Una uhakika uchosema bwana Pascal Mayalla angalia KADCOPia ni watu waaminifu sana!, hiwezi kusikia Msukuma ni mla rushwa au ni fisadi!.
P
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una uhakika uchosema bwana Pascal Mayalla angalia KADCOPia ni watu waaminifu sana!, hiwezi kusikia Msukuma ni mla rushwa au ni fisadi!.
P
Well saidHili la ukanda linaonyesha jinsi ulivyofilisika kifikra. Watu wa kanda ya kaskazini wana historia ya ujasiriamali na utendaji mzuri lakini kutakona na kuwa wa kanda hiyo wanabaguliwa. kwa mfano Kimei. Hata Prof. Mkennda anachofanya kwenye wizara ya Elimu ni outstanding, lakini anapigwa vita. Mpaka watu watakapojifunza kuthamini utendaji na sio ukanda nchi hii itabaki nyuma sana
Muda wake umeisha huwa Wana contract ya miaka kadhaa per BOT regulations.Aliyekuwepo kapelekwa wapi au katumbuliwa?
ChengePia ni watu waaminifu sana!, hiwezi kusikia Msukuma ni mla rushwa au ni fisadi!.
P
Hii si ni Postal Bank? hii bank haikui hata kidogo yenyewe inazidi kuzama
LugumiWasukuma ni wachapakazi sana alafu siyo wezi. Hongera Mihayo
sasa utamsikia wapi ikiwa wengi wao hawakuwa serikalini kwa muda mrefuPia ni watu waaminifu sana!, hiwezi kusikia Msukuma ni mla rushwa au ni fisadi!.
P
Hii benki imepata mtu jembe.
Kiukweli hawa jamaa wa Kanda ile ni majembe kazi kweli kweli!.
P
Uaminifu, uadilifu na uchapa kazi ni tabia binafsi ya mtu haina uhusiano na ukabila.Pia ni watu waaminifu sana!, hiwezi kusikia Msukuma ni mla rushwa au ni fisadi!.
P
Jamii yoyote ikiwa haina wezi kuendelea utaiona kwenye TV. Kwa taarifa Yako haya mataifa yote makubwa Dunian yameendelea kwa kuibia au kulaghai jamii nyingine. Angalia huu mkataba wa bandari nk. Na ndicho anachofanya kagame hapo Congo. So kuwa na intelligence questiont bila ya intelligence motion ni kaz bure.Wasukuma ni wachapakazi sana alafu siyo wezi. Hongera Mihayo
Aliyekuwepo kapelekwa wapi au katumbuliwa?
Unachoona kwa kutumia uelewa wako Mkenda alifanya maamuzi sahihi? Kwani alichokifanya Tulia kutumia vifungu vya sheria yupi alikuwa sahihi juu ya sakata hilo?Hukusikia kwenye Bunge, hata Tulia alivyoingilia issues za wizara yake? kuna namna ya ku deal na issues za waziri Sio kumfedhehesha public.
Take it from me, kuna makabila uaminifu wao kwenye fedha ni wa mashaka!. Kuna makabila wanawake wao, uaminifu wao kwenye ndoa ni wa mashaka!. Huwezi mlinganisha Mwanamke wa Kikwere na Mwanamke wa Kichagga!. Mwanamke wa kichagga unaweza kumuacha mgombani kumuona ni Krisimasi hadi Krisimasi, na ukamkuta salama!, Mwanamke wa Kikwere lazima aende ngomani!, huko ngomani sasa...!.Uaminifu, uadilifu na uchapa kazi ni tabia binafsi ya mtu haina uhusiano na ukabila.
Yes zile ni fedha zake halali, huyu ni mwanasheria wa Harvard anapata international legal Consultancy!.Una uhakika uchosema bwana Pascal Mayalla angalia KADCO
Kuna jamaa anaitwa Ezekiel Maige alikwa kabila gani?Pia ni watu waaminifu sana!, hiwezi kusikia Msukuma ni mla rushwa au ni fisadi!.
P
Tatizo ni maagizo ya wanaCCM ndiyo yatamponza, unadhani Tanzania haina watu wa wazuri? shida ni hizi siasa za kipumbavu, unaletewa memo nani umwajiri na nani umfukuze.Bila shaka mshikaji ataenda kuiamsha. Naamini kabisa hii ndoto yake itaenda kutimia.
Next Nmb /Crdb CEO.
Kule kule Kanda pendwa, Kanda tegemewa kwa utajiri wa JMT, Kanda determinant ya mshindi wa urais wa JMT!.Kuna jamaa anaitwa Ezekiel Maige alikwa kabila gani?
Pascal utafanya hawa watu waendelee kuchukiwa aah aahHii benki imepata mtu jembe.
Kiukweli hawa jamaa wa Kanda ile ni majembe kazi kweli kweli!.
P
Kumchukia mtu bila sababu kwasababu tuu ni wa kabila la wachapakazi, ni kujiumiza tuu bure kwa stess, tena kitu kizuri kuhusu kabila la wachapakazi hawa, hawanaga chuki na mtu yoyote!, Mchagga Kiwia kagombea ubunge usukumani Nyamagana, tumemchagua, Mchagga Machemli kagombea ubunge usukumani Ukerewe tumempa!, sasa wewe kabila nyingine, nenda kagombee Uchagani, au Uhayani uone kitakachotokea!.Pascal utafanya hawa watu waendelee kuchukiwa aah aah