Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HIVI ITAKUWAJE KAMA POLEPOLE AKIGOMA KUWA BALOZI HUKO MALAWI
Dodoma sasa tunapelekwa PembaKWANI TULIKUWA TUNAENDA WAPI?
Kama ni mjanja asiende maana huko Malawi katupiwa kaa la moto tu! Huko hakai baada ya mda wanamtumbua! Kwa ujumla hawamtaki! Maana mama hawataki kabisa watu wa Magufuli note hiyo!Ana jeuri ya kukataa ?
Keshapewa Shamsi Vuai Nahodha aliyekuwa Waziri Kiongozi wa zamaniDu atavuliwa ubunge,naona Mbowe au Lissu wakirudi bungeni.
Mama anaupiga mwingi.
Tatizo ile shule ina mwalimu mmoja daah!Hasa shule ya uongozi itakuaje
Anakwambia alikuja jijini miaka ya 80s kwa train ya mizigo, tena alikaa na mizigo yake kwenye pua ya chombo hicho cha usafiri
Jibu hilo pigia mstari, ukishateuliwa kuwa diplomat unaacha vyeo vyote vya kisiasaMama hana kinyongo na mtu, vipi kuhusu ubunge wake atautumikiaje akiwa ughaibuni au ndiyo umegawiwa kwa Vuai?
Wapo ila nani wa kuwasemea?Ni sababu zipi zilipelekea kutumbuliwa? Hazikuwa genuine?Hivi hakuna watanzania wengine?
Rais Samia Suluhu amemteua Humphrey Polepole kuwa Balozi wa Tanzania nchini Malawi.
Sambamba na hilo Rais Samia Suluhu amemteua Shamsi Vuai Nahodha kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Pia Rais Samia Suluhu amemteua Waziri Kindamba kuwa Mkuu wa Mkoa wa Njombe.
Kindamba alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa TTCL na anachukua nafasi ya Mhandisi Marwa Rubirya ambaye amestaafu kwa umri.
Polepole na Kindamba wanatarajiwa kuapishwa kesho Jumanne tarehe 15 Machi 2022 Ikulu ya Chamwino Dodoma saa 04:00 Asubuhi.
Katika hatua nyingine Rais Samia Suluhu amemteua Nehemia Mchechu kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC).
Mchechu ambaye amewahi kuhudumu kwenye wadhifa huo, anachukua nafasi ya Dkt. Maulid Banyani ambaye atapangiwa kazi nyingine.
Pia amemteua Balozi na Mkuu wa Jeshi la Polisi (Mstaafu) Ernest Jumbe Mangu kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Mamlaka ya Bandari (Tanzania Port Authority)
View attachment 2150380
Umesahau story za ka- daudi kumuangusha GoliathKumbe polepole ananguvu sana
Hatimaye wahuni wamemwachia kiroboto. Huenda akarudi na mtaala wa chuo Cha uongozi ulioboreshwa.
Sababu sio muhimu sana ndugu, ni suala la mkeka kutimia, anafuata Mafuru, genge linatimia! Vuai kuwa mbunge? Alikuwa waziri kiongozi huyu, kuna neno hapa......uzanzibar unaenda kushika hatamuNehemia Mchechu NHC tena? Ni sababu zipi zilipelekea kutumbuliwa? Hazikuwa genuine?Hivi hakuna watanzania wengine?