UTEUZI: Rais Samia Amteua na kumuapisha Mwigulu Nchemba kuwa mjumbe tume ya mipango

UTEUZI: Rais Samia Amteua na kumuapisha Mwigulu Nchemba kuwa mjumbe tume ya mipango

Yaani hata hatujielewwi tunaenda wapi na tunataka nn..
 
Hakika kizimkazi ndio sector anayo ipenda MNO kuteua na kutengua TU.hapo chamwino ni peupe MNO.


KAZI ni kipimo cha UTU
 
Wadau hamjamboni nyote?

Mwigulu Nchemba ateuliwa na Rais Samia kuwa mjumbe tume ya mipango

Taarifa kamili hapo chini

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akimuapisha Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) kuwa Mjumbe wa Tume ya Mipango katika hafla fupi iliyofanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 29 Mei, 2024. Lengo la Tume hii ni kusimamia uchumi, mchakato wa upangaji na utekelezaji wa Mipango ya Maendeleo ya Taifa.
View attachment 3002723
Mama tukumbuke majobless huyo Mpaka mtoto wake wa primary wapo kwenye payroll.
 
Waziri wa fedha job description yake si ndio chief strategist wa serikali.

Tanzania tunachukulia waziri wa fedha ni mtu mdogo wakati technically waziri wa biashara, waziri wa kilimo, uvuvi na sector ya yoyote ya uzalishaji hao ni junior ministers kwa waziri wa fedha yeye ndio main architecture wa mipango ya serikali.

Sasa unamteua vipi tena waziri kuwa kwenye tume ya mipango unless hiyo tume kazi zake hazina coordination na serikali.

Get serious people to run that country
 
Waziri wa wizara ya fedha na mipango, ateuliwa kuwa mjumbe wa body ya mipango.

Only in Tanzania
 
Wadau hamjamboni nyote?

Mwigulu Nchemba ateuliwa na Rais Samia kuwa mjumbe tume ya mipango

Taarifa kamili hapo chini

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akimuapisha Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) kuwa Mjumbe wa Tume ya Mipango katika hafla fupi iliyofanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 29 Mei, 2024. Lengo la Tume hii ni kusimamia uchumi, mchakato wa upangaji na utekelezaji wa Mipango ya Maendeleo ya Taifa.
View attachment 3002723
Ndiyo maana nchi haiendelei sura ni zile zile hakuna ubuni wowote
 
Waziri wa fedha job description yake si ndio chief strategist wa serikali.

Tanzania tunachukulia waziri wa fedha ni mtu mdogo wakati technically waziri wa biashara, waziri wa kilimo, uvuvi na sector ya yoyote ya uzalishaji hao ni junior ministers kwa waziri wa fedha yeye ndio main architecture wa mipango ya serikali.

Sasa unamteua vipi tena waziri kuwa kwenye tume ya mipango unless hiyo tume kazi zake hazina coordination na serikali.

Get serious people to run that country
Sina tatizo na uteuzi lakini siku zote wateuliwa ni wale wale hakuna damu changa wala sura mpya. Hopeless kabisa
 
Back
Top Bottom