abnormal
JF-Expert Member
- May 6, 2017
- 541
- 1,319
CC nyoka wa makengeza A.K.A vijisenti.Pia ni watu waaminifu sana!, hiwezi kusikia Msukuma ni mla rushwa au ni fisadi!.
P
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CC nyoka wa makengeza A.K.A vijisenti.Pia ni watu waaminifu sana!, hiwezi kusikia Msukuma ni mla rushwa au ni fisadi!.
P
Ok. Ahsante kwa elimu murua. Msukuma halisi ni yupi sasa?! Kuna mtu aliniambia wasukuma halisi ni wasumbwa. Ni kweli?
Walimsingizia tuu, vile vijisenti ni vijisenti vyake halali vya legal consultancy ni lawyer wa Harvard, ambayo ndio the 2nd best law school duniani, after Yale. Mtu aki graduate Harvard, kazi zinamtafuta, tena tumshukuru sana Mwalimu Nyerere, ukienda kusoma nje lazima urudi home, vinginevyo huwa hawarudi, mtu huwezi kuacha greener pasture abroad ukaja bongo kupokea peanut!CC nyoka wa makengeza A.K.A vijisenti.
Hakika. Umebena vyemqHii benki imepata mtu jembe.
Kiukweli hawa jamaa wa Kanda ile ni majembe kazi kweli kweli!.
P
Sita sahau siku amenitoa Mbezi beach mpaka stanbic hq kwenda mfanyia attestation kumaliza akanitoa na buku 5 ambayo niliamua kuigawa kwa ombaombaRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemteua Bw. Adam Charles Mihayo kuwa Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Biashara Tanzania (TCB).
Bw. Mihayo ni Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Afrika Tanzania.
Uteuzi huu umeanza tarehe 19 Novemba, 2023
View attachment 2820916
View attachment 2820919
😃😃😂😂😂😂😂Sita sahau siku amenitoa Mbezi beach mpaka stanbic hq kwenda mfanyia attestation kumaliza akanitoa na buku 5 ambayo niliamua kuigawa kwa ombaomba
Kwanini uligawa kwa ombaomba?Sita sahau siku amenitoa Mbezi beach mpaka stanbic hq kwenda mfanyia attestation kumaliza akanitoa na buku 5 ambayo niliamua kuigawa kwa ombaomba
Vipi kuhusu Andrew Chenge? Au siyo MsukumaPia ni watu waaminifu sana!, hiwezi kusikia Msukuma ni mla rushwa au ni fisadi!.
P
Ni tuhuma tuu, Pamoja na ufisadi wake wote, Chenge is one of the best brains kwenye Bunge full of ignorantsVipi kuhusu Andrew Chenge? Au siyo Msukuma
Professional service analipa buku 5 kweli na ninechoma mafuta na nimepoteza muda mwingi kwenye foleniKwanini uligawa kwa ombaomba?
Ungemrudishia mwenyewe hiyo buk5. Kwa kitendo cha kuipokea bado hujadikisha ujumbe wako sawasawa. Anajuwa uliridhikaProfessional service analipa buku 5 kweli na ninechoma mafuta na nimepoteza muda mwingi kwenye foleni
Onesha nani umewai kumkubali hajawai mwizi
Nilimuachia MunguUngemrudishia mwenyewe hiyo buk5. Kwa kitendo cha kuipokea bado hujadikisha ujumbe wako sawasawa. Anajuwa uliridhika
Itakuwa hivyo
Issue ni huyo mihayo anafanywa au anafanyaKwahiyo guys Furaha Dominic anamiliki mafile fiche ya watu wazito nchini. Huyu Mihayo atakuwa kaambiwa atoe hela amegoma
Mtalaam wa tehama hapo yupo
Watanzania mtu mwizi,muuza madawa,jambazi kwao huwa ni shujaaaaa mkuuOnesha nani umewai kumkubali hajawai mwizi