Wapo wabongo wengi wenye uwezo tatizo ni lack of connection ndugu,wanaishia tu nafasi za chini tuNehemia Mchechu NHC tena? Ni sababu zipi zilipelekea kutumbuliwa? Hazikuwa genuine?Hivi hakuna watanzania wengine?
siyo hawataki watu wa magufuli,hapendi kabisa kukosolewa,nadhani unakumbuka Ndugai alivokaripiwa, huyu anaenda hamalizi mwaka anatumbuliwaKama ni mjanja asiende maana huko Malawi katupiwa kaa la moto tu! Huko hakai baada ya mda wanamtumbua! Kwa ujumla hawamtaki! Maana mama hawataki kabisa watu wa Magufuli note hiyo!
ki utaratibu ilitakiwa pole pole atangaze kujiuzuru ubunge kwanza ndiyo nafasi yake ijazwe...nakumbuka Dr. Possi alikuwa mbunge wa kuteuliwa na Rais,baadae likatokea jambo la kikatiba,ikamlazimu Dr possi ajiuzuru ubunge wake alipoteuliwa kuwa balozi nadhani ujerumaniKeshapewa Shamsi Vuai Nahodha aliyekuwa Waziri Kiongozi wa zamani
Wasiojulikana wataenda kumsalimiaHIVI ITAKUWAJE KAMA POLEPOLE AKIGOMA KUWA BALOZI HUKO MALAWI
Usimwamini mwanasiasa ndugu yangu.POLEPOLE KUWA BALOZI MALAWI …. Haendi
Nikiwaza huko kigamboni inasemekana eka moja ilinunuliwa kwa Tshs billion moja...acha tu ikae hivyo!!Nehemia Mchechu NHC tena? Ni sababu zipi zilipelekea kutumbuliwa? Hazikuwa genuine?Hivi hakuna watanzania wengine?
The totozi ya mujini inakula kahawa huku imekunja nne vibarazani!Lands minister William Lukuvi announced in December that he was suspending Mr Mchechu to pave the way for investigations into various allegations which include abuse of office. Mr Lukuvi then tasked the NHC board of directors under the leadership of Ms Nyoni to conduct the investigations and handover the report to him.
Iyo suti imemkaa vena jamaa
Wala huhitaji Akili kubwa kujua kuwa Teuzi hizi zina Baraka na Maelekezo yote kutoka Msoga Chalinze.Rais Samia Suluhu amemteua Humphrey Polepole kuwa Balozi wa Tanzania nchini Malawi.
Sambamba na hilo Rais Samia Suluhu amemteua Shamsi Vuai Nahodha kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Pia Rais Samia Suluhu amemteua Waziri Kindamba kuwa Mkuu wa Mkoa wa Njombe.
Kindamba alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa TTCL na anachukua nafasi ya Mhandisi Marwa Rubirya ambaye amestaafu kwa umri.
Polepole na Kindamba wanatarajiwa kuapishwa kesho Jumanne tarehe 15 Machi 2022 Ikulu ya Chamwino Dodoma saa 04:00 Asubuhi.
Katika hatua nyingine Rais Samia Suluhu amemteua Nehemia Mchechu kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC).
Mchechu ambaye amewahi kuhudumu kwenye wadhifa huo, anachukua nafasi ya Dkt. Maulid Banyani ambaye atapangiwa kazi nyingine.
Pia amemteua Balozi na Mkuu wa Jeshi la Polisi (Mstaafu) Ernest Jumbe Mangu kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Mamlaka ya Bandari (Tanzania Port Authority).
Na Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemteua Peter Ulanga kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL).
Ulanga ni Mkurugenzi Mstaafu wa Mfuko wa Mawasiliano kwa wote (UCSAF).
Na Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemteua Meja Jenerali John Julius Mbungo, Mkurugenzi Mstaafu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kuwa Mwenyekiti wa Bodi wa Shirika la Meli Tanzania (MSCL).
View attachment 2150380
View attachment 2150479
WAZIRI NAPE NNAUYE ALIVYOTANGAZA UTEUZI WA HUMPHREY POLEPOLE
Ameulamba hatimaye
Hahahaha[emoji23]POLEPOLE KUWA BALOZI MALAWI …. Haendi
Thubutuuuuuu!POLEPOLE KUWA BALOZI MALAWI …. Haendi
Ataenda tuh! Tupinge!
Kwani balozi wa Tanzania nchini Misri ni nani?POLEPOLE KUWA BALOZI MALAWI…usiende.
Ukienda unafanyiwa kile alichofanyiwa Dr Emmanuel Nchimbi kupelekwa Brazil kuwa Balozi sasa anachunga mbuzi kule Goba Dar.
Kaka umetisha!Akikataa Uteuzi wa Rais kesho kutwa yule Muandishi wa Barua ya Mnyika ya kuteua Kina Halima Mdee na ya kujiuzulu Ndugai anaingia Jikoni na huwa hakosei mapishi