Inaonesha kabisa Mama hataki mtu yeyote wa Magufuli na kwa hesabu yao wanaona Pole pole atawapa challenge! Sasa kwa kifupi katumbuliwa huko ni kumpeleka tu akajinyonge mwenyewe! Kama anajiamini amtake Rais asichukue nafasi yake! Ila tofauti na Hapo ndo kashapotea huyo!