Uteuzi: Rais Samia amteua Humphrey Polepole kuwa Balozi Malawi, Mchechu arudishwa NHC

Nehemia Mchechu NHC tena? Ni sababu zipi zilipelekea kutumbuliwa? Hazikuwa genuine?Hivi hakuna watanzania wengine?
Wapo wabongo wengi wenye uwezo tatizo ni lack of connection ndugu,wanaishia tu nafasi za chini tu
 
Kama ni mjanja asiende maana huko Malawi katupiwa kaa la moto tu! Huko hakai baada ya mda wanamtumbua! Kwa ujumla hawamtaki! Maana mama hawataki kabisa watu wa Magufuli note hiyo!
siyo hawataki watu wa magufuli,hapendi kabisa kukosolewa,nadhani unakumbuka Ndugai alivokaripiwa, huyu anaenda hamalizi mwaka anatumbuliwa
 
Keshapewa Shamsi Vuai Nahodha aliyekuwa Waziri Kiongozi wa zamani
ki utaratibu ilitakiwa pole pole atangaze kujiuzuru ubunge kwanza ndiyo nafasi yake ijazwe...nakumbuka Dr. Possi alikuwa mbunge wa kuteuliwa na Rais,baadae likatokea jambo la kikatiba,ikamlazimu Dr possi ajiuzuru ubunge wake alipoteuliwa kuwa balozi nadhani ujerumani
 
Nehemia Mchechu NHC tena? Ni sababu zipi zilipelekea kutumbuliwa? Hazikuwa genuine?Hivi hakuna watanzania wengine?
Nikiwaza huko kigamboni inasemekana eka moja ilinunuliwa kwa Tshs billion moja...acha tu ikae hivyo!!
 
The totozi ya mujini inakula kahawa huku imekunja nne vibarazani!

Anyway, just nature will decide
 
Wala huhitaji Akili kubwa kujua kuwa Teuzi hizi zina Baraka na Maelekezo yote kutoka Msoga Chalinze.

Baada ya Kumteua Mwanae Ardhi sasa ameteuliwa mwana Mtandao mwingine hapo NHC ili Chemistry ya Upigaji na kuhakikisha Miradi muhimu ya Mstaafu inaenda kama alivyoipanga.

Nina neno moja tu kwa Polepole kwamba ajitahidi Kudadisi ni kwanini Watu ambao huwa ni Critical na Controversial hasa katika Siasa za nchini huteuliwa kuwa Mabalozi na baada ya muda mfupi huugua Ugonjwa wa Kupooza lakini pia huwa hawadumu sana Maishani.
 

POLEPOLE KUWA BALOZI MALAWI…usiende.​

Ukienda unafanyiwa kile alichofanyiwa Dr Emmanuel Nchimbi kupelekwa Brazil kuwa Balozi sasa anachunga mbuzi kule Goba Dar.​

Kwani balozi wa Tanzania nchini Misri ni nani?
 
"Mwanamke hawezi ongoza nyumba"- Igbo proverb
Mama kuna mtu kamshikia mpini,mama hana namna lazima amsikilize na kumwaminu huyo mtu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…