Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha Bangi ( Bange ) sawa? Hassan Ngoma ni Mkuu wa Wilaya ( DC ) na hapa tunawaongelea hawa DED's tu sawa?Mkuu vipi yule aliyeteuliwa mwishoni hivi sijui Ngoma yeye kapenya au watarudi wote?
Wacha upumbavu mwamba! Kasulu mbona kuna Dollari Kusenge? Huyo aandike maumivu tu! Bora angebakigi na msimamo wa Pasco!Kasulu!
Ina maana mkuu kuna PDF mbili jamani? Mbona hii pale Kasulu zote 2 Kuna Dollar na Kashushura?amepata Kasulu
Poleni aiseeeShetani kaletwa Tanga, tunafanyaje sasa jamani! Wadigo, tunafanyaje? Mbumbumbu marafiki zangu.... hawajui hili wala lile...wazee wangu wa kidigo na ardhi yao...
jiepushe na matusi, ungelinijibu tu kwa maneno mema tu. Mimi nimequote johnthebaptist baada ya kumuuliza, and I did not folow it any more. Sasa wewe unanitukana.upumbavu
Kamoga atakuwa amepigwa chini! Pia DED wangu wa zamani pale Meatu Fabby Manoza sijamwona!!Sijamwona Edson Kamoga....
Angekuwa wakiume angepumzishwa ila kwakuwa ni wa kike usitegemee lolote mkuu. Nchi inaongozwa kwa double standard sana hiiSipora amekuwa matatizo DSM, leo kaletwa Tanga badala ya kumpumzisha...
Ina maana mkuu kuna PDF mbili jamani? Mbona hii pale Kasulu zote 2 Kuna Dollar na Kashushura?
Kuna harufu ya kujuana hasa majina ya wazito au walioko karibu na ulajiRais Samia amefanya uteuzi wa wakurugenzi 184. View attachment 1877040View attachment 1877042View attachment 1877043View attachment 1877044View attachment 1877045View attachment 1877046
Shetani kaletwa Tanga Jiji , Mungu wangu! Tumekwisha! Shetani Jike hilo laja wana Tanga Jiji
Aisee, hii imekuja accidentally brother, nilikuwa namjibu Johnthebaptist mtani wangu! Nisamehe sana bro kwa kweli nimesoma vibaya nikadhani kaandika Johnthebaptist!! Naifuta sasa hivi!!jiepushe na matusi, ungelinijibu tu kwa maneno mema tu. Mimi nimequote johnthebaptist baada ya kumuuliza, and I did not folow it any more. Sasa wewe unanitukana.
🤣🤣Kila siku unawashangilia wenzio wewe hauna qualifications ?!. Mbona hawakuoni !!
Ajabu ni ikionekana Waislamu wapo wapo kelele zinakuwa nyingi sana. Ukisikia udini nchini Tanzania ujue anayepigwa vita ni muislamu.😀ni katika kubalance mambo
Jambo pekee analoweza ni kuzurula kama vasco dagama ndio maana ametuletea makato makubwa ili apate hela ya kula bata vizuri nchi za nje. Kwa hakika TUMEPIGWAAAA
...itanyooka tu....Mwendo wa viboko,wahuni sasa basi,Tanga inarudi kwenye ubora wake