UTEUZI: Rais Samia Amteua Adam Charles Mihayo kuwa Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Biashara Tanzania (TCB)

UTEUZI: Rais Samia Amteua Adam Charles Mihayo kuwa Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Biashara Tanzania (TCB)

Kila msukuma anajivunia mkoa anaoishi akijiona yeye ni bora kuliko Mwingine wa Geita atajiona Bora kuliko wa Bariadi ,wa Bariadi atajiona Bora kuliko wa shinyanga ,wa Mwanza wanajiona wao ndio halisi wasumbwa ndio wako wengi Mwanza.
Ok. Ahsante kwa elimu murua. Msukuma halisi ni yupi sasa?! Kuna mtu aliniambia wasukuma halisi ni wasumbwa. Ni kweli?
 
Walimsingizia tuu, vile vijisenti ni vijisenti vyake halali vya legal consultancy ni lawyer wa Harvard, ambayo ndio the 2nd best law school duniani, after Yale. Mtu aki graduate Harvard, kazi zinamtafuta, tena tumshukuru sana Mwalimu Nyerere, ukienda kusoma nje lazima urudi home, vinginevyo huwa hawarudi, mtu huwezi kuacha greener pasture abroad ukaja bongo kupokea peanut!

P
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemteua Bw. Adam Charles Mihayo kuwa Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Biashara Tanzania (TCB).

Bw. Mihayo ni Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Afrika Tanzania.

Uteuzi huu umeanza tarehe 19 Novemba, 2023

View attachment 2820916
View attachment 2820919
Sita sahau siku amenitoa Mbezi beach mpaka stanbic hq kwenda mfanyia attestation kumaliza akanitoa na buku 5 ambayo niliamua kuigawa kwa ombaomba
 
Sita sahau siku amenitoa Mbezi beach mpaka stanbic hq kwenda mfanyia attestation kumaliza akanitoa na buku 5 ambayo niliamua kuigawa kwa ombaomba
Kwanini uligawa kwa ombaomba?
 
Professional service analipa buku 5 kweli na ninechoma mafuta na nimepoteza muda mwingi kwenye foleni
Ungemrudishia mwenyewe hiyo buk5. Kwa kitendo cha kuipokea bado hujadikisha ujumbe wako sawasawa. Anajuwa uliridhika
 
1714022451817.png


Ndio huyu jamaa au kuna mwingine
 
Kwahiyo huyu Furaha Dominic anamiliki mafile fiche ya watu wazito nchini. Huyu Mihayo atakuwa kaambiwa atoe hela amegoma
 
Back
Top Bottom