UTEUZI: Rais Samia amefanya mabadiliko madogo ya Makatibu Wakuu

UTEUZI: Rais Samia amefanya mabadiliko madogo ya Makatibu Wakuu

Sio kila kitu udini.
Ficha ujinga wako.
وَمَا لَهُم بِهِ مِنْ عِلْمٍ ۖ إِن يَتَّبِعُونَ إِلَّا الظَّنَّ ۖ وَإِنَّ الظَّنَّ لَا يُغْنِي مِنَ الْحَقِّ شَيْئًا.

Unajitia dhambi bure kwa kuweka dhana ya kuleta udini kwangu ikiwa mimi ni wa dini hiyo hiyo. Dhana ni dhambi kubwa mno.
Kuuliza kama kamaliza Umrah ni udini?
Usitafute ligi pasipokuwa na ligi ndugu. Kama dhamira yako ilikuwa majibizano, leo sitokupa hiyo faraja.
Uwe na siku njema iliyojaa nuru ya nafsi. Allah akuhidi moyo wako kiasi cha kutojiona wewe mbora kuliko wengine mpaka kuita wenzio wajinga.
 
sisi wananchi tunataka tuone uprofesa wao unaleta mabadiliko chanya kwa manufaa ya watanzania.
sio kila siku tunaitana profesa.....doctor..lkn kwenye utendaji hakuna tija!! tusile mishahara ya bure....
lengo la mabadiliko na dhamira ya Raisi ni kuleta au kuongeza tija kwenye wizara husika, na iwe hivyo.
 
sisi wananchi tunataka tuone uprofesa wao unaleta mabadiliko chanya kwa manufaa ya watanzania.
Ndugu yangu sisi tulichojaaliwa ni kupata Elimu ya ujuzi uliopo tayari lakini hatuna uwezo wa kugundua kitu kipya.
Hata research wanazofanya wana zuoni wetu na kupata PhD nk zimejaa blaablaah tu. WATU WANA TITLES KUUUBWA(Dr/Prof) lakini usifikirie wana jambo jipya.
Tukija kwenye utendaji wa kiserikali na siasa HAKUNA MAAJABU ATAKAYOFANYA PhD/Prof ambayo Diploma, First degree au Masters hataweza tena kiuongozi hawa ni wazuri sana. Japo rais aliyepita/JPM aliziamini sana PhD hata kwenye kazi tofauti na taaluma zao. Maadam wewe ni Dr halafu uwe umepita UDSM
 
Sedoyeka baba yake aliwai kua DC wa Mufindi nadhan na Sumbawanga.
 
Back
Top Bottom