Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vita MbinuUko anapiga kazi mwaka mmoja mama anamtumbua😊
😅😅😅😅😅POLEPOLE KUWA BALOZI MALAWI …. Haendi
Hamna LoloteJe Ubunge unalipa kuliko ubalozi?
Ataenda,ukimiya wake alifika bei.Yule ilikuwa njaa.POLEPOLE KUWA BALOZI MALAWI …. Haendi
Kitaalam ukiona unasumbua Kisha unateuliwa ubalozi, ujue unatafutiwa TU kisababu uondolewe kwny mfumo😊Vita Mbinu
Anapigia Mwingi Bila Kujua
Anamvuta Kwenye Corner
walipiga sana kwenye majengo, ila ndiyo hivyo enzi za JKNehemia Mchechu NHC tena? Ni sababu zipi zilipelekea kutumbuliwa? Hazikuwa genuine?Hivi hakuna watanzania wengine?
Hana usmart, kichwa kibovu MnooAisee mama samia Yuko very smart and very calculated[emoji4]
Kaula? Hauko siriaz mkuuPolepole kamuenzi JPM,kabaki na ulimi mmoja mpaka sasa,na hatimaye kaula.
Tena imefichwa! Si unajua ile issue ameruhusu wakopeNehemia Mchechu NHC tena? Ni sababu zipi zilipelekea kutumbuliwa? Hazikuwa genuine?Hivi hakuna watanzania wengine?
Hakuna kuulamba hapo, huyu katupwaAmeulamba hatimaye
HIVI ITAKUWAJE KAMA POLEPOLE AKIGOMA KUWA BALOZI HUKO MALAWIPole pole CCM tunaondoka naye kuelekea 2025 huko malawi ni demotion. Haendi
Wapigaji+Upigaji Umerudi Sasawalipiga sana kwenye majengo, ila ndiyo hivyo enzi za JK