UTEUZI: Rais Samia afanya uteuzi wa Wakurugenzi wa Halmashauri, Manispaa, Miji na Wilaya 184
Hamna jipya anademka tu huyu mama yenu mpaka anatoka madarakani hakuna atakachokuwa amefanya. Kazi kuzurula tu
Hazuruli,anawatafutia mboga watoto.ila mboga zinatafutwa zilikokauka
 
Duuuh...poleni sana wanatanga kwa kuletewa spora liana.. ushoga wake na ummy Mwaimu naona umemfanya mama amepekee huko kwake!
 
Labda TISS
Nao ni watumish wa serikali mkuu tena wako wengi sana nchi hii,,..
Na wengi wamechomekwa chomekwa huko wanatusomea magazeti asubuhi,,..
Na kwa case ya mayalla baba yake na mama yake wote walikua wana usalama tena mzee wake alifika ad cheo cha RSO,,.
Alaf yeye akatuambia alifeli usaili atutoe kwenye reli,..
 
kuna mkurugenzi mmoja anaitwa jina Neto alikuwa mafinga sijui mufindi naona simuoni
 
Wanawavunja moyo watumishi wakongwe wa local authorities kama wakuu wa idara kwny halmashauri, weo,das nk

Tumepotea njia kwny hili.post ya uDed itokane na maturity, seniority na kuaminiwa kwny local authorities sio favour ya siasa bwana.

Tuna veteran staff kibao wapo bench kwny halmashauri lakin hawaonwi eti.
 
Natafuta jina la MWAKIBIBI aliyekuwa Temeke kapangwa wapi
Na yule walipandishana na Meya wa Dar then next day wakawa wameshika maungo eti wamepeana samahani
 
Hive kazi ya Rais ni kuteua viongozi kila siku? Hii imekuwa kama ndoto, uteuzi kila siku? What wrong with the previous vigogo. Is Tanzania not overgoverned, viongozi wangapi kweye hizo wilaya na mikoa, DC, DED, Mayor, MP etc wote hao wanzoa mishahara? Do we actually need them, no. They are all useless.
 
Ivi Performance yake ilikuwaje ? Naona mama kamsahau au ndio kusema lile jina lililojirudia la Dorice bac kulioaswa jina lake liwepo
Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu ipo Dongobesh. Ni pazuri maana wamehamia majuzi hivyo deals za upigaji nje nje. Maana wanajenga jengo la Halmashauri na hospitali pengine na barabara ya lami itajengwa hivyo Ni rahisi mtu kushawishika kudokia Senti Kama si muadilifu
 
Jana alikuwa Clouds tv anahojiwa.

Labda atarudi Clouds 360 kuchukua mikoba ya Baby Kabae!
Ni kweli alafu yule ni kama alijitabiria maana alitoa mfano mmoja wa Punda yule aliyembeba Yesu si alikanyaga kanga wakati wa kwenda so Hudson akasema anauhakika yule Punda wakati wa kurudi hakukanyaga tena kanga ...
 
Natafuta jina la MWAKIBIBI aliyekuwa Temeke kapangwa wapi
Na yule walipandishana na Meya wa Dar then next day wakawa wameshika maungo eti wamepeana samahani
Kiboko ya Meya kaenda kwa Wadigo huko
 
Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu ipo Dongobesh. Ni pazuri maana wamehamia majuzi hivyo deals za upigaji nje nje. Maana wanajenga jengo la Halmashauri na hospitali pengine na barabara ya lami itajengwa hivyo Ni rahisi mru kushawishika kudokia Senti Kama si muadilifu
Mm nahisi jina lake limesaulika tu maana hata ktk serikali ya awamu ya 5hata Tamisemi hatukusikia wakiimulika iyo halmashauri so nafikir ali perform vizuri
 
Back
Top Bottom