mwanadome
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 4,950
- 5,317
Anasubiria jambo lake.kawe itakua wazi muda wowote [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Pascal Mayalla yumo!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anasubiria jambo lake.kawe itakua wazi muda wowote [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Pascal Mayalla yumo!?
Wamtoe kwetu Njombe watuachie mama yetu Iluminata Mwenda katufanyia Kazi nzuri Sana,hiyo pumba peleka Kasulu huko.huyu Dollar Rajab Kusenge amekula shavu × 2, ameteuliwa Kasulu mji na ameteuliwa tena Njombe mji...!! WTF
Tambua Mama hajaja na majina yake isipokuwa walewale wa awamu ya 5 wamepelekwa vituo tofauti na wengine ndio wametumbukizwa ..huyo Nnauye alikuwepo tangia enzi za Mzee mbabaUteuzi umezingatia kigezo cha KUJUANA
Nchi imerudi kwenye zama za mabwanyenye na unanijua mimi nani?
Ndugu yangu nchi imerudi kuhodhiwa na wachache. Zama za ubwanyenye zimerudi kwa kasi na MADED wote unaowaona hakuna mnyonge hata mmoja. Wote wametoka kwenye familia za wakubwa wenye anuani hapa mjiniHuyu DED wa Ikungi ni mtoto wa Marehemu balozi kijazi ama mimi ndio sijaelewa?
Naona ukishakuwa mtoto wa mkubwa basi unakula tu teuzi, hakika ndio maana katiba mpya ni jambo la msingi sana.
Humo ndani wamechomeka hadi wake wa wapiga picha za ikulu kweli Tanzania tuna ssfari ndefu.
Huyo ndiye nilikuwa namfuatilia SPORAShetani kaletwa Tanga Jiji , Mungu wangu! Tumekwisha! Shetani Jike hilo laja wana Tanga Jiji
Atatulizwa tu,ikishindikana twamuendelea Pangani au Handeni.Shetani kaletwa Tanga Jiji , Mungu wangu! Tumekwisha! Shetani Jike hilo laja wana Tanga Jiji
Mkuu hiyo avatar yako kwenye komputa naona unaangalia mechiAtatulizwa tu,ikishindikana twamuendelea Pangani au Handeni.
Hatutaki mambo ya kikhanithi sisi.
Atakuwa kaliwa kichwa huyuSijamwona Edson Kamoga....
Bila shaka ndio hiyo iloandikwa Wilaya ya Nanyamba, Sababu hakuna wilaya ya Nanyamba. Nahisi ni Typing Error. Wilaya ya NanyumbuWilaya ya Nanyumbu Mkoani Mtwara imesahaulika au imewekwa pembeni Kwanza kupisha Uchunguzi unaomkabili DED aliyekuwepo Hamis Dambaya ambaye anakabiliwa na Shutuma kutokana na Ujenzi wa Kituo cha Mabasi cha Mangaka?
Kazi na dawa..))Mkuu hiyo avatar yako kwenye komputa naona unaangalia mechi
Kinondoni kamkimbia Meya na Meya alimwambia Utaondoka wewe mimi utaniacha na kweli Mwanamke kakimbiaSporah anafaa hpo Tanga maana mmezidi wadigo sana tena sana
Ni Mpumbavu TU Asiyeitaka KATIBA MPYAWenye akili kwa kiwango gani?!!!
Wengi wa Watanzania hawaihitaji hiyo katiba mpya....
Ni wanasiasa wachache tu....
Taifa la watu milioni 60 wanasiasa wangapi?!!
#KaziIendelee
#SerikaliMbiliMilele