FRUIT TREE
JF-Expert Member
- Jun 7, 2018
- 700
- 828
AiseeKinondoni kamkimbia Meya na Meya alimwambia Utaondoka wewe mimi utaniacha na kweli Mwanamke kakimbia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AiseeKinondoni kamkimbia Meya na Meya alimwambia Utaondoka wewe mimi utaniacha na kweli Mwanamke kakimbia
Mambo ya hovyo kabisa...1. Lutengano George;- kateuliwa Wilaya ya Bukombe-Geita na Wilaya ya Misungwi-Mwanza (21&108)
2. Dollar Rajab Kusenge naye kateuliwa Wilaya ya Kasulu -Kigoma na Wilaya ya Njombe- Njombe-. (46&115)
Ikulu hawako serious.
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
ila alikuwa DED enzi za Awamu ya 5 so karudi tenaHuyo huyo. kisa mmewe ni mpiga picha wa ikulu basi ndio kimekuwa kigezo cha yeye kuteuliwa.
Wanapeana vyeo kwa kujuana
Mjanja kashapiga chanjotumeumia , huyu mama si amfuate Mwendazake?
Shukrani kwa makadaila alikuwa DED enzi za Awamu ya 5 so karudi tena
Sent from my Moto E (4) using JamiiForums mobile app
Jiwe alikuwa laana, Sasa huyu alimuokota wapiHongera Dr. Kamoga umeupiga mwingi. Mbulu tutakumiss
Hakuna watumishi wa umma ambao ni seniors?Sasa wateuliwe wanaoipinga serikali ya CCM?!!! Khaa 😲
Ok rafiki yangu. Mayalla aliacha kutetea haki ili ateuliwe Sasa kaangukia pua. Làbda atamkumbukaHahahaaaa..... Ilikuwa utani bwashee.
Ila bado nafasi moja wazi.
Alimsaidia wakati wa kampeniJiwe alikuwa laana, Sasa huyu alimuokota wapi
nani huyo mkuu. njoo inboxKweli nimeamini Siku hizi hakuna Waganga wazuri wa Kienyeji ( katika Medani za Siasa na Uteuzi ) kwani kuna Mtu nimepishana nae mno katika 'Vilinge' vya Waganga nchini Mimi 'nikiirogea' Simba SC imfunge Yanga SC katika ASFC Final iliyomalizika ili ateuliwe kuwa DED lakini kakosa na aliniambia kuwa lazima tu 'Mama' atamteua.
Wengi wengi wamepululiwa walioingia kivileSijamwona Edson Kamoga....
Kapaharibu kinondoni sana bora aondoke tu.Kinondoni kamkimbia Meya na Meya alimwambia Utaondoka wewe mimi utaniacha na kweli Mwanamke kakimbia
Hongera mrembo, halmashauri ipi?Ahsante mama hatimae leo umenikumbuka ili niitumikie serikali yako. [emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]
Anaitwa MWAKABIBI mkuu alipata kuwa boss wangu nikiwa Temeke kabla ya kuhamia Simiyu.
Aiseewakurugenzi waliozaliwa Chato wote wamepigwa chini
michuziNdugu yangu nchi imerudi kuhodhiwa na wachache. Zama za ubwanyenye zimerudi kwa kasi na MADED wote unaowaona hakuna mnyonge hata mmoja. Wote wametoka kwenye familia za wakubwa wenye anuani hapa mjini...
Musa GamaNimeona ndugu wa Nnauye na ndugu wa Michuzi, wanajazana ndugu tu aisee