shushushu VIP
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 4,799
- 4,312
netho ndilito alikuwa mufindi simuoni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ana gunduPascal Mayalla yumo!?
Performance unaipimaje Mr. Mzalendo?Mm nahisi jina lake limesaulika tu maana hata ktk serikali ya awamu ya 5hata Tamisemi hatukusikia wakiimulika iyo halmashauri so nafikir ali perform vizuri
Mataga na sukuma gang wanakomolewa?Huyo huyo. kisa mmewe ni mpiga picha wa ikulu basi ndio kimekuwa kigezo cha yeye kuteuliwa.
Wanapeana vyeo kwa kujuana
Hivi hakuna watu wengine ? Sipora tu tangu huko jamani !Sipora amekuwa matatizo DSM, leo kaletwa Tanga badala ya kumpumzisha....
Anaitwa MWAKABIBI mkuu alipata kuwa boss wangu nikiwa Temeke kabla ya kuhamia Simiyu.Natafuta jina la MWAKIBIBI aliyekuwa Temeke kapangwa wapi
Na yule walipandishana na Meya wa Dar then next day wakawa wameshika maungo eti wamepeana samahani
Mimi siafiki,hao wakuu wa vitengo halmashauri ndiyo wapigaji wakuu.so ukiwakabidhi shamba si ndiyo utaambulia mabua.Wateuliwe watu competent waadirifu kutoka popote.Hakuna anayesomea u-DED.tena hata wakati mwingine wangekuwa wanatoa hata ma CEO wa mashirika makaubwa yanayofanya vizuri.Hamashauri ndiyo injini ya maendeleo ya nchi.Huko ndiyo kila kitu kwa habari ya maendeleo ya nchi.Wanawavunja moyo watumishi wakongwe wa local authorities kama wakuu wa idara kwny halmashauri, weo,das nk
Tumepotea njia kwny hili.post ya uDed itokane na maturity, seniority na kuaminiwa kwny local authorities sio favour ya siasa bwana.
Tuna veteran staff kibao wapo bench kwny halmashauri lakin hawaonwi eti.
Kuna kitu serikalin kinaitwa OPRAS fuatilia lkn kwa nafasi yake ya DED kuna vitu vingi vina mulikwaPerformance unaipimaje Mr. Mzalendo?
Kuna ndugu wa NapeMnaowafahamu hawa wateule, je Ukada wa CCM kma alivyokuwa Magufuli umeendelezwa na Samia? Professionalism imezingatiwa? Au ni mwendo wa kichama, makada?
Lakini kwa Samia nowadays ataweka rekodi ya uchama ......
Hamna kitu kaishindwa kinondoni kaicha kaivuruga Ngoja akaharibu na TangaMoja wa mkurugenzi shupavu Tanzania ni huuo mama. Ila usimzingue
Geofrey Moses Nnauye? Namba 165. Ni nani?Kuna ndugu wa Nape
Asante Mungu, na mimi nimekumbukwa.
Ndugu wa NapeGeofrey Moses Nnauye? Namba 165. Ni nani?
Tuna katiba mbovu sana hii mtu mmoja kuteua anayemutaka kama huna Konekisheni huwez pata nafac tunahitaji katiba mpya nafac hz ziwe zinashindaniwaRais Samia amefanya uteuzi wa wakurugenzi 184. View attachment 1877040View attachment 1877042View attachment 1877043View attachment 1877044View attachment 1877045View attachment 1877046
Wewe tafuta watu wa usalama mikoani hao ndio wanapeleka majina na kufanya vetting,Rais ni kutia saini tuu.Nimeitetea serikali yangu kwa muda mrefu, nimehangaikia chama, nimesemwa kwa sababu ya kuitetea serikali yangu, ni msomi mzuri, Ila sijabahatika teuzi Hadi leo, Ila nashangaa Kuna watu wawili wamechaguliwa halmashauri mbili tofauti. Dah, Angalia majina Dollar, na Lutengano. Naomba nafasi moja ikikupendeza mh. Rais uniteue nikaitumikie halmashauri
Nasikia ameahidiwa kumrithi gwajifix pale kawe, hivyo asubiri kwanza[emoji1787][emoji1787]Yupo wapi Pascal Mayalla ??
Uteuzi umezingatia kigezo cha KUJUANAGeofrey Moses Nnauye? Namba 165. Ni nani?