila siku wanatuimbia uzuri wa mbingu lakini matendo yao hayaendani na uzuri wa mbingu.🤔🤔🤔🤔🤔
 
Sema tu wewe ni wa MMEMKWA. Ahahahaaa ishia kupiga debe.

Anyway wakafanye waliotumwa ikiwemo na kuiba kura
Sawa.....

Endelea kujidanganya mkuu....ha ha ha 🤣

Kazi ya DED's ni kusimamia maendeleo ya halmashauri.....

#KaziIendelee
#NchiKwanza
#SiempreCCM
 
Nakupongeza rais wangu.

Kwa kutowachagua Steve Nyerere na huyu anaejiita mwandishi mkongwe....

Hawa jamaa ni wanafiki sana. Hawafai kuwa sehemu ya timu yako. Otherwise, watakuangusha pakubwa sana.

Wanabadilika kulingana na upepo. Hawana misimamo...wanasifia ili wapate ulaji.

Mheshimiwa rais wangu, Samia.

Usiendekeze sana hawa waimba kwaya....kila siku wanatuimbia uzuri wa mbingu lakini matendo yao hayaendani na uzuri wa mbingu.

Nakuomba wakati mwingine uwakumbuke hawa vijana Mshana Jr na mama D wsnajitahidi sana kukusifia pia atleast sio wanafiki.

Ziara njema mama na asante kwa kunikumbuka.
Na kwa bahati mbaya kabisa huwalishi na hawajawahi kuomba mkopo kwako ili wapate kula, Na uelewe wewe roho mbaya, Maisha yako na ridhiki yako haishikwi na mwandisgi mkongwe wala stive na hata wewe huna uwezo wa kushikili maisha ya mtu, jinga kabisa wewe
 
Back
Top Bottom