Toxic Concotion
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 5,760
- 20,837
وَمَا لَهُم بِهِ مِنْ عِلْمٍ ۖ إِن يَتَّبِعُونَ إِلَّا الظَّنَّ ۖ وَإِنَّ الظَّنَّ لَا يُغْنِي مِنَ الْحَقِّ شَيْئًا.Sio kila kitu udini.
Ficha ujinga wako.
Muda si muda tutasikia waziri mwenye dhamana naye akihamishwa.Either issue ya Ngorongoro or issue ya kusafirisha Twiga imemuhamisha katibu.
Kwani ni uteuzi mpya huo?Mbona wote wa jumapili?
Kimyaaaa🤣burdani kabisaaa eeeh?
Ndugu yangu sisi tulichojaaliwa ni kupata Elimu ya ujuzi uliopo tayari lakini hatuna uwezo wa kugundua kitu kipya.sisi wananchi tunataka tuone uprofesa wao unaleta mabadiliko chanya kwa manufaa ya watanzania.
Ungeona mtifuano ingekuwa vice-versa. Kuna watu hawajiamini kabisa aisee, sijui hofu yao inatokanaga na nini? 🤣 🤣Mbona wote wa jumapili?
Kimyaaaa🤣burdani kabisaaa eeeh?
PoleNi rector wangu IAA uyu nilivyomaliza tu nayeye akateuliwa, sa hivi sio rector tena